Huu ugonjwa wa "kutetemeka" kuishiwa nguvu mabinti wa shule

Huu ugonjwa wa "kutetemeka" kuishiwa nguvu mabinti wa shule

Mkuu, bado maelezo yako hayatoshi kuthibitisha hayo madai kwamba inatokana na nyege,.... Huenda kuna ugonjwa mwingine, Mfano tukisema labda kuna chakula wamekula ambacho kimepelekea tatizo hilo inaweza ikaingia akilini kidogo,.

Maana nyege ni kama kiu tu, sidhani kama kundi la watu kumi wanaweza kuhisi kiu kwa wakati mmoja.

We mbishi sana.

Zama hizi za google na youtube.

Research kibao zimejaa mtandaoni.

Hizo vitu hazijaanza tokea leo ni enzi na enzi.

Na wazungu washafanya research nyingi na wakapata majibu.

Jifunze kujisomea ili uelewe mambo kwa upana
 
si ni nyegezi tu hizo wenzao wakishaona hivyo wanaandaa kijisherehe waanaalika shule za boys mnaekewa disco
Aisee ulipitia hlo life?

Advance hyo uboyzn kila baada ya miezi miwili walikua wanatuletea wadada wa mawenzi, machame dadaz, weru weru, ashira, Masama, majengo na zngn tunaonesha talents kidogo tunapiga msosi then walimu wanatoka tunabaki social hall na wadada mlango unafungwa ......🤣disco masaa manne au matano hapo lazima ukojoe zote
 
Kitaalamu inaitwa Hysteria.

In old age, ikimuwa inatibika kwa kustimulate genitalia.

Hadi leo tiba ni hiyo hiyo.

Ugonjwa huu umepungua sababu mabinti wa leo wanaanza kugongwa mapema.. hivyo hizo madness haziwatokei kama zamani
 
Mkuu, bado maelezo yako hayatoshi kuthibitisha hayo madai kwamba inatokana na nyege,.... Huenda kuna ugonjwa mwingine, Mfano tukisema labda kuna chakula wamekula ambacho kimepelekea tatizo hilo inaweza ikaingia akilini kidogo,.

Maana nyege ni kama kiu tu, sidhani kama kundi la watu kumi wanaweza kuhisi kiu kwa wakati mmoja.
mleta mada kasema hiyo hali hua anaiona sana kwa wasichana wanaosoma shule za jinsia moja
 
Haswa shule za boarding ambazo ni wasichana tupu ...Hilo tatizo Huwa la kuishiwa nguvu miguuni huyokea mara Kwa mara.

Kufuatia hiyo shule ya kenya ya wasichana inayotrend...lakini Mimi nimeshaishuhudia mara nyingi.

Poa Kwa shule za mchanganyikon huw inatokea ila Kwa uchache sana.

Je Kuna namna ya kuelezea swala hili kitaalamu
Nimekumbuka mbali sana
 
Kila mtu ana tabia zake nyege zikimbana. Miili ya binadamu haifanani kila kitu.

Hao mabinti wanapata hysterical attacks zinazosababishwa na nyege.

Wazungu baada ya kulijua hilo ndio maana wameruhusu mahusiano ya boyfriend na girlfriend kwa watoto wao.

Pia kinamama wazungu wanawanunulia mabinti zao dildo na vibrators ili wajimalize nyege zao wenyewe
Mbona zinawapata tu watoto wa shule?

Huku mitaani kuna wasichana kibao wanaojistiri vizuri lakini mbona hili tatizo hawana?
 
Haswa shule za boarding ambazo ni wasichana tupu ...Hilo tatizo Huwa la kuishiwa nguvu miguuni huyokea mara Kwa mara.

Kufuatia hiyo shule ya kenya ya wasichana inayotrend...lakini Mimi nimeshaishuhudia mara nyingi.

Poa Kwa shule za mchanganyikon huw inatokea ila Kwa uchache sana.

Je Kuna namna ya kuelezea swala hili kitaalamu
DAwa mafuta ya taa kwa chakula
 
Age zao zinafanana. Na asilimia kubwa wanakuwa hawajawai kufanya mapenzi ndio maana wanapata kwa pamoja.

Hiyo ya pamoja inaitwa Mass Hysteria.

Nenda kafanye research google na youtube utaelewa zaidi.

Ama nenda kamuulize daktari bingwa wa wanawake.. atakueleza
Kwa kuongeza,hali hiyo hutokea hata kwa wanaume inapotokea wanatembea pamoja njiani then mmoja wao aka shikwa na haja mdogo akaenda kujisaidia, na wengine nao watashikwa na haja na kwenda kunisaidia.
 
Kwa maana hiyo nyege zimewapata wote kwa muda mmoja?

Yani kwa mfano mmoja wao angehisi kiu ya maji, hiyo kiu kuna uwezekano wa kuwashika wote kwa muda mmoja?

Au imekaaje.
Mmewahi kutembea group mmoja akianza kukojoa mnajikuta group zima mnakojoa?
 
Nyege si wanaludi likizo makwao au wanakaa moja kwa moja shuleni Kama masista.
 
Aisee ulipitia hlo life?

Advance hyo uboyzn kila baada ya miezi miwili walikua wanatuletea wadada wa mawenzi, machame dadaz, weru weru, ashira, Masama, majengo na zngn tunaonesha talents kidogo tunapiga msosi then walimu wanatoka tunabaki social hall na wadada mlango unafungwa ......🤣disco masaa manne au matano hapo lazima ukojoe zote
nashukuru sheleni kwetu kulikua na walimu wengi wa kiume kuliko wa kike
 
Mkuu, bado maelezo yako hayatoshi kuthibitisha hayo madai kwamba inatokana na nyege,.... Huenda kuna ugonjwa mwingine, Mfano tukisema labda kuna chakula wamekula ambacho kimepelekea tatizo hilo inaweza ikaingia akilini kidogo,.

Maana nyege ni kama kiu tu, sidhani kama kundi la watu kumi wanaweza kuhisi kiu kwa wakati mmoja.
Kwa kuongeza,hali hiyo hutokea hata kwa wanaume inapotokea wanatembea pamoja njiani then mmoja wao aka shikwa na haja mdogo akaenda kujisaidia, na wengine nao watashikwa na haja na kwenda kunisaidia.
 
Back
Top Bottom