Huu umati ni kielelezo cha jamii iliyokata tamaa, inayotegemea miujiza ya mafuta itoboe!

Huu umati ni kielelezo cha jamii iliyokata tamaa, inayotegemea miujiza ya mafuta itoboe!

Hapo ulipoandika; "wakufanikiwa atafanikiwa, ambaye muda wake bado aendelee kuwa na subra" ndipo mnapowaumizia ndugu, jamaa na marafiki zetu, wanaendelea kumiminika tu wakiamini siku yao ya miujiza iko njiani huku nyie mnakula tu sadaka.
Wapi ambapo kila anayeenda anafanikiwa kutatua shida zake?.
 
Kiwango cha matatizo na kutokuwa na elimu ya utatuzi ndio chanzo cha watu kwenda kutafuta usaidizi nje kwa waganga, mitume na manabii wa uongo,kwa mwenye maarifa na ufahamu hakuna tatizo jipya chini ya jua
Ni kweli mkuu wala sio uwongo...
Mi kuna jamaa angu mmoja huwa ananishauri sana kwenda kwa maostadhi mii nakomaa kumwambia fanya kazi dogo hukna kitonga cha namna hiyo bongo hapa
 
Wengi wanataka miujiza bila kuomba mungu
 
Miujiza ni huduma inayolipa sana kwa sasa.
Mfano yule papa fansi ya congo kule buza anakuja juu hatari Mimi napenda lafudhi ya kiswahili yake.
Can I profesaizi ......yes ....papaa.....
 
Na wewe kwa nini uhangaike na mimi ninaposema Mungu wako hayupo?
Sihangaika na wewe hii forum lazima ujibiwe kama unaongea utumbo ukitaka usijibiwe usi-comment

Hata ukisema Mungu hayupo kwangu mimi sio tatizo sababu wewe sio wa kwanza kusema hivyo na uhuru huo
Nakushangaa unavyowaattack watu kwa maamuzi waliyoyafanya kwenye maisha yao
 
pokea kwadamu ya yusu🤣🤣🤣🤣
Y
Huo umati ni kielelezo cha jamii iliyokata tamaa, inayotegemea miujiza ya mafuta itoboe!

Ujinga, maradhi na umasikini is real.

View attachment 3034776

2 WATHESALONIKE 2:7-12​

7 Maana ile siri ya kuasi hivi sasa inatenda kazi; lakini yuko azuiaye sasa, hata atakapoondolewa.
8 Hapo ndipo atakapofunuliwa yule asi, ambaye Bwana Yesu atamwua kwa pumzi ya kinywa chake, na kumwangamiza kwa ufunuo wa kuwapo kwake;
9 yule ambaye kuja kwake ni kwa mfano wa kutenda kwake Shetani, kwa uwezo wote, na ishara na ajabu za uongo;
10 na katika madanganyo yote ya udhalimu kwa hao wanaopotea; kwa sababu hawakukubali kuipenda ile kweli, wapate kuokolewa.
11 Kwa hiyo Mungu awaletea nguvu ya upotevu, wauamini uongo;
12 ili wahukumiwe wote ambao hawakuiamini kweli, bali walikuwa wakijifurahisha katika udhalimu.
 
Back
Top Bottom