Huu ujasiri kwenye mahusiano tunao wachache hapa Tanzania

Huu ujasiri kwenye mahusiano tunao wachache hapa Tanzania

umefeli pakubwa demu huwa achambwi ,ungempatia tu pesa ya kusuka kisha ungepiga kimya angeja tu kwenye mfumo mwenyewe
 
Wazee nawasalimu kwa jina la Baltazar...........

Huyu Binti ni nurse katika hospital ya wilaya.
Nilimpata tuna kama mwezi sasa, alinizoea ghafla kiasi kwamba unaweza dhani ni mtu ambaye alikuwa na ukame sana wa wanaume.

Baada ya kuanza mahusiano zile panda shuka kwenda na kurudi hospital nikawa nampeleka na kumrudisha Kwa pikipiki yangu.

Muda mwingine ananiagiza vinywaji na vi chips, mwanzo nilikuwa mvumilivu. Siku zikaenda nikaomba mzigo akawa ana4uka ruka oooh ngoja tuzoeane kwanza na tuchek afya nikamwambia swala la afya hakuna shida tupime tu anytime bado akawa analeta ujanja ujanja hataki kuingia kwenye mfumo wa Baltazar.

Muda huo vimizinga vidogovidogo kama vyote, siku moja tupo kitaa usiku tukapita karibu na home napokaa basi nikamwambia tupite kwangu upaone hakubisha tukapaki nje tukaingia ghetto.

Kufika ghetto nikaanza mipapaso akasema siku nyingine atakuwa anakuja tunalala kabisa na tutaenjoy Dunia ila Kwa siku hiyo tuache kwanzia mpka tupime sikupinga kwasabab zile sababu zilikuwa na mashiko.

Siku zikaenda kunikwepa kukaendelea ahadi zisizotimizika sasa leo kaniomba hela ya kusuka nikaamua nimtolee uvivu nikamwambia pesa sina.

Alivojichanganya ni kuliuliza kwanini sina pesa hapo nikapata loop hole ta kuruka naye ki master, the rest is historyView attachment 3148855
Honga wewe....hakuna cha bure....😂😂😂😂
 
Kwahiyo wewe ni mwekezaji upande wa usafirishaji abiria kwa pikipiki. Anyway huwa ipo hivyo
 
kikubwa ni kutimiza lengo usiangalia nini ulishaspend kwa ajili yake wewe endelea kumuhudumia hadi siku ajae kwenye mfumo
 
Man Down, need back up.!!

Kiufupi umechelewa sana and you're a loser

I repeat, man down.!!
 
Mniletee samaki anayepaa🤣🤣🤣
We dj uongeza sauti kudadeki,' niko na shemeji yako nyuma kama pikapu imepigwa jeki, we djeeeey ongeza sauti kudadeki , halafu tuzimie taaaa☺️, tushike viuno vyenye sketi 🎵 🎶 eeeeh hakuna mchaga mshamba×2 😂😂😂😂😂
 
Wazee nawasalimu kwa jina la Baltazar...........

Huyu Binti ni nurse katika hospital ya wilaya.
Nilimpata tuna kama mwezi sasa, alinizoea ghafla kiasi kwamba unaweza dhani ni mtu ambaye alikuwa na ukame sana wa wanaume.

Baada ya kuanza mahusiano zile panda shuka kwenda na kurudi hospital nikawa nampeleka na kumrudisha Kwa pikipiki yangu.

Muda mwingine ananiagiza vinywaji na vi chips, mwanzo nilikuwa mvumilivu. Siku zikaenda nikaomba mzigo akawa ana4uka ruka oooh ngoja tuzoeane kwanza na tuchek afya nikamwambia swala la afya hakuna shida tupime tu anytime bado akawa analeta ujanja ujanja hataki kuingia kwenye mfumo wa Baltazar.

Muda huo vimizinga vidogovidogo kama vyote, siku moja tupo kitaa usiku tukapita karibu na home napokaa basi nikamwambia tupite kwangu upaone hakubisha tukapaki nje tukaingia ghetto.

Kufika ghetto nikaanza mipapaso akasema siku nyingine atakuwa anakuja tunalala kabisa na tutaenjoy Dunia ila Kwa siku hiyo tuache kwanzia mpka tupime sikupinga kwasabab zile sababu zilikuwa na mashiko.

Siku zikaenda kunikwepa kukaendelea ahadi zisizotimizika sasa leo kaniomba hela ya kusuka nikaamua nimtolee uvivu nikamwambia pesa sina.

Alivojichanganya ni kuliuliza kwanini sina pesa hapo nikapata loop hole ta kuruka naye ki master, the rest is historyView attachment 3148855
Mmekutana akili zinafanana...
Endeleeni
 
Back
Top Bottom