DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hamna hiyo Ni Ant-witchHuu ni ushirikina pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna hiyo Ni Ant-witchHuu ni ushirikina pia
Narudia...huo ni ushirikina, haina tofautina Kamchape ya kigomaHamna hiyo Ni Ant-witch
Hapana Mtumishi kasome maandiko utajua kuwa sio uchawiNarudia...huo ni ushirikina, haina tofautina Kamchape ya kigoma
Mnasikitisha sana watu mnaojiita Wakristo.Hapana Mtumishi kasome maandiko utajua kuwa sio uchawi
Kwa muda wa siku ngapi?Tumia chumvi ya mawe ndo dawa namba moja.
nimejifunza kitu, subiri kidogo... huu ushirikina huenda upo hata makazini! wanajifanya kugombana na wewe ili kupenyeza uchawi wao!?Note: Mimi ni mshauri wa kiroho kwenye biashara ya mdau wangu na nimekuwa nikifika hapo mara kwa mara kumuongezea nguvu ili apige pesa zaidi.
Hii kitu nahisi naifahamu na ulifanya kitu bora zaidi kukaa kimya na kutokujibizana unajua katika ulimwengu wa kiroho sana sana kwenye maswala ya kichawi ili mchawi akuroge au dawa zake zifanye kazi lazma kwanza akubadilishe Aura yako au kwa lugha nyepezi Energy zako..Dunia inamengi.
Kuna mshkaji wangu amefungua biashara mahala hapa jijini. Mambo yanaenda kasi na anafanikiwa kiasi kwamba aliowakuta wengine wanafikiria kufunga wengine wamepata presha kwa kuhofia hatma yao.
Ghafla vita vikali vikaanza. Kama kawaida sisi watu wa dua huwa hatushindwi na ushirikina. Kila shambulio tulihakikisha linapanguliwa na dua. Mwenyewe nimeshiriki kutia dua kwenye hiyo bizness.
Juzi kaja dada mmoja katumwa kaanza kutukana matusi na kulazimisha ugomvi (huku waliompanga wamekaa kwa mbali wanafuatila mchakato waliouset ), dua zikatuelekeza kunyamaza kimya. Kataka kurusha hadi mawe, sisi kimya. Alipoona lengo halitimii akaamua kuondoka.
Mfanya biashara pembeni akatutonya kuwa mmeepusha jambo kubwa. Huo uchawi upo, mtu anatumwa kuja kukuchokoza ili upaniki na kujibishana. Ukifanya hivyo tu unakuwa umefungua njia ya ule uchawi kufanya kazi. Yule jamaa akadai kwao watu wanapigwa sana kwa njia hiyo. Basi tukamwambia haina shida huku tukijua dua hupangua hila zote za kishirikina.
Note: Mimi ni mshauri wa kiroho kwenye biashara ya mdau wangu na nimekuwa nikifika hapo mara kwa mara kumuongezea nguvu ili apige pesa zaidi.
Ni hayo tu.
Ulitumia sura ya Al Jinn kuomba dua?Dunia inamengi.
Kuna mshkaji wangu amefungua biashara mahala hapa jijini. Mambo yanaenda kasi na anafanikiwa kiasi kwamba aliowakuta wengine wanafikiria kufunga wengine wamepata presha kwa kuhofia hatma yao.
Ghafla vita vikali vikaanza. Kama kawaida sisi watu wa dua huwa hatushindwi na ushirikina. Kila shambulio tulihakikisha linapanguliwa na dua. Mwenyewe nimeshiriki kutia dua kwenye hiyo bizness.
Juzi kaja dada mmoja katumwa kaanza kutukana matusi na kulazimisha ugomvi (huku waliompanga wamekaa kwa mbali wanafuatila mchakato waliouset ), dua zikatuelekeza kunyamaza kimya. Kataka kurusha hadi mawe, sisi kimya. Alipoona lengo halitimii akaamua kuondoka.
