Huu umati ni kielelezo cha jamii iliyokata tamaa, inayotegemea miujiza ya mafuta itoboe!

Huu umati ni kielelezo cha jamii iliyokata tamaa, inayotegemea miujiza ya mafuta itoboe!

Mkesha umefana sana,maneno ya mkuu wa mkoa yalikuwa na roho wa Mungu ndani yake,kama chizi atoki kwenye familia yako unaweza ukacheka hata nyie mnaoponda ni kwa vile tu mmevimbwira na shibe na kiburi cha uzima walokuwa pale ni watu ambao hawana mlivyo navyo wengi wao wametumia kila mbinu wameshindwa wameamua kumkimbilia Mungu.nyie kwa vile chizi atoki kwenye familia zenu ongeeni mtakavyo Mwamposa ni nabii anayekubalika nyumbani na ugenini Jina la Bwana litukuzwe
 
Huo umati ni kielelezo cha jamii iliyokata tamaa, inayotegemea miujiza ya mafuta itoboe!

Ujinga, maradhi na umasikini is real.

View attachment 3034776
Nakubaliana kabisa na wewe. Watu wamekata tamaa, hawana ajira, hawana vipato, hawana tumaini la kesho itakuwaje.

Umaskini, ufukura, na magonjwa vinatawala maisha. Mamilioni ya watu kama hawa ni rahisi kudanganyawa na kupotoshwa na wafanya miujiza kwa kivuli cha Dini.
 
Mafisadi yameshika nchi.

Wanyonge ndio hao hawana mtetezi.
 
Na wewe ukitaka tusimkosoe huyo Mungu wako usimuongelee hapa kwenye open forum.

Kama hutaki kusikia huyo Mungu wako namkosoa usilete habari zake hapa JF.

Baki na hizo habari za huyo Mungu moyoni mwako au hukohuko kwenye nyumba zenu za ibada.

Hata wewe naku shangaa unavyo umia tukisema huyo Mungu wako hayupo.
Nionyeshe sehemu ambayo mimi nimeumia watu wakimkosoa Mungu
Niko pale nasubiri
 
ingekuwa ni nyomi ya ZUCHU na Mondi hapo ungetoa sifa kedekede we jingalao!

These people did not commit any crime you Son of a beach!

Let God be God we are healing our problems through him
Mazafanta wewe, these people are desperately poor looking for miracles. As for Zuchu and Mondi, that is a different occasion. People gather for Mondi and Zuchu to entertain their souls, to celebrate their hustles, to enjoy good moments and have fun. No one goes to Mondi in desperate.
 
Nionyeshe sehemu ambayo mimi nimeumia watu wakimkosoa Mungu
Niko pale nasubiri
Kuhangaika kuni quote niliposema Mungu hayupo ni uthibitisho tosha kwamba unaumia kusikia Mungu huyo akisemwa hayupo.

Kama unajua Mungu huyo yupo, kwa nini uhangaike kumtetea yupo?

Si aje hapa ajidhihirishe mwenyewe na ajisemee mwenyewe kwamba yupo?
 
Kuhangaika kuni quote niliposema Mungu hayupo ni uthibitisho tosha kwamba unaumia kusikia Mungu huyo akisemwa hayupo.

Kama unajua Mungu huyo yupo, kwa nini uhangaike kumtetea yupo?

Si aje hapa ajidhihirishe mwenyewe na ajisemee mwenyewe kwamba yupo?
Lazima ujibiwe hii ni forum
Kwamba sitakiwi kumtetea Mungu ila wewe unarusiwa kumponda hii kali aisee
 
Mazafanta wewe, these people are desperately poor looking for miracles. As for Zuchu and Mondi, that is a different occasion. People gather for Mondi and Zuchu to entertain their souls, to celebrate their hustles, to enjoy good moments and have fun. No one goes to Mondi in desperate.
Go go Mwamposa u have speacial gathering time and that is not a wastage of time compared to swala tano.
 
Back
Top Bottom