Huu upatu wa MTFE ni fursa kweli au mimi ndio naenda kugeuzwa fursa?

Huu upatu wa MTFE ni fursa kweli au mimi ndio naenda kugeuzwa fursa?

kwa hiyo mkuu hi haina tofauti na global aim,qnet,lifaro,deci!!!!???
Hapo umeitaja Q Net mpaka nkacheka! Kuna jamaa yangu wa karibu amenishawishi zaidi ya miaka minne niingiemo, nimekataa. Huwa ananiambia nachelewa kutajirika, lakini kwa Miaka yote minne mpaka sasa Huwa ananipiga mizinga ya nauli! Ahahahahaha!!!
 
Mwenye million 2.7 aje anijarbu Mimi inbox pesa yake ataweka kwa blocker (atanpa trading account )Mimi nitam tradia tutagawan faida 50/50 . Kwa wiki hawez kosa faid ya 200,000/- na mtaji upo mfukon kwake njoo inbox njoo,


[emoji113]NARUDIA PESA YAKO HUNIPI MIMI
[emoji613]UNAWEKA KWA BLOCKER NA UNAUWEZO WA KUITOA WEW MWENYEW
[emoji613]MIMI KAZI YANGU NI ACCOUNT MANAGEMENT

MINIMUM USD500
Yani wewe hata kuandika neno BROKER umeshindwa na bado unataka mtu akuamini akukabidhi Milioni zake umfanyie Trading? Hauwezi kuwa serious asee
 
Mwenye million 2.7 aje anijarbu Mimi inbox pesa yake ataweka kwa blocker (atanpa trading account )Mimi nitam tradia tutagawan faida 50/50 . Kwa wiki hawez kosa faid ya 200,000/- na mtaji upo mfukon kwake njoo inbox njoo,


[emoji113]NARUDIA PESA YAKO HUNIPI MIMI
[emoji613]UNAWEKA KWA BLOCKER NA UNAUWEZO WA KUITOA WEW MWENYEW
[emoji613]MIMI KAZI YANGU NI ACCOUNT MANAGEMENT

MINIMUM USD500
Lwa hiyo hata jina humjui unamuiya blocker 🙄
 
Haina tofauti na D9 CLUB kama ni hivyo kila mtu angeweka huyo anayekukaribisha kumbuka ukiweka yeye anapata gawaio fulani hiv toka kwako nimekuelezea kwa lugha nyepesi sana 2.. Au ni ache tu kusema maneno mingi ............. Unapotaka kufanya biashara angalia security of yua money
 
Back
Top Bottom