Huu ulinzi wa VIP protection wa Freeman Mbowe unafikirisha walinzi walikuwa pale ambapo Mbowe hakuwepo?

Walinzi wa Hangaya unadhani hawana Maisha nje ya ulinzi ?
Pumbaf kabisa
 
Zao la Mwenge Hilo usisumbua akili yako. Maana kazi kubwa ya Mwenge Ni kuzalisha mazezeta. Hawezi kuelewa hata kitu kidogo hivyo
 
Hakuna kada ya hovyo kama ya wanasheria kwani ili uwe mwanasheria mzuri lazima uwe IMMORAL na uwe kipenzi cha wahalifu kam mh. Mbowe
Yesu aliitaja hiyo ya kina kingai kwamba msiwashitaki watu kwa Uongo. Na ndicho kilichopo mahakamani. Hiyo ikitumwa uwa inauwa. Hapo bila mawakili hiyo kada ingeshafanya Ushetani wao
 
Ooh kumbe Sabaya alikuwa kule kwenye mbege?
 
Hakuna kada ya hovyo kama ya wanasheria kwani ili uwe mwanasheria mzuri lazima uwe IMMORAL na uwe kipenzi cha wahalifu kam mh. Mbowe
Chuki yako kwa Mbowe ni ishara ya uccm wako, uchawa na umaskini wa fikra!
 

Mkuu, if you’re a lawyer, usipotoshe watu wengine wakaishia kunyea debe down the road!

Are you familiar with inchoate offenses?
 
Walikwambia walianza kazi?
 
Na hiki kipengele huwezi kukiona kwenye taarifa yoyote toka Chadema blog au Martin Masese kutoka Mahakamani.
Updates zao zote wanachakachua
 
 
Mkuu hatuongelei walinzi tunaongelea VIP PROTECTION- umeelewa. Wewe ulishamuona yule jamaa nyuma y JPM anatoka- hata wakati tnamuuga JMP alikuwa naye.
Una job description yao au ndio unaleta ujuaji? Kwamba kwa sababu ni VIP basi hawawezi fanya reconnaissance ama surveillance kabla Mbowe hajafika?
 
Mkuu nakubalina na wewe hakuna sheria inayokatza mtu kulindwa hata bila kujali huo umaarufu. Hoja yangu hapa ni kuwa kwanini walinzi hao hawakuwa na Mbowe.
Walikuwa bado hawajawa assigned kama waajiriwa wa Mbowe wala CHADEMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…