Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Mwambie bhasi akuombee mzigo uwe XXL au tuelekee Mloganzila ?Nihamie wapi sasa, nipo huku miujiza imejaa.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie bhasi akuombee mzigo uwe XXL au tuelekee Mloganzila ?Nihamie wapi sasa, nipo huku miujiza imejaa.....
Mi mbona nnao kama wa cherokee de assMwambie bhasi akuombee mzigo uwe XXL au tuelekee Mloganzila ?
Hahaa hiyo hiyoNgoma hii hii Ngoma km Ngoma Grid ya Taifa au Ngoma ya Sikio?
Wasifanye Mchezo na Ngoma haoHahaa hiyo hiyo
Na wewe ukitaka tusimkosoe huyo Mungu wako usimuongelee hapa kwenye open forum.Sihangaika na wewe hii forum lazima ujibiwe kama unaongea utumbo ukitaka usijibiwe usi-comment
Hata wewe naku shangaa unavyo umia tukisema huyo Mungu wako hayupo.Hata ukisema Mungu hayupo kwangu mimi sio tatizo sababu wewe sio wa kwanza kusema hivyo na uhuru huo
Nakushangaa unavyowaattack watu kwa maamuzi waliyoyafanya kwenye maisha yao
Wacha tusubiri ushuhuda kwa watakaopona wakiamka saivi watakua bado wamelala kwa uchovu wa kukesha😄Wasifanye Mchezo na Ngoma hao
Namkubali Sana Hananja!!
Ukweli ni kwamba hiyo dalili ya ujinga wa hali ya juu sanaingekuwa ni nyomi ya ZUCHU na Mondi hapo ungetoa sifa kedekede we jingalao!
These people did not commit any crime you Son of a beach!
Let God be God we are healing our problems through him
Na wewe wakusanye kama ni raisi upige hela.Watu wanapiga pesa Kilaini sana aisee 😂
Hahaha mkuu kwani hujui kuwa wajinga ni wengi sana kuliko werevu? So na wewe unategemea miujiza?Unakufuru ujue.Yaani watu woote hao hawana akili kabisa?
Liko jambo kwenye maisha yao,na Mungu atawasaidia tu
Bhas we aminn unavyojua wew ila Mungu yupo jana,leo na hata milele full stop!Kuamini kwako kuna Mungu wala hakuthibitishi uwepo wa huyo Mungu.
Ni imani yako tu, Na msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.
Hukatazwi kuwa na imani yako ila Ukianza kudai imani yako ina ukweli lazima uthibitishe hilo.
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Wajinga ndiyo waliwao.Vipi sheikh Sharif Majini yale makolokolo yake anayowauziaga?
Wajinga ndiyo waliwao.Na Wewe ulikuepo kwenye Mkesha wa July 5?
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.Bhas we aminn unavyojua wew ila Mungu yupo jana,leo na hata milele full stop!
Labella alminMungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Kama Mungu huyo yupo mwambie aje hapa ajidhihirishe mwenyewe kwamba yupo.
Mwambie huyo Mungu aje hapa ani prove wrong kwamba yeye hayupo.
Mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu kwa vile Hayupo na hajawahi kuwepo kujiongelea mwenyewe.