Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Dah! Mkuu umeniangusha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Honga wewe....hakuna cha bure....😂😂😂😂Wazee nawasalimu kwa jina la Baltazar...........
Huyu Binti ni nurse katika hospital ya wilaya.
Nilimpata tuna kama mwezi sasa, alinizoea ghafla kiasi kwamba unaweza dhani ni mtu ambaye alikuwa na ukame sana wa wanaume.
Baada ya kuanza mahusiano zile panda shuka kwenda na kurudi hospital nikawa nampeleka na kumrudisha Kwa pikipiki yangu.
Muda mwingine ananiagiza vinywaji na vi chips, mwanzo nilikuwa mvumilivu. Siku zikaenda nikaomba mzigo akawa ana4uka ruka oooh ngoja tuzoeane kwanza na tuchek afya nikamwambia swala la afya hakuna shida tupime tu anytime bado akawa analeta ujanja ujanja hataki kuingia kwenye mfumo wa Baltazar.
Muda huo vimizinga vidogovidogo kama vyote, siku moja tupo kitaa usiku tukapita karibu na home napokaa basi nikamwambia tupite kwangu upaone hakubisha tukapaki nje tukaingia ghetto.
Kufika ghetto nikaanza mipapaso akasema siku nyingine atakuwa anakuja tunalala kabisa na tutaenjoy Dunia ila Kwa siku hiyo tuache kwanzia mpka tupime sikupinga kwasabab zile sababu zilikuwa na mashiko.
Siku zikaenda kunikwepa kukaendelea ahadi zisizotimizika sasa leo kaniomba hela ya kusuka nikaamua nimtolee uvivu nikamwambia pesa sina.
Alivojichanganya ni kuliuliza kwanini sina pesa hapo nikapata loop hole ta kuruka naye ki master, the rest is historyView attachment 3148855
Huyu analiwa wakuu msiwaze kabisa aseeDah! Mkuu umeniangusha.
Huyu kautaka na ataliwa hakuna ata shidaumefeli pakubwa demu huwa achambwi ,ungempatia tu pesa ya kusuka kisha ungepiga kimya angeja tu kwenye mfumo mwenyewe
Kwahyo unataka kusema nimeliwa au sio?Tumependana walevi twalewa kwa hela zetu 🎵 🎶 😂😂😂
Siyo afisa usafirishaji huuu usafiri ni kwajili ya mishe zanguKwahiyo wewe ni mwekezaji upande wa usafirishaji abiria kwa pikipiki. Anyway huwa ipo hivyo
Analiwa huyu Wala usiwazekikubwa ni kutimiza lengo usiangalia nini ulishaspend kwa ajili yake wewe endelea kumuhudumia hadi siku ajae kwenye mfumo
Sawa nabii TitoUlivyosema tu Wilaya flani unaenda na boda boda yako nikajua hamna kitu
Nadhani yeye alikuchukulia Kama Afisa usafirishaji.Siyo afisa usafirishaji huuu usafiri ni kwajili ya mishe zangu
We dj uongeza sauti kudadeki,' niko na shemeji yako nyuma kama pikapu imepigwa jeki, we djeeeey ongeza sauti kudadeki , halafu tuzimie taaaa☺️, tushike viuno vyenye sketi 🎵 🎶 eeeeh hakuna mchaga mshamba×2 😂😂😂😂😂Mniletee samaki anayepaa🤣🤣🤣
Sitaki kusema kitu , ila vijana wa alfu mbili mnajuana😂Kwahyo unataka kusema nimeliwa au sio?
Mmekutana akili zinafanana...Wazee nawasalimu kwa jina la Baltazar...........
Huyu Binti ni nurse katika hospital ya wilaya.
Nilimpata tuna kama mwezi sasa, alinizoea ghafla kiasi kwamba unaweza dhani ni mtu ambaye alikuwa na ukame sana wa wanaume.
Baada ya kuanza mahusiano zile panda shuka kwenda na kurudi hospital nikawa nampeleka na kumrudisha Kwa pikipiki yangu.
Muda mwingine ananiagiza vinywaji na vi chips, mwanzo nilikuwa mvumilivu. Siku zikaenda nikaomba mzigo akawa ana4uka ruka oooh ngoja tuzoeane kwanza na tuchek afya nikamwambia swala la afya hakuna shida tupime tu anytime bado akawa analeta ujanja ujanja hataki kuingia kwenye mfumo wa Baltazar.
Muda huo vimizinga vidogovidogo kama vyote, siku moja tupo kitaa usiku tukapita karibu na home napokaa basi nikamwambia tupite kwangu upaone hakubisha tukapaki nje tukaingia ghetto.
Kufika ghetto nikaanza mipapaso akasema siku nyingine atakuwa anakuja tunalala kabisa na tutaenjoy Dunia ila Kwa siku hiyo tuache kwanzia mpka tupime sikupinga kwasabab zile sababu zilikuwa na mashiko.
Siku zikaenda kunikwepa kukaendelea ahadi zisizotimizika sasa leo kaniomba hela ya kusuka nikaamua nimtolee uvivu nikamwambia pesa sina.
Alivojichanganya ni kuliuliza kwanini sina pesa hapo nikapata loop hole ta kuruka naye ki master, the rest is historyView attachment 3148855
Ndio maana mimi huwa naunga mkono swala la nyeto kwa vijana wa namna hii🤔Umeandika gazeti umejibiwa OK 😂😂😂
Huruma.