Uwii, kumbe sikuwaletea mrejesho.
Poleni.
Ni hivi, Dokta ameniambia kuwa nina kinyama ambacho kilikuwa kinaanza kuota ukeni, na vile nilivyokuwa nakishika ilikuwa nafanya makosa kwani naweza sababisha bacteria kuzaliana.
Hivo nilipewa dawa ya kuingiza huku kwa bibi kwa muda wa wiki 3, na baada ya maumivu kuisha walienda kukikata.
Ni kinyama kidogo ukubwa wa harage la mbeya (wakati wanakitoa nilipokitazama nikajua wameng'oa antena yangu🤭)
Na nilipouliza kwa nini kiliota wakasema huwa inatokea sana pale unapotumia haya madawa ya kubana uke (na nilikuwa nayatumia sana)
Kwani hujui kiafya yanatengenezwa na nini hivo kupelekea kupata muwasho kisha uvimbe mpaka kupelekea uvimbe kukomaa na kuwa kama kinyama.
Nashukuru nimeshapona na napiga show hata masaa 2 bila kuumia wala kuchubuka.
Na napata starehe sana jamani (kumbe uke ukiwa na afya ndio raha hv)
Hiyo ndio feedback wapendwa wangu.