Baltazar Engongo
JF-Expert Member
- May 6, 2024
- 604
- 932
Umekosa mapema swali nililokuuliza, biashara ni airways tu? Ww umesema serikali haitakiwi kufanya biashara, maswali yalilenga kujua hilo la serikali haitakiwi kufanya biashara umetoa wapi? Na wapi huko nchi zilizoendelea serikali haifanyi biashara? Umekuja na airways, Kwan biashara no airways tu?Hilo chukua mwenyewe GOOGLE utakuta tu. Angalia hata USA wala hawamiliki American Airways au UK hawamiliki British Air kama majority shareholders.
Ni uwekezaji kama mwingine labda ni mgeni Kwa Tanzania.Miaka iliyopita, tukisikia wawekezaji, tunajua ni watu wenye mitaji na tekinolojia, wanakuja kujenga na kuendesha miradi yao waliyoijenga wenyewe.
Lakini, kwa sasa, ghafla maana ya uwekezaji imebadilika. Hao wawekezaji wa sasa, wanakuja wanachukua rasilimali za nchi ambazo tayari zimejengwa au kuendelezwa. Wanapewa, na kuanza kukusanya mapato. Hivi hawa ni wawekezaji au Wavunaji?
1) Marehemu Magufuli aliwakataa wawekezaji wa Kichina ambao wangejenga bandari mpya Bagamoyo, na ambayo wangeiendesha wenyewe. Tuliwakataa waliotaka kujenga bandari mpya. HALAFU? Kupitia mkataba wa IGA, mkataba wa hovyo kabisa kuwahi kutokea Duniani, DPW wakapewa bandari mama ya Dar es Salaam ambayo tayari nchi imekwishawekeza zaidi ya dola bilioni 10, na mwushoni kabisa, kwa mkupuo nchi imewekeza dola bilioni 1. DPW tunaambiwa eti atawekeza dola nusu billion. Katika hali ta kawaida, tujiulize, hivi sisi tuna utimamu wa akili? Unamkataa anayekuja kuwekeza mradi mpya, halafu unamkubalia mvunaji!! Huu ni uporaji wa kitegauchumi cha Taifa. Waliowezesha uporaji huu, wanalitakia nini Taifa hili?
2) Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Arusha, tayari ulikwishajengwa, tayari ulikuwa unafanya kazi, sasa amepewa mwarabu!! Hivi aliyepewa huo uwanja ni mwekezaji au mvunaji? Kama ni mwekezaji kwa nini hakupewa eneo akajenge uwanja wa kwake?
3) Kuna makampuni mengine toka Uarabuni yamepewa mbuga za wanyama na hifadhi za misitu. Hivi hawa ni wawekezaji au wavunaji/waporaji? Kama ni wawekezaji, wameleta pundamilia, twiga, fisi na ngiri wangapi kwenye hizo hifadhi? Au wamepanda mininga na mitundu mingapi kwenye hiyo misitu hadi waitwe wawekezaji?
Hivi tumefikia mahali pa kuwapa waarabu karibia kila rasilimali tulizozitolea jasho kwa miaka mingi, kwa lengo gani? Mtu yeyote ambaye hana uchumi ni mtu duni na automatically atakuwa mtumwa wa mwenye uchumi. Tunapowapa kila mlango wa uchumi waarabu, automatically tunatengeneza mazingira ya kuwafanya Watanganyika huko mbeleni kuwa watumwa wa waarabu ndani ya Taifa lao.
Jamani, tuwaache walio na tamaa za ajabu waendelee kushangilia na kufurahia hadaa wazifanyazo kwa Taifa, wao wakirushiwa hata dola laki 1, wapo tayari hata kuua matumaini ya vizazi vyote vijavyo, LAKINI walio na hekima ni lazima tuendelee kupaza sauti zetu na kusema kuwa huu uovu, kama umma wa watu wazalendo, tunasema HAPANA. Nchi inawahitaji wawekezaji wa ndani na nje, lakini wavunaji wa wa nje wa mazao ya uwekezaji wetu, tuseme, hapana. Tuongozwe na uzalendo na sio tamaa ya mapato binafsi.
Kabla ya uwekezaji pesa ilikua inapungua au inaongezeka? kwa records za bandari toka mama aingie makusanyo yameongezeka maradufuNi uwekezaji kama mwingine labda ni mgeni Kwa Tanzania.
Tanzania sio Nchi ya kwanza kufanya huo uwekezaji ila nyie ni ulimbukeni wako ndio unakusumbueni.
