Huu ujasiri kwenye mahusiano tunao wachache hapa Tanzania

Huu ujasiri kwenye mahusiano tunao wachache hapa Tanzania

Hivi nyie mnaongelea hasara gani? Hizo chips/usafiri/drinks?? Mbona vitu vya kawaida mazee au nyi wenzetu choka mbaya kifikra??
Sikia Bro wewe piga chini tafuta pisi ingine kwanza sio kila dem wakuchovya chovya wengine wanamikosi ya babu zao, unaweza kuhangaikia afu demu wenyewe kawaida sana au ukapata ma-HPV bure.
Ifike mahala wanaume msiwe cheap kiasi hiko et ukimnunulia demu chakula au beer au kamsaada fulani lazima umtafune! Vitu vingine potezea ni hasara kama hasara zingine
 
Umekubali kuwa manzi kakalishwaee?
Maana kwanza lilianza likiwa juu kinoma but dogo kashusha one hit kamenyamaza na kupoa
Hakuna kitu wanawake hatupendi kama mwanaume aseme mi sio baba ako au mumeo nikuhudumie unajiuliza asa kaniweka fungu gani??? Ilihali ulishaona jamaa kama bwege mtozeni wako inauma kinoma
 
Huyo demu kashajua hapa na date na mtu mwenye mental disorder unless she's also crazy.
Kwanza unachat kike, alafu huna point ya msingi. Kuthibitisha wewe ni kiazi huna hata aibu unatupostia hapa tukuone ulivyo jinga jinga la kutupwa. Poor boy!
 
Hakuna kitu wanawake hatupendi kama mwanaume aseme mi sio baba ako au mumeo nikuhudumie unajiuliza asa kaniweka fungu gani??? Ilihali ulishaona jamaa kama bwege mtozeni wako inauma kinoma
Kingine naona wadau hapa jamvini wanaact like masuperior sana kwenye mahusiano but amini usiamini wengi wao ni wasenge kinyama yaani..
Na believe me wengi wao hawana technique ya kumzoa manzi..
Wanajiaminisha kuwa manzi utamzoa at zero cost kitu ambacho ni uongo mkubwa..
Wengi tunaapply maneno baada ya mbinu ndogo ya kumuonyesha who you are na ile impression yako kwake ndio vitu huchangia mamanzi wapitiwe kama kipanga yaani..
Wanawake ndio huwa hawana point of return kwenye mahusiano mapya..
Yaani kama day one umemconqure na akatii hitaji lako hata kama utamuhitaji aje ghetto atakuja tu lakini usitarajie afike avue chupi kirahisi kihivyo wakati hata dudu yako hajawahi kuiona..
Au mnataka niwape code ya kumfanya manzi yeyote avue chupi akishafika ghetto?
 
min -me kama utarogwa kwa kupeperusha hilo gari je mimi ninaeghairi nitafanywa nini?
Kumbe hata hili penzi la 5G nimewekewa dawa yaani Atoto unaroga hadi watu walioketi meza moja na Lucifer really?
Ngoja nikifanya ibada ya saba nitamuuliza bwana mkubwa kama kuna binadamu ananiweza?
Anijibu..
😂😂 mkuu mnunulie mtoto mzuri gari acha drama 😅
 
Wazee nawasalimu kwa jina la Baltazar....

Huyu Binti ni nurse katika hospital ya wilaya.

Nilimpata tuna kama mwezi sasa, alinizoea ghafla kiasi kwamba unaweza dhani ni mtu ambaye alikuwa na ukame sana wa wanaume.

Baada ya kuanza mahusiano zile panda shuka kwenda na kurudi hospital nikawa nampeleka na kumrudisha Kwa pikipiki yangu.

Muda mwingine ananiagiza vinywaji na vi chips, mwanzo nilikuwa mvumilivu. Siku zikaenda nikaomba mzigo akawa ana4uka ruka oooh ngoja tuzoeane kwanza na tuchek afya nikamwambia swala la afya hakuna shida tupime tu anytime bado akawa analeta ujanja ujanja hataki kuingia kwenye mfumo wa Baltazar.

Muda huo vimizinga vidogovidogo kama vyote, siku moja tupo kitaa usiku tukapita karibu na home napokaa basi nikamwambia tupite kwangu upaone hakubisha tukapaki nje tukaingia ghetto.

Kufika ghetto nikaanza mipapaso akasema siku nyingine atakuwa anakuja tunalala kabisa na tutaenjoy Dunia ila Kwa siku hiyo tuache kwanzia mpka tupime sikupinga kwasabab zile sababu zilikuwa na mashiko.

Siku zikaenda kunikwepa kukaendelea ahadi zisizotimizika sasa leo kaniomba hela ya kusuka nikaamua nimtolee uvivu nikamwambia pesa sina.

Alivojichanganya ni kuliuliza kwanini sina pesa hapo nikapata loop hole ta kuruka naye ki master, the rest is historyView attachment 3148855
Hapa wewe ndiye mjinga na wewe wewe ndio umeliwa.
 
Kila wakati unapofanya huu upuuzi jua kwamba mizimu ya Mkwawa na Kinjeketile inasikitika kuporeza uhai kwa ajili ya vijana wa hovyo
 
Lets us Make Men Great Again

Mods waliondoa access ya mimi kucomment au kuandika uzi kama wiki sasa eti wanasema maneno yangu makali, leo ndio wameanza kunipa access ya kuweza kucomment

Hatutaacha kuwasanua wanetu wakae kitaalamu na hawa viumbe matapeli

Cc Payge
Mods mbona wanazingua sasa na wao? Hongera kwa kurudi kundini
 
Back
Top Bottom