Hammer11
JF-Expert Member
- Feb 18, 2024
- 1,518
- 2,174
Njooo nikuongize dude la bartazalTakataka 🚮
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njooo nikuongize dude la bartazalTakataka 🚮
Shindikana utulie tu vijana wa buku mbili watakutoa kamasi😜😜🤣🤣🤣🤣 ninalo.
Mwaba alianza vyedi ila kamaliza hovyo bwana . Mimi nimecheka sana hapo aliposema "akawa anaruka rula kuingia kwenye mfumo wa Baltazari" 😂.Umeanza vizuri, story inaonyesha hasara iko palepale ingawa hujamaliza story
Shindikana utulie tu vijana wa buku mbili watakutoa kamasi😜😜
We ndo ulivoelewa hivoSema umejielezea sana mjomba yani hizo ni dalili umeumia kuombwa hela kama huna unasema sina sasa wewe mtu anakujibu short umekazana kupiga essay 😄
Au sio, actual situation naijua mm na Wala sijipendekezag even at a very small measureWait kidogo unajiskiaje umeandika kifurushi Cha mwezi halafu amejibu Ok. Kama ni normal basi kuwa mpole utavuka Salama .bro
Sawa kaka na naila kilainiKifupi hiyo pisi haijakuelewa, unajieleza sana yeye anakujibu "OK" bado tu hujiongezi??? All in all TAFUTA PESA
Tumependana walevi twalewa kwa hela zetu 🎵 🎶 😂😂😂🤣🤣🤣🤣 ninalo.
Halafu yeye ndio anajiona shababi wakati demu ni kama kapata sababu ya kumtema 😄Kifupi hiyo pisi haijakuelewa, unajieleza sana yeye anakujibu "OK" bado tu hujiongezi??? All in all TAFUTA PESA
Mniletee samaki anayepaa🤣🤣🤣Tumependana walevi twalewa kwa hela zetu 🎵 🎶 😂😂😂
Thus, Si nimekwambia kua mpole tu utavuka Salama.Au sio, actual situation naijua mm na Wala sijipendekezag even at a very small measure