Mfanya biashara pembeni akatutonya kuwa mmeepusha jambo kubwa. Huo uchawi upo, mtu anatumwa kuja kukuchokoza ili upaniki na kujibishana. Ukifanya hivyo tu unakuwa umefungua njia ya ule uchawi kufanya kazi. Yule jamaa akadai kwao watu wanapigwa sana kwa njia hiyo. Basi tukamwambia haina shida huku tukijua dua hupangua hila zote za kishirikina.
Note: Mimi ni mshauri wa kiroho kwenye biashara ya mdau wangu na nimekuwa nikifika hapo mara kwa mara kumuongezea nguvu ili apige pesa zaidi.
Ni hayo tu.
Napokea sadaka kwa watakaovutiwa na tangazo hiliDunia inamengi.
Kuna mshkaji wangu amefungua biashara mahala hapa jijini. Mambo yanaenda kasi na anafanikiwa kiasi kwamba aliowakuta wengine wanafikiria kufunga wengine wamepata presha kwa kuhofia hatma yao.
Ghafla vita vikali vikaanza. Kama kawaida sisi watu wa dua huwa hatushindwi na ushirikina. Kila shambulio tulihakikisha linapanguliwa na dua. Mwenyewe nimeshiriki kutia dua kwenye hiyo bizness.
Juzi kaja dada mmoja katumwa kaanza kutukana matusi na kulazimisha ugomvi (huku waliompanga wamekaa kwa mbali wanafuatila mchakato waliouset ), dua zikatuelekeza kunyamaza kimya. Kataka kurusha hadi mawe, sisi kimya. Alipoona lengo halitimii akaamua kuondoka.
Mfanya biashara pembeni akatutonya kuwa mmeepusha jambo kubwa. Huo uchawi upo, mtu anatumwa kuja kukuchokoza ili upaniki na kujibishana. Ukifanya hivyo tu unakuwa umefungua njia ya ule uchawi kufanya kazi. Yule jamaa akadai kwao watu wanapigwa sana kwa njia hiyo. Basi tukamwambia haina shida huku tukijua dua hupangua hila zote za kishirikina.
Note: Mimi ni mshauri wa kiroho kwenye biashara ya mdau wangu na nimekuwa nikifika hapo mara kwa mara kumuongezea nguvu ili apige pesa zaidi.
Ni hayo tu.
Wewe sio mshauri wa kiroho ni mjasiliamali wa kiroho maana unapewa na sadaka.Dunia inamengi.
Kuna mshkaji wangu amefungua biashara mahala hapa jijini. Mambo yanaenda kasi na anafanikiwa kiasi kwamba aliowakuta wengine wanafikiria kufunga wengine wamepata presha kwa kuhofia hatma yao.
Ghafla vita vikali vikaanza. Kama kawaida sisi watu wa dua huwa hatushindwi na ushirikina. Kila shambulio tulihakikisha linapanguliwa na dua. Mwenyewe nimeshiriki kutia dua kwenye hiyo bizness.
Juzi kaja dada mmoja katumwa kaanza kutukana matusi na kulazimisha ugomvi (huku waliompanga wamekaa kwa mbali wanafuatila mchakato waliouset ), dua zikatuelekeza kunyamaza kimya. Kataka kurusha hadi mawe, sisi kimya. Alipoona lengo halitimii akaamua kuondoka.
Mfanya biashara pembeni akatutonya kuwa mmeepusha jambo kubwa. Huo uchawi upo, mtu anatumwa kuja kukuchokoza ili upaniki na kujibishana. Ukifanya hivyo tu unakuwa umefungua njia ya ule uchawi kufanya kazi. Yule jamaa akadai kwao watu wanapigwa sana kwa njia hiyo. Basi tukamwambia haina shida huku tukijua dua hupangua hila zote za kishirikina.
Note: Mimi ni mshauri wa kiroho kwenye biashara ya mdau wangu na nimekuwa nikifika hapo mara kwa mara kumuongezea nguvu ili apige pesa zaidi.
