Huu ni wizi Sasa; Watanzania tuamke tuache uoga

Huu ni wizi Sasa; Watanzania tuamke tuache uoga

Mara Kadhaa wadau humu wamekuwa wakilalamikia wizi was bando lakini Hilo halikuwahi kuniumiza ila imefika wakati nimeoma kutokujali huku kunafanya watu tuliowapa dhamana ya kutuongoza watuone wajinga.

Kila baada ya siku moja au 2 huwa naweka bando la 1.6 la internet kwa Tshs elfu 3; Juzi Jumapili nimeweka na Leo nikatimiwa meseji kuwa bando langu limeisha; sikujali nikaamua kuweka Tena.

Kilichoniuma ni kupata bando la chini zaidi ya like nililo weka Jpili na kwa gharama ile Ile.

Watanzania ifike wakati tukatae kupandishiwa bei za bidhaa kiholela bila taarifa.

Kama ulaya wanaweza kuandamana kupinga vitu kupanda Bei sisi tunashindwa kwani.

Amkeni watanzania tuingie barabarani ili tukomeshe huu uhuni. Hawawezi kutuua white.
Uzalendo ni kulifia taifa lako

View attachment 2397876View attachment 2397877

Njooni mniteke niko Mtwara.

Mara Kadhaa wadau humu wamekuwa wakilalamikia wizi was bando lakini Hilo halikuwahi kuniumiza ila imefika wakati nimeoma kutokujali huku kunafanya watu tuliowapa dhamana ya kutuongoza watuone wajinga.

Kila baada ya siku moja au 2 huwa naweka bando la 1.6 la internet kwa Tshs elfu 3; Juzi Jumapili nimeweka na Leo nikatimiwa meseji kuwa bando langu limeisha; sikujali nikaamua kuweka Tena.

Kilichoniuma ni kupata bando la chini zaidi ya like nililo weka Jpili na kwa gharama ile Ile.

Watanzania ifike wakati tukatae kupandishiwa bei za bidhaa kiholela bila taarifa.

Kama ulaya wanaweza kuandamana kupinga vitu kupanda Bei sisi tunashindwa kwani.

Amkeni watanzania tuingie barabarani ili tukomeshe huu uhuni. Hawawezi kutuua white.
Uzalendo ni kulifia taifa lako

View attachment 2397876View attachment 2397877

Njooni mniteke niko Mtwara.
Hata mtandao wa voda wameondoa kile kifurushi cha dar supermini, kwa sasa kutumia internet imekuwa ni anasa ya wenye uwezo tu
 
Hawa ni "mumiani" wahuni, mi nishachomoa line yao baada ya kutendewa kama unayoyasema.

Kidogo Voda sasa hivi bado wanaheshimu bando za wateja na pia wana unafuu kidogo kwa upande huo wa data, maana hiyo 3000 unapata 1.9 gb hadi siku ya jana, maana leo sijachungulia.

Halotel nao ni wezi, wanapitia salio hata kabla haujajiunga na bando lolote wakati kuna option tayari unakuwa umeweka kuzuia salio lisitumike bila ya kujiunga!

Kama ulivyokwisha kusema mkuu, nchi hii haina waziri wa nawasiliano na kana yupo ni kwa ajili ya maslah yake, raia hatuna tena wa kutusemea.

Ukipaza sauti kama hivi, atakurupuka kama anatokea bar na kukueleza: " mwenye malalamiko alete ushahidi", kauli ya waziri kamili hiyo, raia tusemeje ssasa kwa kauli kama hizo?

WaTz bado tuna safari ndefu sana kufikia maisha bora ya kuishi bila ya stress inayosababishwa na uwajibikaji mbovu wa viongozi wanaojiita watetezi wa wanyonge!
Kinacho hitajika ni mabadiliko ya kweli.


Over.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hapa nilipo Nina halotel lakini hata kufungua page google chrome haifungui. Nimituma meseji Whatsapp inafika kesho yake.

Imagine kifurishi kinaisha usiku huu na gb zangu wanachukuahukua yaani hapa nashindwa nikimbilie wapi

Hivi Elon si atuletee Ile yake?
View attachment 2397976
Hata tigo mtandao uko chini sana, muda unaweza ukaisha na kifurushi hakijatumika au kikawa kimetumika kidogo
 
Siku hizi na mimi nawakazia...bundle ya buku namaliza siku nzima...nataka nishuke tena ya niwe natumia ya jero tu.
 
