Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utamlia wapi wakati umeshamjibu mbovu?Huyu analiwa wakuu msiwaze kabisa asee
Ninong'oneze Shem..😀Kwamba eti hamna wachaga mafalla..🤣🤣🤣🤣! Halafu shem nimekumbuka kitu, au basi leo ni jumapili!!
Shindikana tulia 🤣🤣🤣shindikana unaona sasa?
NAKAZIAMkuu punguza kujielezea na magazeti huru.
Yani demu apo anamjibu shortly ok mwamba yeye anatiririka tu. Huyo ke angemla shida yake kamuendekeza. Kwa sasa kashajiwekea ugumu na akimuhitaji atatoboka haswa.NAKAZIA
Hapo jamaa kafeli mwanaume unatakiwa uwe na maneno machache kuliko demu iwe kwenye meseji au simu au ana kwa ana
Sio lazima kumla kuna mbususu za kutosha kitaaYani demu apo anamjibu shortly ok mwamba yeye anatiririka tu. Huyo ke angemla shida yake kamuendekeza. Kwa sasa kashajiwekea ugumu na akimuhitaji atatoboka haswa.
Mkuu Nakushukuru sana na nakupongeza kwa kuwa wewe umehitimu masomo ya Robert Heriel( Mtibeli) na Mr Natafuta Ajira.Wazee nawasalimu kwa jina la Baltazar....
Huyu Binti ni nurse katika hospital ya wilaya.
Nilimpata tuna kama mwezi sasa, alinizoea ghafla kiasi kwamba unaweza dhani ni mtu ambaye alikuwa na ukame sana wa wanaume.
Baada ya kuanza mahusiano zile panda shuka kwenda na kurudi hospital nikawa nampeleka na kumrudisha Kwa pikipiki yangu.
Muda mwingine ananiagiza vinywaji na vi chips, mwanzo nilikuwa mvumilivu. Siku zikaenda nikaomba mzigo akawa ana4uka ruka oooh ngoja tuzoeane kwanza na tuchek afya nikamwambia swala la afya hakuna shida tupime tu anytime bado akawa analeta ujanja ujanja hataki kuingia kwenye mfumo wa Baltazar.
Muda huo vimizinga vidogovidogo kama vyote, siku moja tupo kitaa usiku tukapita karibu na home napokaa basi nikamwambia tupite kwangu upaone hakubisha tukapaki nje tukaingia ghetto.
Kufika ghetto nikaanza mipapaso akasema siku nyingine atakuwa anakuja tunalala kabisa na tutaenjoy Dunia ila Kwa siku hiyo tuache kwanzia mpka tupime sikupinga kwasabab zile sababu zilikuwa na mashiko.
Siku zikaenda kunikwepa kukaendelea ahadi zisizotimizika sasa leo kaniomba hela ya kusuka nikaamua nimtolee uvivu nikamwambia pesa sina.
Alivojichanganya ni kuliuliza kwanini sina pesa hapo nikapata loop hole ta kuruka naye ki master, the rest is historyView attachment 3148855
sahihi mkuu kwa sasa ampotezee tu.Sio lazima kumla kuna mbususu za kutosha kitaa
Safi sana kama anajielewa lazima arekebisha upumbavu wake HuyoWazee nawasalimu kwa jina la Baltazar....
Huyu Binti ni nurse katika hospital ya wilaya.
Nilimpata tuna kama mwezi sasa, alinizoea ghafla kiasi kwamba unaweza dhani ni mtu ambaye alikuwa na ukame sana wa wanaume.
Baada ya kuanza mahusiano zile panda shuka kwenda na kurudi hospital nikawa nampeleka na kumrudisha Kwa pikipiki yangu.
Muda mwingine ananiagiza vinywaji na vi chips, mwanzo nilikuwa mvumilivu. Siku zikaenda nikaomba mzigo akawa ana4uka ruka oooh ngoja tuzoeane kwanza na tuchek afya nikamwambia swala la afya hakuna shida tupime tu anytime bado akawa analeta ujanja ujanja hataki kuingia kwenye mfumo wa Baltazar.
Muda huo vimizinga vidogovidogo kama vyote, siku moja tupo kitaa usiku tukapita karibu na home napokaa basi nikamwambia tupite kwangu upaone hakubisha tukapaki nje tukaingia ghetto.
Kufika ghetto nikaanza mipapaso akasema siku nyingine atakuwa anakuja tunalala kabisa na tutaenjoy Dunia ila Kwa siku hiyo tuache kwanzia mpka tupime sikupinga kwasabab zile sababu zilikuwa na mashiko.
Siku zikaenda kunikwepa kukaendelea ahadi zisizotimizika sasa leo kaniomba hela ya kusuka nikaamua nimtolee uvivu nikamwambia pesa sina.
Alivojichanganya ni kuliuliza kwanini sina pesa hapo nikapata loop hole ta kuruka naye ki master, the rest is historyView attachment 3148855