masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
- Thread starter
- #61
Kataa ndoa....huoni....lazima hata ukiona upaja tu....mnara unasomacomments za mwanzo nimedisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kataa ndoa....huoni....lazima hata ukiona upaja tu....mnara unasomacomments za mwanzo nimedisa
NAKAZIAKataa ndoa
Yaani hatari, narudi geto chap , nawasha feni, nakwea mnazi, sexual tension inashuka to 0lazima hata ukiona upaja tu....mnara unasoma
Hahahah eti madnesHadi leo tiba ni hiyo hiyo.
Ugonjwa huu umepungua sababu mabinti wa leo wanaanza kugongwa mapema.. hivyo hizo madness haziwatokei kama zamani
Pole sanaNAKAZIA
Yaani hatari, narudi geto chap , nawasha feni, nakwea mnazi, sexual tension inashuka to 0
nishazoeaPole sana
Duh!...si ni nyegezi tu hizo wenzao wakishaona hivyo wanaandaa kijisherehe waanaalika shule za boys mnaekewa disco
Binti anaweza kaanguka, anatetemeka au anakuwa kapatwa na kitu kama kifafa.Ndio nn hiyo?
shule za bweni zina hekaheka acha tuBalaa, sijawahi experience hivyo vitu😂
Umejuaje kama hawan au wanalo wakati ni geti kali 24/7?Kuna watoto geti kali 24/7 yupo ndani lakini mbona hili tatizo hawana?
KumbeBinti anaweza kaanguka, anatetemeka au anakuwa kapatwa na kitu kama kifafa.
Iliwapata mabinti au wanawake ambao hawashiriki kwenye sexual activities
Zamani hii iliitwa hysteria, ulikuwa ni ugonjwa.
Lakini siku hizi hautambuliki kama ugonjwa.
Wakati ule tukiwa shuleni, nakumbuka Wanafunzi wa Loleza walikuwa wanakuja kuja kwaajili ya disco shuleni kwetu.si ni nyegezi tu hizo wenzao wakishaona hivyo wanaandaa kijisherehe waanaalika shule za boys mnaekewa disco
Wenzetu wanaita hysteria. Ila kwenye Ile video mtoa taarifa anasema inatokana na chanjo fulani. Kuna nchi zilipiga marufuku chanjo ya polio kwa kisingizio hiki na pia kuchelea wasichana kutoweza kupata mimba katika maisha yao hapo baadae. Matokeo yake baada ya muda polio ikalipuka na watoto wakawa vilema. Kuweni makini sana na taarifa zisizo sahihi zitolewazo mitandaoni.Haswa shule za boarding ambazo ni wasichana tupu. Hilo tatizo Huwa la kuishiwa nguvu miguuni huyokea mara Kwa mara.
Kufuatia hiyo shule ya kenya ya wasichana inayotrend, lakini Mimi nimeshaishuhudia mara nyingi.
Poa Kwa shule za mchanganyikon huw inatokea ila Kwa uchache sana.
Je, kuna namna ya kuelezea swala hili kitaalamu?
Kuna shule hapa jirani kidato Cha 1hadi 6,wavulana na wasichana.wasichana wanatatizo kama Hilo,na wengine kuchanganyikwa hasa wasichana,jitihada zinafanyika kutibu tatizo Hilo lkn Bado,wiki end ilyopita kulikuwa na disko la kukaribisha kidato Cha 5 lkn Bado tatizo linaongezeka.Naomba mwenyewe Ushauri wa kuwasaidia kukomesha tatizo Hilo maana walimu na wanafunzi wanateseka.si ni nyegezi tu hizo wenzao wakishaona hivyo wanaandaa kijisherehe waanaalika shule za boys mnaekewa disco
si ni nyegezi tu hizo wenzao wakishaona hivyo wanaandaa kijisherehe waanaalika shule za boys mnaekewa disco
We chizi kumbe![]()
Female hysteria - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Nenda kabishane na Wikipedia
Walimuona wanatesekaje na wenyewe au...hizo hekaheka za madogoKuna shule hapa jirani kidato Cha 1hadi 6,wavulana na wasichana.wasichana wanatatizo kama Hilo,na wengine kuchanganyikwa hasa wasichana,jitihada zinafanyika kutibu tatizo Hilo lkn Bado,wiki end ilyopita kulikuwa na disko la kukaribisha kidato Cha 5 lkn Bado tatizo linaongezeka.Naomba mwenyewe Ushauri wa kuwasaidia kukomesha tatizo Hilo maana walimu na wanafunzi wanateseka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha porojo kuna matukio mengi hata wake za watu wanapata hii kitu. Hakuna cha nyege wala nini. Mtu katiwa leo kesho akifanya mazoezi flani flani anapata hali kama hii. Ndio maana kuna mmoja hapo kasema hata jkt kuna mazoezi makali hali hii hutokea nasionkwa wanawake tu hata wanaume acha kujifaragua pusi weweWe mbishi sana.
Zama hizi za google na youtube.
Research kibao zimejaa mtandaoni.
Hizo vitu hazijaanza tokea leo ni enzi na enzi.
Na wazungu washafanya research nyingi na wakapata majibu.
Jifunze kujisomea ili uelewe mambo kwa upana