AmKATRINA
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 882
- 2,044
Habarini za wakati huu memberz wenzangu.
Nimekuja humu kuomba ushauri/ tiba ya ugonjwa unaonisumbua.
Ni takriban mwezi wa 6 huu nagusa mfano wa kipele/kinundu kirefu kinachouma ndani ya uke (nikilala chali nakishika kabisa).
Awali nilidhani huenda ni mchubuko tu nikajua nitapona hvo sikutilia maanani.
Ila kadri siku zinavyozidi kwenda nikaona hakuna dalili ya kupona.
Iko hivi:
Nikifululiza kujaamiana may be wiki, basi hiko kipele huanza kuuma kiasi cha kwamba uume ukiingia nahisi kama nachanika.
Ila nikiacha kujaamiana, huwa sisikii maumivu kabia. Nimekuwa mtumwa wa kutumia mafuta ya mgando wakati wa kujaamiana maana nikisema nisipake kitu naumia sana wakati wa tendo.
Kuna wakati nilipata UTI, nilivyomaliza dozi, nilipata afueni na hiko kipele. Nilikaa kama mwezi bila kuhisi maumivu wakati wa tendo. Ila mwezi ulivyokata tu nikiingiliwa ni maumivu.
Huwa nikilala chali na kuingiza kidole cha shahada ndani ya uke upande wa kulia nakishika, ni kama mfano wa kinyama kinachoteleza ila chenye ugumuugumu.
Sijajua ni nini.
Nimekuja humu kuomba ushauri/ tiba ya ugonjwa unaonisumbua.
Ni takriban mwezi wa 6 huu nagusa mfano wa kipele/kinundu kirefu kinachouma ndani ya uke (nikilala chali nakishika kabisa).
Awali nilidhani huenda ni mchubuko tu nikajua nitapona hvo sikutilia maanani.
Ila kadri siku zinavyozidi kwenda nikaona hakuna dalili ya kupona.
Iko hivi:
Nikifululiza kujaamiana may be wiki, basi hiko kipele huanza kuuma kiasi cha kwamba uume ukiingia nahisi kama nachanika.
Ila nikiacha kujaamiana, huwa sisikii maumivu kabia. Nimekuwa mtumwa wa kutumia mafuta ya mgando wakati wa kujaamiana maana nikisema nisipake kitu naumia sana wakati wa tendo.
Kuna wakati nilipata UTI, nilivyomaliza dozi, nilipata afueni na hiko kipele. Nilikaa kama mwezi bila kuhisi maumivu wakati wa tendo. Ila mwezi ulivyokata tu nikiingiliwa ni maumivu.
Huwa nikilala chali na kuingiza kidole cha shahada ndani ya uke upande wa kulia nakishika, ni kama mfano wa kinyama kinachoteleza ila chenye ugumuugumu.
Sijajua ni nini.