Mwisho kwani baada ya wawekezaji kupewa uendeshaji hela Kwa Serikali imepungua au imeongezeka? Ukijibuu hapo ndio Utajua ni uwekezaji au hapana.
Hivi we mwenyewe unajiona timamamu!Acha kuchangia. Nahitaji wenye akili timamu pekee. Siyo wewe.
Privatization na uporaji ni vitu viwili tofauti kabisa. Tanzania siyo nchi ya kwanza kufanya privatization. Tazama hata mkataba wa DP World Southampton, kama utaona ni kipuuzi kama huu wa kwetu.Bams tuombe uzima tu Mungu atuweke hata japo tufike 2030 then tuje turudi kwenye page hii. Naamini hutapenda kusoma maandiko yako haya.
Privatisation ndiyo engine ya growth, Serikali haziwezi kufanya biashara
Kukataaa ule ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo yalikuwa makosa makubwa mno ya kimkakatiMiaka iliyopita, tukisikia wawekezaji, tunajua ni watu wenye mitaji na tekinolojia, wanakuja kujenga na kuendesha miradi yao waliyoijenga wenyewe.
Lakini, kwa sasa, ghafla maana ya uwekezaji imebadilika. Hao wawekezaji wa sasa, wanakuja wanachukua rasilimali za nchi ambazo tayari zimejengwa au kuendelezwa. Wanapewa, na kuanza kukusanya mapato. Hivi hawa ni wawekezaji au Wavunaji?
1) Marehemu Magufuli aliwakataa wawekezaji wa Kichina ambao wangejenga bandari mpya Bagamoyo, na ambayo wangeiendesha wenyewe. Tuliwakataa waliotaka kujenga bandari mpya. HALAFU? Kupitia mkataba wa IGA, mkataba wa hovyo kabisa kuwahi kutokea Duniani, DPW wakapewa bandari mama ya Dar es Salaam ambayo tayari nchi imekwishawekeza zaidi ya dola bilioni 10, na mwushoni kabisa, kwa mkupuo nchi imewekeza dola bilioni 1. DPW tunaambiwa eti atawekeza dola nusu billion. Katika hali ta kawaida, tujiulize, hivi sisi tuna utimamu wa akili? Unamkataa anayekuja kuwekeza mradi mpya, halafu unamkubalia mvunaji!! Huu ni uporaji wa kitegauchumi cha Taifa. Waliowezesha uporaji huu, wanalitakia nini Taifa hili?
2) Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Arusha, tayari ulikwishajengwa, tayari ulikuwa unafanya kazi, sasa amepewa mwarabu!! Hivi aliyepewa huo uwanja ni mwekezaji au mvunaji? Kama ni mwekezaji kwa nini hakupewa eneo akajenge uwanja wa kwake?
3) Kuna makampuni mengine toka Uarabuni yamepewa mbuga za wanyama na hifadhi za misitu. Hivi hawa ni wawekezaji au wavunaji/waporaji? Kama ni wawekezaji, wameleta pundamilia, twiga, fisi na ngiri wangapi kwenye hizo hifadhi? Au wamepanda mininga na mitundu mingapi kwenye hiyo misitu hadi waitwe wawekezaji?
Hivi tumefikia mahali pa kuwapa waarabu karibia kila rasilimali tulizozitolea jasho kwa miaka mingi, kwa lengo gani? Mtu yeyote ambaye hana uchumi ni mtu duni na automatically atakuwa mtumwa wa mwenye uchumi. Tunapowapa kila mlango wa uchumi waarabu, automatically tunatengeneza mazingira ya kuwafanya Watanganyika huko mbeleni kuwa watumwa wa waarabu ndani ya Taifa lao.
Jamani, tuwaache walio na tamaa za ajabu waendelee kushangilia na kufurahia hadaa wazifanyazo kwa Taifa, wao wakirushiwa hata dola laki 1, wapo tayari hata kuua matumaini ya vizazi vyote vijavyo, LAKINI walio na hekima ni lazima tuendelee kupaza sauti zetu na kusema kuwa huu uovu, kama umma wa watu wazalendo, tunasema HAPANA. Nchi inawahitaji wawekezaji wa ndani na nje, lakini wavunaji wa wa nje wa mazao ya uwekezaji wetu, tuseme, hapana. Tuongozwe na uzalendo na sio tamaa ya mapato binafsi.
