Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ebu njoo hapa kwa mangi, upate mishikaki ya kitimoto huku ukininong'oneza huwa naomba niniπππ Hata wewe ni omba omba basi tu tunatofautiana vya kuomba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu njoo hapa kwa mangi, upate mishikaki ya kitimoto huku ukininong'oneza huwa naomba niniπππ Hata wewe ni omba omba basi tu tunatofautiana vya kuomba.
Anavyojitutumua sasa kujiona mjanjaππππKashaachwa ila hajajua maskini.
Mkuu mwache huyu tafadhali βΊοΈEbu njoo hapa kwa mangi, upate mishikaki ya kitimoto huku ukininong'oneza huwa naomba nini
shindikana unaona sasa?Anavyojitutumua sasa kujiona mjanjaππππ
Hela za πzinamuumaAnavyojitutumua sasa kujiona mjanjaππππ
π kitu gani mkuu?Akikuomba utampa? π π π
Kafanya kosa moja la kijinga sana hakutakiwa hata kuoonekana kaumia hivyo kwa hiyo hela kuombwa ni mjibu mawili sina au nakutumiaMwamba akijichanganya kupanic ndio atachunwa abaki na elfu moja mia mbili zinaning'inia kwenye suruali, na mbususu hatoiCannulateπ€£
Subiri aje akupe majukumu, ujikute ukitembea barabarani unaongea mwenyeweπ kitu gani mkuu?
Hawa viumbe wana leta aibu kilimanjaro vibahili mno utasikia nethinaa mburiiii ,,,,,,,, ujue vinaficha pesa tuπMpare huyo...
Umesahauπ€£π€£
Sio kwel mkuuππSubiri aje akupe majukumu, ujikute ukitembea barabarani unaongea mwenyewe
Wahuni mnavyompondea ndio hasira zinazidiπKafanya kosa moja la kijinga sana hakutakiwa hata kuoonekana kaumia hivyo kwa hiyo hela kuombwa ni mjibu mawili sina au nakutumia
Sasa unajielezeaa weeh ndio unajibiwa okay ππ€£
Mtoto wa mjini huyo anataka Kelsea 1Sio kwel mkuuππ
πππ mkuu pesa unayo?ππMtoto wa mjini huyo anataka Kelsea 1
Aliyeimba huu wimbo siyo msaga sumuKidemu changu kilokole kikilewa kinahubiri π΅ πΆ ( kwa sauti ya msaga sumu)πππππ
Aliyeimba huu wimbo siyo msagaKidemu changu kilokole kikilewa kinahubiri π΅ πΆ ( kwa sauti ya msaga sumu)πππππ
Unauhaika?Kashaachwa ila hajajua maskini.
Sio ila kwa sauti yake unaelewa lakini?πAliyeimba huu wimbo siyo msaga