Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha kunguru muoga. ......Hahaha, sis darling...
Unapenda sana ku-notice red flags.
Wala Kiswahili hafahamu
Kwa mantiki hipi?Hutaniweza mkuu Mimi ni mpana sana
BothUmepata mapenzi kwa kuwa umejiwekea ka status mjini unaona aibu kumpeleka kwenu kutokana na hali halisi . Hii ni kukosa confidence ya maisha, utoto au ni utaahira?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Home mbona mbali ata getto sikupeleki,...
Hujakoma tu kuleta habari za ma shosti zako humu??? Si ulisema ulisutwa??Ni hivi yalimtokea shost, boyfriend anakwenda kwake, lakini hamfahamishi nyumbani. Mpaka wamepata mtoto, mama mkwe amekuja kumwona mtoto, ubatizo wa mtoto umefanyika kwa shost mama amekuja kama mgeni. Sasa siku moja shost anakwenda Kariakoo shopping, anakutana na jamaa yuko na mother, khe, baada ya salamu aliuliza mnakwenda wapi, mama alijibu kupanda basi twende nyumbani, mama alikuwa na mzigo, shost aliofer lift, jamaa alitaka kutoa nje, mama aliona unafuu ule alikubali.
Wamefika home, masikini mama anaishi kwenye nyumba ya nyuma mbele ameweka msingi tu na ni wa muda mrefu. shost aligundua kwanini jamaa alikuwa hataki afike home. Sasa kama mtu umesha zaa nae, haya si ni mambo ya kawaida tu. Hakuna aliyeumbiwa umasikini.
Umepata mapenzi kwa kuwa umejiwekea ka status mjini unaona aibu kumpeleka kwenu kutokana na hali halisi . Hii ni kukosa confidence ya maisha, utoto au ni utaahira?
Hujakoma tu kuleta habari za ma shosti zako humu??? Si ulisema ulisutwa??
We naona mpaka wakukate viganja
Mpaka umnapeana mimba bado mnakwichi kwichi guest house tu