Serikali ingeweza au isingeweza hilo sifahamu. Nimekujibu uliposema mashirika mengine yaliyobinafsishwa yalikufa sababu ya kutoendana na teknolojia mpya. Hapo ndio nikahliza huyo mwekezaji kama ameshindwa kuendana na teknolojia mpya tafsiri yake uwekezaji huo haukua na maana na umefeli. Maswali yakaja kwako ni mashirika mangapi yalifanikkwa kufanya vizuri na mangapi yalianguka ili tuweze kupima kama tulifanikiwa kwenye ubinafsishajiDo you think Serikali ingeweza ku transform teknolojia ya TBL ? Kwa taarifa yako TBL ilikuwa mali ya East African Breweries (Wanao manage Kenya Breweries siku hizi wanaitwa Diageo). Nyerere alipotaifisha akakiweka chini ya NDC, halafu baadaye wakabadili sheria ikawa Kampuni inayojitegemea. Toka ibinafsishwe mwaka 1967, niliona ni mwaka 1990 ndipo walibadili packaging line.
Bureaucracy ya serikali kwenye decision making, procurement regulations na compliance kwenye financial management zinacheleweaha sana mashirika au viwanda ku cope na technology
Mbwembwe humu ndani kila mtu anazo na huo ushamba wa kujitapa kwamba ni mtu wa maana kila mtu pia anap humu tunatumia ID zenye majina ya kubuni hakuna anayemjua mwenzake hivyo kila mtu anakuja na uongo wake.Wewe inaonekana ni zero katika masuala ya mikataba.
Mimi nimeshiriki kuandaa mikataba mingi ya kibiashara ya kimataifa. Ninaelewa ninachokiongea.
Sina shaka nabishana na layman, asiyejua chochote. IGA ile ya kishenzi iliyoiingiza DPW, siyo ya kutafuta. Iliwekwa public, na ilichambuliwa kitaalam na Tanganyika Law Society. Na mahakama ikakiri IGA ipo kinyume na sheria za nchi na za kimataifa, lakini ikasema haiwezi kutengua maamuzi ya mhimili wa Bunge. Halafu wewe usiyetambua wala kujielewa, umebakia na uchawa utakaoumiza vizazi vijavyo.
Kwa nini?Kukataaa ule ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo yalikuwa makosa makubwa mno ya kimkakati
Hawezi kuongelea ongezeko la pesa nia yake ni kukosoa mradi kwa hoja kwamba mali za Tanzania zinaibiwa!. Anataka tuendelee na umaskini wetu tukiwa na mali nyingi zisizotusaidia chochote.Ni uwekezaji kama mwingine labda ni mgeni Kwa Tanzania.
Tanzania sio Nchi ya kwanza kufanya huo uwekezaji ila nyie ni ulimbukeni wako ndio unakusumbueni.
Mwisho kwani baada ya wawekezaji kupewa uendeshaji hela Kwa Serikali imepungua au imeongezeka? Ukijibuu hapo ndio Utajua ni uwekezaji au hapana.
Kwa sasa baada ya hao wawekezaji ongezeko ni kiasi gani?Hawezi kuongelea ongezeko la pesa nia yake ni kukosoa mradi kwa hoja kwamba mali za Tanzania zinaibiwa!. Anataka tuendelee na umaskini wetu tukiwa na mali nyingi zisizotusaidia chochote.
10billion usd investment na ilikuwa largest maritime project in Africa second largest maritime project in the world by thata time na pia ingekuwa largest port in africa na multiplier effects kwa uchumi ingekuwa kubwa mno tungekuwa tunashindana na akina port dubai ila tukauwa mradi wa kimkakati.Kwa nini?
Pale airport DAHACO wapo miaka 30 sasa, kwanini tusiwaondoe tukaendesha sisi wenyewe?. Acheni hulka ya kipuuzi ya kuwajaza watanzania hizi akili zenye kujaa uoga.Uzembe, wizi, ufisadi, huko bandarini, kama ilivyo kwenye Serikali nzima na taasisi zake, hakuna anayepinga wala kukataa. Lakini tusitafute suluhisho linalotupeleka kwenye matatizo makubwa zaidi kupitia ufisadi mkubwa unaofanywa na watawala wetu kupitia mikataba.
Kama dhamira ni njema, kwa nini tusiingie kwenye JV kwa kupitia mkataba mzuri bila ya kupoteza sovereignity yetu? Kama hatuna watu wenye akili na uwezo huko Serikalini kwenye masuala ya mikataba kwa nini hata tusi-copy na ku-paste e.g.mkataba wa Uingereza na DPW? Kwa nini tunaruka majivu na kukanyaga moto?