Ni hayo tu.
Acha utani wako hapa na kunichafua .mimi sitaki habari za waganga wa kienyeji wala ushirikina hapa.
Mbaya sana hio,, siku hizi mjini usi react ovyo hasa kuruhusu hasira zako waziwazi watu wanapenyesha mambo humo,,,,, mimi ilinitokeaga kitu kila nikisikia azana hasira zinapanda nakua kama mmasai anapandisha moriBasi ndo huu uchawi niliopigwa , nateseka mpaka leo kiaina. Yaani ikitokea ugomvi na mimi nikakasirika.
Niambie ni kiongozi yupi wa CCM ambaye hajaenda makaburini usiku?😀😀😀Acha utani wako hapa na kunichafua .mimi sitaki habari za waganga wa kienyeji wala ushirikina hapa.
Uliwezaje kujitibu?Mbaya sana hio,, siku hizi mjini usi react ovyo hasa kuruhusu hasira zako waziwazi watu wanapenyesha mambo humo,,,,, mimi ilinitokeaga kitu kila nikisikia azana hasira zinapanda nakua kama mmasai anapandisha mori
Kutumia chumvi ya mawe ushirikiana hila kwenda israel kuomba kwenye mawe sio ushirikinaHuu ni ushirikina pia
Japo itachukua muda ila ni kumuamini Mungu tu na uweze ku control mood zako kama una watoto jiweke nao karibu kifupi furaha ndo ikutawale kuliko mood za aina nyingine,,, taratibu utaona hio hali inaanza kupungua,,,,,, kwa waganga sikwenda wala wasoma visomoUliwezaje kujitibu?
Sadaka mimi napokea na pia ninatoa.Wewe sio mshauri wa kiroho ni mjasiliamali wa kiroho maana unapewa na sadaka.
Mkuu haya ndio tunataka.Hii kitu nahisi naifahamu na ulifanya kitu bora zaidi kukaa kimya na kutokujibizana unajua katika ulimwengu wa kiroho sana sana kwenye maswala ya kichawi ili mchawi akuroge au dawa zake zifanye kazi lazma kwanza akubadilishe Aura yako au kwa lugha nyepezi Energy zako..
Na ndo maana hata kwa wale waioamini uchawi ili waweze kurogwa kwanza lazma wapigwe matukio ya mauza uza ili akiona hivyo aanze kupata hofu ile hofu ndo negative energy ambayo itatumika kama mtaji kwa wachawi..ila kama akipata mauza uza na hakupata hofu basi wachawi watamuogopa
Kingine ni hasira hasira huchochea Negative energy kuliko chochote na huvuta nguvu za giza kuliko Energy yoyote ile yoyote mwenye kucontrol hasira bhasi huyo kapona katika ulimwengu wa kiroho...
Ukiwa na hasira Energy za nuru huondoka na Huja negative energy kubwa sana hii huwa nyepesi saja kupenyezewa nguvu zozote za kichwi au za uovu na ndo maana unaweza ukaua ukiwa na hasira au kufanya lolote halafu baadaye ukashangaa umewezaje kufanya hivyo ni wakati ambapo mwili wako wanaweza kufanya watakavyo wabaya wako...
Hongera sana Endelea kuamini unachoamini maana kinakupa ushauri mwema kuhusu Kubalance Nguvu na energy ulimwengu wa kiroho ili usikuletee madhara
Pole sana. Mimi azana zote huwa zinanikuta nimeshaomba. Hasa ile ya asubuhi. Huwa siruhusu initangulie kwa mujibu wa mafunuo yangu ya rohoni.Mbaya sana hio,, siku hizi mjini usi react ovyo hasa kuruhusu hasira zako waziwazi watu wanapenyesha mambo humo,,,,, mimi ilinitokeaga kitu kila nikisikia azana hasira zinapanda nakua kama mmasai anapandisha mori