Huu ugonjwa gani? Nagusa kama kipele kigumu - kinachoteleza na kinachouma ndani ya uke

Huu ugonjwa gani? Nagusa kama kipele kigumu - kinachoteleza na kinachouma ndani ya uke

AmKATRINA

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2012
Posts
882
Reaction score
2,044
Habarini za wakati huu memberz wenzangu.

Nimekuja humu kuomba ushauri/ tiba ya ugonjwa unaonisumbua.

Ni takriban mwezi wa 6 huu nagusa mfano wa kipele/kinundu kirefu kinachouma ndani ya uke (nikilala chali nakishika kabisa).

Awali nilidhani huenda ni mchubuko tu nikajua nitapona hvo sikutilia maanani.

Ila kadri siku zinavyozidi kwenda nikaona hakuna dalili ya kupona.

Iko hivi:
Nikifululiza kujaamiana may be wiki, basi hiko kipele huanza kuuma kiasi cha kwamba uume ukiingia nahisi kama nachanika.

Ila nikiacha kujaamiana, huwa sisikii maumivu kabia. Nimekuwa mtumwa wa kutumia mafuta ya mgando wakati wa kujaamiana maana nikisema nisipake kitu naumia sana wakati wa tendo.

Kuna wakati nilipata UTI, nilivyomaliza dozi, nilipata afueni na hiko kipele. Nilikaa kama mwezi bila kuhisi maumivu wakati wa tendo. Ila mwezi ulivyokata tu nikiingiliwa ni maumivu.

Huwa nikilala chali na kuingiza kidole cha shahada ndani ya uke upande wa kulia nakishika, ni kama mfano wa kinyama kinachoteleza ila chenye ugumuugumu.

Sijajua ni nini.
 
Habarini za wakati huu memberz wenzangu.
Nimekuja humu kuomba ushauri/tiba ya ugonjwa unaonisumbua.

Ni takriban mwezi wa 6 huu nagusa mfano wa kipele/kinundu kirefu kinachouma ndani ya uke (nikilala chali nakishika kabisa)
Awali nilidhani huenda ni mchubuko tu nikajua nitapona hvo sikutilia maanani.
Ila kadri siku zinavyozidi kwenda nikaona hakuna dalili ya kupona.

Iko hivi:
Nikifululiza kujaamiana may be wiki,basi hiko kipele huanza kuuma kiasi cha kwamba uume ukiingia nahisi kama nachanika.
Ila nikiacha kujaamiana, huwa sisikii maumivu kabia.
Nimekuwa mtumwa wa kutumia mafuta ya mgando wakati wa kujaamiana maana nikisema nisipake kitu naumia sana wakati wa tendo.

Kuna wakati nilipata UTI, nilivyomaliza dozi, nilipata afueni na hiko kipele. Nilikaa kama mwezi bila kuhisi maumivu wakati wa tendo.
Ila mwezi ulivyokata tu nikiingiliwa ni maumivu.

Huwa nikilala chali na kuingiza kidole cha shahada ndani ya uke upande wa kulia nakishika, ni kama mfano wa kinyama kinachoteleza ila chenye ugumuugumu.
Sijajua ni nini.

...sina picha!!!
Hao ni vimelea kwenye tissue za ndani ya uke!!aidha uminye kilichopo kitoke au update dawa ya kupaka kipasuke uchafu utoke au uchomwe sindano ya kukausha au dawa ya kunywa kipotee!!

Mtafute dokta umweleze uone namna atakavyokusaidia!!
 
Kuna dokta anahusika na magonjwa ya uzazi Kwa mwanamke
Yupi mnazi mmoja anatoa ushauri bure
Vipimo na dawa ni gharama ila uhakika ukihitaji namba sema nikutumie
Ambapo utapata vipimo kulingana na bei elekezi au hata kama uko mbali anaweza kukuandikia cheti ukapimwa hospital iliyopo karibu na wewe na baada ya majibu ndio anakuandikia utumie dawa gani
HAUZI DAWA
 
Habarini za wakati huu memberz wenzangu.

Nimekuja humu kuomba ushauri/ tiba ya ugonjwa unaonisumbua.

Ni takriban mwezi wa 6 huu nagusa mfano wa kipele/kinundu kirefu kinachouma ndani ya uke (nikilala chali nakishika kabisa).

Awali nilidhani huenda ni mchubuko tu nikajua nitapona hvo sikutilia maanani.

Ila kadri siku zinavyozidi kwenda nikaona hakuna dalili ya kupona.

Iko hivi:
Nikifululiza kujaamiana may be wiki, basi hiko kipele huanza kuuma kiasi cha kwamba uume ukiingia nahisi kama nachanika.

Ila nikiacha kujaamiana, huwa sisikii maumivu kabia. Nimekuwa mtumwa wa kutumia mafuta ya mgando wakati wa kujaamiana maana nikisema nisipake kitu naumia sana wakati wa tendo.

Kuna wakati nilipata UTI, nilivyomaliza dozi, nilipata afueni na hiko kipele. Nilikaa kama mwezi bila kuhisi maumivu wakati wa tendo. Ila mwezi ulivyokata tu nikiingiliwa ni maumivu.

Huwa nikilala chali na kuingiza kidole cha shahada ndani ya uke upande wa kulia nakishika, ni kama mfano wa kinyama kinachoteleza ila chenye ugumuugumu.

Sijajua ni nini.
Ni vyema ukaenda hospitali kumuona Daktari Bingwa wa magonjwa ya wanawake. Aidha, uchukue angalizo la kuwepo kwa uvimbe (tumor) ambao unaweza ukawa chanzo cha saratani ya Shingo ya kizazi
 
Back
Top Bottom