Huu ugonjwa wa Gastritis sasa unanitesa mno

Nenda duka la dawa za kisunna nunua Habbat Soda ya unga nusu kilo, asali Lita moja. Chukua kijiko kimoja cha Unga wa Habbatsoda weka kwenye kikombe cha chai, changanya na asali vijiko vikubwa viwili vya chakula. Vuruga ichanganyike vema kabisa halafu lamba yote.

Fanya hivyo asubuhi, mchana na jioni kwa siku au miezi kadhaa Inshallah utapona!
 
Panda nyumbani kwako,huu mti ndani ya miezi mitatu unakuwa tayari kwa kuvunwa usitegemee vya Jirani,so wakti unavuna huo wa Jirani chukua mbegu upande na wewe
Jamaa anaulizia jinsi ya kuandaa huo unga zaidi ya mara 3 haumjibu we umekomaa tu panda mti nyumbani kwako, kama yupo kwenye upangaji apande wapi..

Jibu swali lake la namna ya kuuandaa ili umuepushe na gharama za kununua
 
Pole sana Mkuu Mimi pia nliwahi sumbuliwa na tatizo hilo niliponea kwenye maombi kupitia hili Andiko"Kila alitajaye jina la Bwana ataokoka" ilikua kwenye crusade nkapona mpaka Leo Niko fresh
 
Pole sana Mkuu Mimi pia nliwahi sumbuliwa na tatizo hilo niliponea kwenye maombi kupitia hili Andiko"Kila alitajaye jina la Bwana ataokoka" ilikua kwenye crusade nkapona mpaka Leo Niko fresh
uliwahi kwenda hospital kujua labda shida ilikuwa nini au ulienda moja kwa moja kwenye maombi tuu ?!
 
Asante sana kwa mchango wako, nita ufanyia kazi mkuu
 
Asante sana mkuu, nitafanyia kazi muongozo uliyonipA. Ubarikiwe mnooo
 
Loweka karafu kiasi kwenye maji kwa siku mbili then kunywa hayo maji kikombe kimoja asubuhi na jioni
 
Niliugua huu ugonjwa wa takriban miaka 20,nikatumia dawa mpk nikajihisi mwili unanuka dawa,nilikuwa nachagua kipi nile na kipi nisile,lakini Yesu wangu ndiye alieniponya,vile vyote nilivyokuwa naogopa kula ninakula na sina shida kabisa,mtafute Yesu mkuu anaponya...
 
Ulienda kwenye Maombi tuu ukapona, ila ugonjwa ulipima kwanza ukajua shida hasa ilikuwa nini ?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…