Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Intaneti ya Fiber ambayo ina spidi kuna vifurushi vya mwezi ni kama vifuatavyo;Bei gani kwa mwezi? Au nipe Link nikasome
Tsh 55k ni 10Mbps
Tsh 100k ni 20Mbps
Tsh 150k ni 30Mbps
Tsh 200k ni 50Mbps
Pia kuna intaneti ya Copper ambayo ni nafuu. Vifurushi ni kama ifuatavyo;
Tsh 25k ni 4Mbps
Tsh 50k ni 8Mbps
Tsh 80k ni 12Mbps
Ufundi ni BURE! Malipo ni kwa mwezi.
#RudiNyumbaniKumenoga