Huu ugonjwa wa "kutetemeka" kuishiwa nguvu mabinti wa shule

Huu ugonjwa wa "kutetemeka" kuishiwa nguvu mabinti wa shule

Mbona zinawapata tu watoto wa shule?

Huku mitaani kuna wasichana kibao wanaojistiri vizuri lakini mbona hili tatizo hawana?
una uhakika? i have anakaria 35 aliumwa watu wakahangaika kwenda hospital doctor akamwambia ni kwa kua hajadinywa
 
Mbona zinawapata tu watoto wa shule?

Huku mitaani kuna wasichana kibao wanaojistiri vizuri lakini mbona hili tatizo hawana?

Wanajisitiri vizuri kivipi ? Sijakuelewa kujisitiri unamaanisha hawagongwi ama hawaongei ongei na wanaume ?
 
Huo ugonjwa tu kizungu wanaita hysteria watakaa sawa tu hamna uchawi wala nn apo inabid either waletewe boys wacheze disco au walemwe likizo fupi
 
We mbishi sana.

Zama hizi za google na youtube.

Research kibao zimejaa mtandaoni.

Hizo vitu hazijaanza tokea leo ni enzi na enzi.

Na wazungu washafanya research nyingi na wakapata majibu.

Jifunze kujisomea ili uelewe mambo kwa upana
Let's agree to disagree,... Tufanye upo sahihi,.

Kwangu, sio kila ninachoona Google, YouTube au platform yoyote ntakichukulia ukweli 100%.

acha room ya kufikiria mwenyewe pia..!
 
Hadi leo tiba ni hiyo hiyo.

Ugonjwa huu umepungua sababu mabinti wa leo wanaanza kugongwa mapema.. hivyo hizo madness haziwatokei kama zamani

Screenshot kipengele unadai ili wakuelewe.. pigilia misitari kabisa.
 
Mbona zinawapata tu watoto wa shule?

Huku mitaani kuna wasichana kibao wanaojistiri vizuri lakini mbona hili tatizo hawana?
Inatakiwa uwe exposed na wanaume. So WA mtaani wanaonana na wanaume all the time so Ile hali inapotea automatically. Sio lazima ufanye sex. Ndio maana zamani kulikuwa na disco wanapelekwa wasichana shule WA wavulana wanapiga disco then wanarudishwa sio kwamba walikuwa wanasex... Hapana ikitokea sawa ila LA. Msingi ilikuwa ni makutano na jinsia nyingine. Au shule nyingine walikuwa msosi unapikwa na mafuta ya taa kwa mbali Ile inatoa Ile wenge.
Now uzungu mwingi hawapiki na kerosene ndo maana shida hiyo. We hujiulizi why wavulana hawapati shida hiyo. Sababu masela wanaanza Kujipiga Selfie/aka MKONO mapema 13 years
 
Back
Top Bottom