Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manyimbo yao ya mtoto kautaka, paka mate iteleze watoto wanasikiliza huku mtaani
mtoto wako mdogo umeampaa simu aaangalie katuni YouTube unategemea nini
mtoto wako mdogo umempa simu yako aangalie katuni YouTube unategemea nini?siumesema usiku ndo wanafanya ....? jitahidi utumie akili mabula ya kuongea
Hapo sio night club mkuu... Uwanja wa mpira wa Ruangwa...
Yamepandikizwa mapepo hapo Rasmi ya Wasafi
Yote hayo sio sehemu ya utamaduni wetu lakini tumezoea, hata hii kukatika katika nusu uchi mtazoeaUmejichanganya kidogo. Au umeamua kuchati..!😂😂
BASATA ni nanihii tu
Wajapan darasa la nne wanafungua engines za vyombo mbalimbali kama magari, ndege na machines tofauti. Sisi tunashabikia maigizo, muziki mchafu, michezo, siasa na uchawi. Tutafika ??
Tunaheshimu mtazamo wako ila hatukubaliani nao kwa asilimia zote.Hapo ni wazi kabisa waliofeli ni wazazi na BAKWATA siyo BASATA.
Huo ni mtazamo wangu binafsi kama Muislam, simwakilishi mtu au chombo kingine chochote.
Kwanini naiondolea lawama BASATA? kwa sababu BASATA ni chombo cha serikali pagani. Kumbuka kuwa serikali yetu ni pagani kwa maana haifati dini yoyote ile.
Kwa maana hiyo namuondolea lawama hata waziri husika.
Kwa bahatri mbaya au nzuri bakwata wanahusika na kusoma dua tu kwenye hafla za chama na serikali iliyopo madarakani, mengine ya mmaadili ya Kiislam hawana jukumu nayo na wala hawayafanyi.
Mnamsingizia tu , kama ni kuharibika mnaharibika wenyeweHuyu manzi anawaharibu watoto wa mikoani ndio maana wanyakyusa walimrushia machupa kule Mbeya
Hamia Iran au AfghanistanHapo ni wazi kabisa waliofeli ni wazazi na BAKWATA siyo BASATA.
Huo ni mtazamo wangu binafsi kama Muislam, simwakilishi mtu au chombo kingine chochote.
Kwanini naiondolea lawama BASATA? kwa sababu BASATA ni chombo cha serikali pagani. Kumbuka kuwa serikali yetu ni pagani kwa maana haifati dini yoyote ile.
Kwa maana hiyo namuondolea lawama hata waziri husika.
Kwa bahatri mbaya au nzuri bakwata wanahusika na kusoma dua tu kwenye hafla za chama na serikali iliyopo madarakani, mengine ya mmaadili ya Kiislam hawana jukumu nayo na wala hawayafanyi.
Msinunue TV na RedioHii inahudhunisha sana huyu binti anatuharibia Watoto huku.
Una hoja usikilizwe binafsi nilifikiri sijui jambo gani la ajabu limetokea,,ebu atuombe radhi fastaMzee acha ushamba title ume weka ya kutisha halafu hakuna cha ajabu au una muonea wivu zuchu? Dambua basi na ww tuone uto tu tako twako tulivo pandiana kama vitunguu
Si ndiye alisema kwenye jukwaa kule Nungwi hata wakigawa 071 bwana wake hawawezi kumchukua?