Huu umati ni kielelezo cha jamii iliyokata tamaa, inayotegemea miujiza ya mafuta itoboe!

Huu umati ni kielelezo cha jamii iliyokata tamaa, inayotegemea miujiza ya mafuta itoboe!

Hali kama hii inaifanya serikali kulala usingizi wa pono, badala ya kuibana serikali iboreshe uchumi na hali ya maisha ikiwemo upatikanaji wa ajira kwa vijana na huduma muhimu zikiwemo huduma bora za afya, maji, umeme, barabara wanaenda kutegemea kuvipata kwenye miujiza ya kina mwamposa.

Tukisema hii hali ya kukua na kuongezeka kwa hawa manabii janja janja kila kona kuna ajenda nyuma yake tutakuwa tumekosea?
 
Mazafanta wewe, these people are desperately poor looking for miracles. As for Zuchu and Mondi, that is a different occasion. People gather for Mondi and Zuchu to entertain their souls, to celebrate their hustles, to enjoy good moments and have fun. No one goes to Mondi in desperate.
sasa pilipili usiyoila yakuwashia nini we Bwabwa?

Kama uko based katika tasnia ya burudani si ukatulie kule kwa Pdidy na Burna Boy muendelee kupasuana marinda?

This gaddeymn gold digger needs Jesus...
 
A
Hapo waislam ni wa kutosha.

adriz Adiosamigo
Huyo mtoa mada mchukueni mkampime akili, kama anategemea nchi za kislam haswa warabu wanategemea mafuta.

Huyo haelewi hizo nchi zimeisha pewa nema kwa dua la Nabii Ibrahim, alipo muwacha Hajar na Ismail pale Makkah Al Mukarama aliomba dua hili

Qur'an 37

Ewe Mola wetu! Nimewaweka baadhi ya dhuria wangu (Kizazi chanu)katika bonde lisilo kulima, karibu na Nyumba yako Tukufu ili wapate kuswali. Basi zijazeni mapenzi katika baadhi ya nyoyo miongoni mwa watu, na (O Mwenyezi Mungu) wapeni matunda ili washukuru.


Kwa hio mtoa mada Wajukuu wa Ibrahim kwenye kizazi cha Ismail hawawezi kufa njaa, nyie pigeni tu kelele kheri hazita kauka pale.

Pale ni wale viongozi Pro Western ndio wanatia nuksi, kama watatawala kisheria, basi hakuna mtu wa kufa njaa, kwa hilo dua alilo tuombea Nabii Ibrahim.
 
sasa pilipili usiyoila yakuwashia nini we Bwabwa?

Kama uko based katika tasnia ya burudani si ukatulie kule kwa Pdidy na Burna Boy muendelee kupasuana marinda?

This gaddeymn gold digger needs Jesus...
No one needs Jesus, except the fools.
Jesus himself cried for help from his Lord whilst on cross, what are you mafazantas looking for from him; only if and only if you catch my drift.
By the way, pilipili ya shamba huku JF katuletea ya nini, unatupangia kwa kuchangia?
What a wicked boy are you?
Mamayo.
 
Go go Mwamposa u have speacial gathering time and that is not a wastage of time compared to swala tano.
And that's your problem niggaz, thinking anyone critizing you is a mere muslim. Nonetheless, the people in the picture are lost, dumbs and morons.
 
Kinachoniuz kwa mwamposa kushndana na mungu..ukiwa mtu wa imani basi lazma uamini pia ata ulemavu mungu ndo kapanga pia...sasa huyu nabii mwamposa yy anataka pia uyo mlemavu amponye
 
Wale wa tuma kwa namba hii mbona bado wana wateja, kiufupi ni kuwa wajinga ni wengi sana kuliko werevu kama ulikuwa hujui. Mtu mwerevu humkuti huko kwanza nia aibu kubwa, yani utategemea kutoboa maisha kwa mafuta na maji??? +
Wajinga hawashi labda bahari ikauke mkuu

Ova
 
Magonjwa na umasikini umetukabiri ndiyo maana tunenda huko tukajiandae kupokelewa kwa mungu mbinguni.
 
Bado hamja ona , ulimwengu bado haujaona udhihilisho wa
Nguvu za Mungu , utukufu kwa mwisho utakuwa zaidi ya ule wa
Kwanza .
 
Back
Top Bottom