Huu ni Ushetani. BASATA mko wapi!?

Alo ukilitizama kwa mapana, masuala ya utandawazi na mitandao ya kijamii hili ni janga kweli.

Linahitaji ushilikiano, wasilaumiwe BASATA tu, zitumike njia za aina utofauti tofauti kulikabili hili suala, Itergrated Ethical Community Management System (IECMS), Yaani kila mtu/Taasisi itimize wajibu wake kuanzia ngazi ya familia.
Manyimbo yao ya mtoto kautaka, paka mate iteleze watoto wanasikiliza huku mtaani

mtoto wako mdogo umeampaa simu aaangalie katuni YouTube unategemea nini

mtoto wako mdogo umempa simu yako aangalie katuni YouTube unategemea nini?siumesema usiku ndo wanafanya ....? jitahidi utumie akili mabula ya kuongea

Hapo sio night club mkuu... Uwanja wa mpira wa Ruangwa...
Yamepandikizwa mapepo hapo Rasmi ya Wasafi
 
Tunaheshimu mtazamo wako ila hatukubaliani nao kwa asilimia zote.
 
Hamia Iran au Afghanistan
 
Mzee acha ushamba title ume weka ya kutisha halafu hakuna cha ajabu au una muonea wivu zuchu? Dambua basi na ww tuone uto tu tako twako tulivo pandiana kama vitunguu
Una hoja usikilizwe binafsi nilifikiri sijui jambo gani la ajabu limetokea,,ebu atuombe radhi fasta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…