Huu ugonjwa gani? Nagusa kama kipele kigumu - kinachoteleza na kinachouma ndani ya uke

Huu ugonjwa gani? Nagusa kama kipele kigumu - kinachoteleza na kinachouma ndani ya uke

Hapana, wametoa mpaka mzizi na ndio maana nilipewa dawa ya usingizi..
Wamesema uwezekano wa kuota haupo kwa maana wamechimbua mpaka mzizi.
Siku za mwanzo walipokitoa niliporudi nyumbani kukojoa ilikuwa kasheshe.
Kidonda + mkojo wenye chumvi.
Kwahiyo nikawa nikitaka kukojoa naingiza kitambaa huku chini ili hata mkojo ukija angalau maumivu yapungue.
Hapo nimekuelewa vizuri vipi Mr alikua anapiga deki na kuzamia mpaka uvinza?
 
Usihofu iyo ni G spot

Comment kutoka kwa daktari wa mapenzi
 
Na nilipouliza kwa nini kiliota wakasema huwa inatokea sana pale unapotumia haya madawa ya kubana uke (na nilikuwa nayatumia sana)
Kwani ulivojifungua palibaki hivo hivo au ulikuwa unaubana kwanini?
 
Uwii, kumbe sikuwaletea mrejesho.
Poleni.
Ni hivi, Dokta ameniambia kuwa nina kinyama ambacho kilikuwa kinaanza kuota ukeni, na vile nilivyokuwa nakishika ilikuwa nafanya makosa kwani naweza sababisha bacteria kuzaliana.
Hivo nilipewa dawa ya kuingiza huku kwa bibi kwa muda wa wiki 3, na baada ya maumivu kuisha walienda kukikata.
Ni kinyama kidogo ukubwa wa harage la mbeya (wakati wanakitoa nilipokitazama nikajua wameng'oa antena yangu🤭)
Na nilipouliza kwa nini kiliota wakasema huwa inatokea sana pale unapotumia haya madawa ya kubana uke (na nilikuwa nayatumia sana)
Kwani hujui kiafya yanatengenezwa na nini hivo kupelekea kupata muwasho kisha uvimbe mpaka kupelekea uvimbe kukomaa na kuwa kama kinyama.

Nashukuru nimeshapona na napiga show hata masaa 2 bila kuumia wala kuchubuka.
Na napata starehe sana jamani (kumbe uke ukiwa na afya ndio raha hv)

Hiyo ndio feedback wapendwa wangu.
Vizuri na Hongera pia kwa kuvuka changamoto
 
Uwii, kumbe sikuwaletea mrejesho.
Poleni.
Ni hivi, Dokta ameniambia kuwa nina kinyama ambacho kilikuwa kinaanza kuota ukeni, na vile nilivyokuwa nakishika ilikuwa nafanya makosa kwani naweza sababisha bacteria kuzaliana.
Hivo nilipewa dawa ya kuingiza huku kwa bibi kwa muda wa wiki 3, na baada ya maumivu kuisha walienda kukikata.
Ni kinyama kidogo ukubwa wa harage la mbeya (wakati wanakitoa nilipokitazama nikajua wameng'oa antena yangu🤭)
Na nilipouliza kwa nini kiliota wakasema huwa inatokea sana pale unapotumia haya madawa ya kubana uke (na nilikuwa nayatumia sana)
Kwani hujui kiafya yanatengenezwa na nini hivo kupelekea kupata muwasho kisha uvimbe mpaka kupelekea uvimbe kukomaa na kuwa kama kinyama.

Nashukuru nimeshapona na napiga show hata masaa 2 bila kuumia wala kuchubuka.
Na napata starehe sana jamani (kumbe uke ukiwa na afya ndio raha hv)

Hiyo ndio feedback wapendwa wangu.
1738064100949.jpg
 
Back
Top Bottom