Huu umilikishwaji wa vitega uchumi muhimu vya nchi kwa waarabu, ni uwekezaji au uvunaji?

Watu wako busy na Mzee magoma
 

Ndugu yangu rudi kwenye ufahamu.

Unaelewa maana ya mkataba?

Nikuoe Mfano:

Wewe na mimi tukisaini mkataba wa biashara kuwa, halafu kwenye mkataba, kukawa na kipengere mimi nikitaka ninaweza kukuondosha wewe kwenye nyumba yako, halafu nikaacha kukuondosha leo, haimaanishi kuwa sitakuondosha siku nyingine nikitaka, kwa sababu haki hiyo, kwa kadiri ya mkataba, ninayo. Mimi kama sina nia ya kukuondosha siku moja, uhakika ni kukiondoa hicho kipengere mara moja, lakini ukiona nimeng'ang'ania kisiondolewe, halafu nakuambia tu kuwa huoni mpaka leo sijakuondoa, kama una akili, lazima ujue kuna dhamira mbaya ipo, imewekwa kwenye akiba ya siku moja kuja kutumia hicho kipengere.

Jiulize jwa nini DPW hawataki kuondoa hivyo vipengere vibaya vinavyoitia nchi utmwani?
 
Akili za kilofa ni zile zinazoshindwa kuendeleza sekta mbalimbali na wanapojitokeza wawekezaji mahiri haraka sana zinakimbilia katika hoja za uzalendo na hiki cha kwetu!.

Mmoja wapo ya masharti ya kuendesha hiyo TPA hao DPW wameambiwa ni lazima wakuze uwezo wa wazawa wetu kwenye sekta nzima ya bandari.

Tunapiga makelele kuhusu uzalendo wa mali zetu lakini elimu za kisasa za kusimamia hizo mali hatuna na tumejawa na fikra za ufisadi, uzembe na uvivu.

Tubadilike kwanza, vinginevyo kwa vitendo tutaendelea kuonyesha ni kwanini serikali haikosei katika kutafuta wawekezaji.
 

Ndugu yangu rudi kwenye ufahamu.

Unaelewa maana ya mkataba?

Nikuoe Mfano:

Wewe na mimi tukisaini mkataba wa biashara kuwa, halafu kwenye mkataba, kukawa na kipengere mimi nikitaka ninaweza kukuondosha wewe kwenye nyumba yako, halafu nikaacha kukuondosha leo, haimaanishi kuwa sitakuondosha siku nyingine nikitaka, kwa sababu haki hiyo, kwa kadiri ya mkataba, ninayo. Mimi kama sina nia ya kukuondosha siku moja, uhakika ni kukiondoa hicho kipengere mara moja, lakini ukiona nimeng'ang'ania kisiondolewe, halafu nakuambia tu kuwa huoni mpaka leo sijakuondoa, kama una akili, lazima ujue kuna dhamira mbaya ipo, imewekwa kwenye akiba ya siku moja kuja kutumia hicho kipengere.
 
Upuuzi mtupu, tafuta kwanza elimu pana ya hiyo mikataba kabla ya kukosoa usichokifahamu.
 
Mkuu Bandari kuna uozo sana unless huna habari watu wanavyojizolea mahela na kujenga nyumba na kuishi maisha ya kifahari. Bandari kuna uzembe ambao unakimbiza meli zinaacha kuja kwetu na kwenda Beira na Mombasa.

Wazawa tunaona kama vile Bandari inauzwa lakini hatuko serious kwenye management.

Hata kama mkataba una matatizo, ngoja tumepata mahali pa kuanzia, matatizo yatatatuliwa baadaye. Hakuna Mkataba ambao hauwi REVIEWED wala ambao hauna mwisho.

Nilikuwa mfanyakazi wa TBL hadi mwaka 1997 wakati SAB imenunua TBL mwaka 1993. Na sisi tulipinga sana TBL isiuzwe kwa kuwa tutakosa kazi. Leo hii ni miaka 30 SAB imekuwa acquired na InBev ya USA, je kuna mtu yeyote ana doubt mapato ya TBL? Au ajira ambazo zimetegengenezwa?

Kuna mtu ana doubt na product za TBL au gawio na kodi ambayo TBL inaleta?

Je umewahi kumsikia Mtanzania yeyote akitaka TBL iwe mali ya umma tena?
 
Bams tuombe uzima tu Mungu atuweke hata japo tufike 2030 then tuje turudi kwenye page hii. Naamini hutapenda kusoma maandiko yako haya.