Uchafu uliopo bandarini na taasisi nyingine za Serikali ni picha halisi ya Serikali nzima ilivyo. Je, tuwape DPW waendeshe na serikali yetu kwa sababu imejaa mafisadi, majizi, wala rushwa, wazembe na walaghai? Polisi na mahakama, kupitia reports za kila mwaka, ni taasisi zinazoongoza kwa rushwa. Je tuwape DPW wasimamie polisi na mahakama zetu?
Kushamiri kwa rushwa, wizi, uzembe na ufisadi ndani ya Serikali na taasisi zake, kama bandari, ndiyo ushahidi halisia kuwa Serikali imefeli kabisa, kwa sababu hizo taasisi zote, msimamizi mkuu ni Serikali. Na inafeli kwa sababu na yenyewe ni sehemu ya huo uchafu.
Ni sawa unachosemaHujajibu swali langu, umeadvocate bandari kupewa mwekezaji sababu mtanzania akipewa hata stand tu ya kukusanya sh 200 anaiba. Lakini hao unaosema wanaweza na wapewe bandari like wanachokipata huko wanapeleka kwa hao hao watanzania ambao ww huwaamini, hapo unakua umefanya nini? Ndio maana nikakuuliza huwaamini watanzania kwenye bandari Ila unawaamini watanzania kwenye TRA na BOT?
Kama huko napo huwaamini basi hata huo uwekezaji unaoutaka hauna maana na hautaleta matokeo yoyote
Au lengo la kuwekeza ni nini? Kama ili tupate faida, hiyo hiyo faida inarudi kukusanywa na kupangiwa matumizi na huyo huyo mtanzania ambae bado ataiba na kufuja vilevile
Sina takwimu halisi, nadhani wizara ya mawasiliano itakuwa nazo. Tumeondoka kutoka kwenye ule mfumo wa kizamani wa ushushaji na upakiaji wa meli moja kuchukua siku mbili au tatu.Kwa sasa baada ya hao wawekezaji ongezeko ni kiasi gani?
Nimetoa mfano tu kuwa unaweza kutumia mfano kama huo wa mashirika haya makubwa ambayo ni national flag carriers lakini majority shareholding iko kwa kampuni binafsiUmekosa mapema swali nililokuuliza, biashara ni airways tu? Ww umesema serikali haitakiwi kufanya biashara, maswali yalilenga kujua hilo la serikali haitakiwi kufanya biashara umetoa wapi? Na wapi huko nchi zilizoendelea serikali haifanyi biashara? Umekuja na airways, Kwan biashara no airways tu?
Tujipe muda hadi 2030 tuone kama kweli hawa DP WORLD unaowaponda ni matapeli. Namba hazitadanganya na maybe tutakuwa na serikali mpya.Wewe inaonekana ni zero katika masuala ya mikataba.
Mimi nimeshiriki kuandaa mikataba mingi ya kibiashara ya kimataifa. Ninaelewa ninachokiongea.
Sina shaka nabishana na layman, asiyejua chochote. IGA ile ya kishenzi iliyoiingiza DPW, siyo ya kutafuta. Iliwekwa public, na ilichambuliwa kitaalam na Tanganyika Law Society. Na mahakama ikakiri IGA ipo kinyume na sheria za nchi na za kimataifa, lakini ikasema haiwezi kutengua maamuzi ya mhimili wa Bunge. Halafu wewe usiyetambua wala kujielewa, umebakia na uchawa utakaoumiza vizazi vijavyo.
Ni kitu gani kimeporwa? Mbona uko na negative obsession? Angalia usijepata hypertension bure kwa kukariri hoja za akina MwabukusiPrivatization na uporaji ni vitu viwili tofauti kabisa. Tanzania siyo nchi ya kwanza kufanya privatization. Tazama hata mkataba wa DP World Southampton, kama utaona ni kipuuzi kama huu wa kwetu.
Invekua ni largest port in Africa? Kwa maana gani? Wingi wa mizigo? Revenues?10billion usd investment na ilikuwa largest maritime project in Africa second largest maritime project in the world by thata time na pia ingekuwa largest port in africa na multiplier effects kwa uchumi ingekuwa kubwa mno tungekuwa tunashindana na akina port dubai ila tukauwa mradi wa kimkakati.
Huyu hapa kwenye gazeti la last weekMkuu wala sifurahii haya
Angalia kila leo wanaandika kufuru wanayofanya TRA baadhi yao wamekamatwa na b za kutosha
Wakichunguzwa wote na kufungwa naona hela nyingi zingepatikana
Ipo siku huenda tukajielewa na kusimamia kila kikituHutu