Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Mimi naona ni sahihi kabisa.
Huwezi kuzuia kazi za shetani huku ukimkumbatia shetani.
Muziki ni kazi za shetani na hicho alichokifanya zuchu ni miongoni mwa kazi za shetani za kueneza uzinzi.
Labda serikali izuie mziki kiujumla
Huwezi kuzuia kazi za shetani huku ukimkumbatia shetani.
Muziki ni kazi za shetani na hicho alichokifanya zuchu ni miongoni mwa kazi za shetani za kueneza uzinzi.
Labda serikali izuie mziki kiujumla