Privatisation ndiyo engine ya growth, Serikali haziwezi kufanya biashara
 
Uongo tu, heka 500 mzungu akupe kifala na ukae nazoo tu, shabash blood fakeni. thanks
 
Uongo tu, heka 500 mzungu akupe kifala na ukae nazoo tu, shabash blood fakeni.
Umeona ubishe tu kwa kutokuelewa au kujitoa ufahamu
Unatukana kwa ujinga wako
Kwa kuwa huna ufahamu na dunia hii
Acha nikutoe ushamba kidogo dogo kuwa ardhi ipo chini ya King lakini inaweza kukodishwa
Mwarabu wa Dubai kama unajua kizungu msome hapa
Hata mimi naweza kumiliki kama nina hela acha ujuaji wa kijinga
Nidanganye ili iweje?
Ngoje wenye akili wqje
 
Achana na huyu bwege Chatta g yuko huko sweken Nangurukuru anataka kubishana na watu walio mbele. Wana very poor arguments kwa kuwa hawana exposure
 
Achana na huyu bwege Chatta g yuko huko sweken Nangurukuru anataka kubishana na watu walio mbele. Wana very poor arguments kwa kuwa hawana exposure
Huwa sipendi kubishana na wapumbavu kama hao
Ambao Google wanatumia kuangalia ngono tu na tiktok
Kweli unamshambulia mtu bila kuwa na uhakika
What a cunt he is
 
warabu wanamiliki London kwa sasa itakuja kuwa Tanzania. Muwekezaji ni mwenye hela na hela iko kwa warabu. Wewe unaongea airport ya KIA wakati warabu tayari wanamiliki % Heathrow.
Mkataba walio ingia London ndio ulio uingia wewe? Ukitaka kujua kalitizame bunge la UK hata kwa wiki moja uone mijadala ya nchi yao inavyo endeshwa,uone jinsi walivyo kuwa na projection ya vizazi vyao miaka mia ijayo, uone watu wanavyo bishana kwa hoja bila kutishwa wala kukatizwa katizwa.

Hamna mtu anaye kataa uwekezaji bali watu wanacho kataa ni mikataba ya hovyo tunayo ingia kwani watakao umia ni vizazi vijavyo, ukifanya masihala Tembo watakuwa wanawatizama kwenye Zoo.
 
Tuna mazingira tofauti, mtaba wa Tanzania hauwezi kuwa sawa na wa UK. Pili tambua kuwa hata mkataba huwa REVIWED anytime kama moja ya pande haiko contented na performance. Ila nikikuuliza ni kipengele gani cha mkataba ni kibaya huwezi kutaja zaidi ya kukariri maneno ya akina Mwabukusi na Lissu
 
Mazingira ni tofauti, ila maslahi ni the same japo approach inaweza kuwa tofauti. Ila mikataba yote ni kwa ajili ya maslahi mapana ya wananchi.

Kuna maswali waliulizwa hila haya kujibiwa. Halafu kwani mashirika mengine yalivyo binafsishwa,wakina Mwabukusi na Lissu walikuwepo kwenye ulingo wa kisiasa.

Halafu Mwambukusi na Lissu ni raia na wana haki ya kutoa maoni na mtizamo wao,kwani hii ni nchi ya kidemokrasia.Ukiona watu wanaongea jua kuna vitu wameviona wanataka kama taifa tuviepuka,kwani yale mashirika mengine yaliyo binafsishwa leo hii yapo wapi?
 
Mwabukusi ni kwamba MWABUKUSI alipewa Tsh 400 Millioni na wenye masilahi na TICTS ili aipinge DP WORLD isiingie mkataba na Tanzania. Ndipo kajifanya mzalendo wa kutaka Tanganyika na Katiba Mpya.

Akaweza kuungana na Dr Slaa na Mdude_Nyagali ili kuipa presha Serikali.

Niliingia kwenye page yake ya Twitter nikaandika hii taarifa, akani BLOCK immediately
 
Nimekuwekea na link hapo au hujaiona?Kuna maswali waliuliza ila TEC hawakupewa majibu.

Kwani viwanda vingine vilivyo binafsishwa na leo yamebakwi magofu,Mwambukusi alilipwa kiasi gani? Tz klikuwa na viwanda vya nguo,Nyama,Matairi vilibinafsishwa je Lissu nae alipewa kiasi gani.

Labda kama umezaliwa juzi, ila kuna viwanda leo vimebaki kama majumba ya makumbusho na walio binafsishiwa wamekopea hela na kwenda kufanya biashara nyingine na wanadunda mtaani.

Halafu si kila anayepinga ni mpinzani au ana mlengo fulani wa siasa,kuna wengine wanataka kesho bora kwa vizazi vinavyo kuja.
 
Si unajua wapemba uzani na wao ni waarabu [emoji81][emoji81]kuna mmoja pale Top 1, aliwahi diriki kwenda kumsalimia babu yake wa ukoo kizaa nani nani sijui pale Oman ..

Tuna lipia fadhila kwa ardhi yetu kwa ujinga wa watu wachache
 
Magu ali kaza 6 years .kaja uyu sio mchoyo ajui kukataa kaachia zote in less than 3 years .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…