Huu upatu wa MTFE ni fursa kweli au mimi ndio naenda kugeuzwa fursa?

Huu upatu wa MTFE ni fursa kweli au mimi ndio naenda kugeuzwa fursa?

Habari zenu wataalamu, naomba nipewe elimu kuhusu huu mchezo wa MTFE maana nahisi huenda nikiweka visenti vyangu nitapigwa.

Mtu aliyenishawishi ni jamaa yangu wa karibu na akanishawishi kuwa ni biashara mtandao ya kununua dola online kisha unaziuza. Mfano ukiwekeza Tsh. Milioni 1.3 unapata faida kwa siku Tsh. 15,000 - 25,000.

Pesa nazipenda sana ila pia kupoteza pesa zangu ndio jambo nisilotaka kwa sasa.

Naomba wataalamu wenye fununu na hii kitu wanisaidie mtiririko nijue mbichi na mbivu.
Huo ni mtego. Tahadhari kabla ya hatari!
 
Bora Qnet unanunua bidhaa unaiona na ukikwama unaambulia bidhaa yako. Hiyo nyingine ni autaPeli tu.

Saa unanunua milioni 4[emoji23][emoji23] unafaidika nini huwo nao ni ujinga niliona
 
Habari zenu wataalamu, naomba nipewe elimu kuhusu huu mchezo wa MTFE maana nahisi huenda nikiweka visenti vyangu nitapigwa.

Mtu aliyenishawishi ni jamaa yangu wa karibu na akanishawishi kuwa ni biashara mtandao ya kununua dola online kisha unaziuza. Mfano ukiwekeza Tsh. Milioni 1.3 unapata faida kwa siku Tsh. 15,000 - 25,000.

Pesa nazipenda sana ila pia kupoteza pesa zangu ndio jambo nisilotaka kwa sasa.

Naomba wataalamu wenye fununu na hii kitu wanisaidie mtiririko nijue mbichi na mbivu.

Nakushauri ni bora ucheze betting ya mambo ya mpira kuliko kuingia kwenye meno ya mamba!
 
kuna siku watapotea ghafla hata hamtajua wamepotelea wapi, Trust me they may be sounds serious now lakini kama unataka kuwa Forex trader ni Bora ujifunze tu il u-trade mwenyewe ingawa si kushauri kuingia huku, Forex is always risky no matter who's trading a professional trader either does loss ije iwe Kwa robot mh![emoji57]
Ninachokitabili Mimi kuna siku Tu isiyo na jina hawa MTFE watapotea yaani ghafla Tu platform itakuwa haifanyi Kazi, itaanza changamoto mara kuwithdraw inasumbua mara hivi mara vile finally pesa za watu zitafia huko na hamtawaona hawa jamaa, Watu watapigwa
Am not standing against MTFE but some of people right here wanaweza kuwa mashahidi wa zile platform za uwekezaji zilizotamba 2019 Hadi 2021 kila Mtu akaenda kuwekeza mwisho wa siku walipotea ghafla watu wakawa wamelizwa, history does repeat itself, so sitaki kuwaamini Bora u-trade mwenyewe Kwa registered brokers upate hasara or faida it's okay.
Ila kwa kipind hiki unaweza kuishi nao Tu Ila ukiona dalili kama huelewi jua kinataka kuwaka!
CHOMOKA !!!!!!!!!
Mkuu ndo kinachowakuta saivi nawaonea Huruma awa jamaa walianza kuvimba mitaani umu

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
1692349057018.png
 
wewe huna uzoefu wowote tuulize wenye uzoefu, sio mara ya kwanza mtfe kufanya system upgrade
Tutaendelea kusubiri kuweza kutoa pesa kwenye MTFE mpaka mwisho wa dunia!

Yaani watu wanafanya system upgrade bila kuwafahamisha wateja wake angalau masaa 24 kabla?

Wateja wanafahamishwa kwamba kuna system upgrade inaendelea baada ya wateja kushindwa kutoa pesa!

AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZA KWAKO 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jana ndo wamemaliza mchezo. Wamepiga mkwanja wote na kuacha deni juu!!! Kila mwana mtfe akaunti inasoma salio negative yaani wanakudai![emoji1787][emoji1787][emoji1787] akaunti yangu ilikuwa na salio $701 leo hii inasoma $-1700[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanakwambia kama unataka kuendelea na biashara kichaa yao unatakiwa kulipa deni then uingize mtaji upya!
 
Wanaijeria hao utakuta wapo sinza chumba kimoja watu 10 na vilaptop vyao wanakusubiri udiposit mtaji wako
Habari zenu wataalamu, naomba nipewe elimu kuhusu huu mchezo wa MTFE maana nahisi huenda nikiweka visenti vyangu nitapigwa.

Mtu aliyenishawishi ni jamaa yangu wa karibu na akanishawishi kuwa ni biashara mtandao ya kununua dola online kisha unaziuza. Mfano ukiwekeza Tsh. Milioni 1.3 unapata faida kwa siku Tsh. 15,000 - 25,000.

Pesa nazipenda sana ila pia kupoteza pesa zangu ndio jambo nisilotaka kwa sasa.

Naomba wataalamu wenye fununu na hii kitu wanisaidie mtiririko nijue mbichi na mbivu.
 
Back
Top Bottom