Huu ujasiri kwenye mahusiano tunao wachache hapa Tanzania

Huu ujasiri kwenye mahusiano tunao wachache hapa Tanzania

Mtani mwanga pesa hakuna demu wa bure tu na wala hauna mpango wa kuoa .

Kamchumba mbona hautokei nakusubiri, mwenzio nimekumisi mamilooooooo nakupenda mimi msela sio bishoooo ๐ŸŽต ๐ŸŽถ ephen_ ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
We mchaga una mapenzi ya kizaramo sana๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
We mchaga una mapenzi ya kizaramo sana๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Hahaha hakuna mchaga fala mtani , tunajua kuwajali wanawake na kuwapa mahaba ndio maana unaona japo tuna eneo dogo ila wachaga ni wa tatu kwa idadi ya watu Tz๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wengi Watasema "umepigwa na kitu kizito" ila me naona akili imeanza kufanya kazi.

Mimi nakubaliana na wewe kuushinda moyo wako na akili na nafsi kusimama mahala pake.

Huo ujasiri wa kumwambia hivyo hyo ni nafsi Yako imesema yani yapo ndyo wewe halisi.

Project nyingi zinakuwa na hasara katika maisha yetu nenda tu kaanzishe new project buddah.
 
Wazee nawasalimu kwa jina la Baltazar...........

Huyu Binti ni nurse katika hospital ya wilaya.
Nilimpata tuna kama mwezi sasa, alinizoea ghafla kiasi kwamba unaweza dhani ni mtu ambaye alikuwa na ukame sana wa wanaume.

Baada ya kuanza mahusiano zile panda shuka kwenda na kurudi hospital nikawa nampeleka na kumrudisha Kwa pikipiki yangu.

Muda mwingine ananiagiza vinywaji na vi chips, mwanzo nilikuwa mvumilivu. Siku zikaenda nikaomba mzigo akawa ana4uka ruka oooh ngoja tuzoeane kwanza na tuchek afya nikamwambia swala la afya hakuna shida tupime tu anytime bado akawa analeta ujanja ujanja hataki kuingia kwenye mfumo wa Baltazar.

Muda huo vimizinga vidogovidogo kama vyote, siku moja tupo kitaa usiku tukapita karibu na home napokaa basi nikamwambia tupite kwangu upaone hakubisha tukapaki nje tukaingia ghetto.

Kufika ghetto nikaanza mipapaso akasema siku nyingine atakuwa anakuja tunalala kabisa na tutaenjoy Dunia ila Kwa siku hiyo tuache kwanzia mpka tupime sikupinga kwasabab zile sababu zilikuwa na mashiko.

Siku zikaenda kunikwepa kukaendelea ahadi zisizotimizika sasa leo kaniomba hela ya kusuka nikaamua nimtolee uvivu nikamwambia pesa sina.

Alivojichanganya ni kuliuliza kwanini sina pesa hapo nikapata loop hole ta kuruka naye ki master, the rest is historyView attachment 3148855
As long as hujala mzigo, ulieliwa ni wewe.

Kuonyesha kuwa huna umuhimu wowote kwake ni hilo jibu la mwisho la 'ok'. Halina maelezo wala majuto๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Ila ujue oga Bartazar hupati, ndio historia, huyo kama nesi kuna mkuu wa kitengo anatumia hapo ofsini kwao. Wewe ni kama Extracurricular activities tu.
 
Back
Top Bottom