Huu ujasiri kwenye mahusiano tunao wachache hapa Tanzania

Halafu kichwa kinataja "..kwenye mahusiano..." kwenye thread mtu hujawahi hata kumla zaidi ya yeye kula hela zako.. huyo kama ana mahusiano basi ni mahusiano na hela zako za boda boda, sio na wewe.
Me siyo boda na kimla siyo shida kwasabab nina asilimia mia nipe siku mbili ntakuwa nishamla
 
Sema umejielezea sana mjomba yani hizo ni dalili umeumia kuombwa hela kama huna unasema sina sasa wewe mtu anakujibu short umekazana kupiga essay 😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…