Bei huwa zinarifautiana kulingana na muda wa matumizi ya simcard yako.
Ikiwa wewe hununui kifurushi mara kwa mara utapewa kifurushi kikubwa kama ofa.

Mtumiaji wa mara kwa mara kifurushi ni kidogo.
Ooh kumbe!! Ila mm hizo 1.9 GB namaliza in 2days😂 mpaka juzi hapa nimeamua kufuta IG. ila pia Vodacom wana Unlimited Internet ukinunua Wi-Fi zao.
 
Mrembo.
Voda hutoa kifurushi kikubwa kwa mtumiaji mdogo yaani kama sio mnunuzi wa mara kwa mara au laini mpya unapewa kama motisha.
Watumiaji wakubwa bando ndogo
Wee hapo umedanganya!! Mimi nanunua Bundle Daily na kama ntasema nipunguze matumizi basi ni siku 2 tu inaisha hio 1.9GB, Mpaka nafikiria bora kuunga tu Wi-fi sababu natumia hela nyingi kwenye Bundle na sifaidi
 
Ooh kumbe!! Ila mm hizo 1.9 GB namaliza in 2days😂 mpaka juzi hapa nimeamua kufuta IG. ila pia Vodacom wana Unlimited Internet ukinunua Wi-Fi zao.
Mimi 1.7Gb tokea tarehe 22 October mpk leo wasap na Jf na gugo tu hakuana YouTube wala Instagram.
 
Nimepata 1.6Gb, thanks ila bado nmepunjwa daah 😄
IMG_20221026_155533.jpg

Namba mbili nimekuta 1.6 namba 4 kwenye TMK supa Uni nimekuta 1.7Gb kea buku tatu ,naona kama inategemea sehemu na sehemu hizi Ofa zao.
 
Kwanza unatakiwa kujua bei elekezi kwa kila Mb 1 ni tshs?
Pili inabidi ujue icho unacholalamikia ni ofa au bei halisi inayotakiwa kuuzwa kwa kila Mb?
Bei elekezi kila MB 1 Isiuzwe zaidi ya tshs 3/=
Umeelewa nilichoandika au?
 
Bei huwa zinarifautiana kulingana na muda wa matumizi ya simcard yako.
Ikiwa wewe hununui kifurushi mara kwa mara utapewa kifurushi kikubwa kama ofa.

Mtumiaji wa mara kwa mara kifurushi ni kidogo.
Du; hii ndio technique yao kumbe
 
Tafuteni hela acheni lawama.
Mnajua gharama ya kusimika mnara mmoja?
Mimi baada ya kujua costs wanazoingia hawa watu nmeamua kutounga bando tena.
Naweka vocha natumia hivo hivo bila kuunga.
 
Mkuu chunguza, kama ulishawahi "kugusa" haya matangazo yao yasiyoisha, sijui ofa za miziki na upatu, basi sababu itakuwa ni hiyo mpaka ujiondoe.

Mi nishablock hiyo namba yao iliyokuwa inaniletea hayo matangazo.

Sasa nikiweka salio hata wiki halipotei kama unavyoeleza.
Labda waliniunga Ila Mimi sijawahi jiunga na hayo matangazo yao.
 
Mimi 1.7Gb tokea tarehe 22 October mpk leo wasap na Jf na gugo tu hakuana YouTube wala Instagram.
Ndio na mimi nimeamua sshv kufuta IG na Snapchat unless nikija kulipia Wi-fi ndo ntazi install tena🥺
 
Fungeni Fber au Copper huko majumbani kwenu. Mbona mambo ni simpo tu.
Ni afuu na Salama.

#RudiNyumbaniKumenoga
 
Jana nimelipia kin'gamuzi nimekatwa tozo huu ni upumbavu wa hii serikali, kama nchi imewashinda waachieni wapinzani waongoze,

Kila sehemu unayogusa Ni tozo Na mbaya Zaidi hizo tozo hatuoni umuhimu wake Zaid YA Maisha yetu kuendelea kuwa magumu tu.
 
Back
Top Bottom