Huu upweke unaniathiri sana akili mpaka nayakatia tamaa maisha

Huu upweke unaniathiri sana akili mpaka nayakatia tamaa maisha

Kifup ww n mtoto wa mama na unadeka sana mpka unakera ushazoea kufanyiwa kila ktu, iv kwa akil ya kawaida marafik au watu wa karbu n mpaka utafutiwe kama ultafutiwa na mama ako ndio mana alivyoondoka nao wakaondoka wale walkua rafik na watu wa karbu wa mama ako tengeneza cicle yako na watu wako
 
Upweke ni hisia tu kama vile kucheka, kulia au kuhuzunika.
Unaweza kuukabiri upweke kwa kufuata njia hizi.

1. Jifunze kujikubali
Elewa kwamba upweke ni hali inayoweza kumtokea mtu yeyote yule wakati wowote. Furahia maisha yako na usipende wala usitamani maisha ya mtu mwingine Hill ni kosa kubwa mno
2. Jenga mahusiano na jamii inayokuzunguka
Shiriki katika shughuli za kijamii iwe sherehe, Misiba na shughuli zozote zonazohitaji watu kwenye jamii inayokuzunguka epuka kujitenga na kuwa peke yako.
3. Tafuta kazi unayoipenda
Kwa kufanya kazi unayoipenda hukusaidia na Kukuwezesh kuwa na msawaziko hisia zisizo kamili, Unaweza ukawa unapenda mchezo, Sanaa, ubunifu nk
4. Zingatia matumizi ya mitandao
Uwe na matumizi chanya ya mtandao hasa hii ya kijamii, yanayoonekana mitandaoni kwa kiasi kikubwa hayana uhalisia.
Kwa kuzingatia haya utaweza kuukabiri upweke ingawa upweke ni hali inayoweza kumtokea mtu yeyote ni muhimu zaidi kuangalia na kutafuta namna ya kukabiliana na hiyo hali.
 
Mkuu hauna tu hela wewe, wallet ikiwa na makaratasi hiyo hali wala hauisikii.

Namie kuna kipindi nlikuaga napitia hiyo nikifulia, sina hata mia, basi nahisi upweke najihisi ovyo hadi najikuta nalia bila sababu, namkumbuka hadi mzazi wangu aliefariki miaka ya 90.

Ukiwa na vihela na vimishe vya kukukeep busy hayo mawazo hayapo

Mwisho: Tafuta hela


Nadhani mtoa mada hana upweke Ila anajihisi kutengwa na jinsia ya kike na watu waliokuwa karibu na mama yake.


Upweke inaweza Kuwa Kama solitude hali fulani ya kujihisi upo mwenye hii huwa inachangiwa na kile kinachoendelea ndani yako.

Hivyo pesa sifikirii Kama inaweza kuondoa hii hali.

Ila tukija katika kuhisi kutengwa n.k hii ndo inaweza kuchangiwa na kuwa broke n.k


Hivyo ikiwa mtoa mada Ana upweke basi ajue mwanamke hana hiyo power ya kumuondolea huo upweke zaidi zaidi atauongeza.

Ila akiwa anatengwa na watu au wanamktaa ajaribu Ku-build network mpya ya watu.


Pesa atafute Kwa ajili ya kuboresha maisha yake and not to attract peoples .
 
Mama yangu alikua ni mtu anayenitia moyo sana na kunishauri vitu vingi.

Aliniunganisha na watu wengi
Baada ya mama kufariki wale watu walipotea

Najiuliza Ata ikitokea Leo nimepata shida sijui nitakimbilia wapi

Wanawake wananikataa Kila nae jaribu kumtongoza ananikataa, hakuna ambaye yupo tayari kuwa na mimi!

Nimejikatia tamaa Sasa, kuna mda paka nawaza mambo mabaya sana Dah 🥶🙄🥺
Huu uzi wa ukweli au Gumashi kama ilivyo kawaida yako mkuu?.
 
Mama yangu alikua ni mtu anayenitia moyo sana na kunishauri vitu vingi.

Aliniunganisha na watu wengi
Baada ya mama kufariki wale watu walipotea

Najiuliza Ata ikitokea Leo nimepata shida sijui nitakimbilia wapi

Wanawake wananikataa Kila nae jaribu kumtongoza ananikataa, hakuna ambaye yupo tayari kuwa na mimi!

Nimejikatia tamaa Sasa, kuna mda paka nawaza mambo mabaya sana Dah 🥶🙄🥺
Wewe ni me au ke?
 
K
Mama yangu alikua ni mtu anayenitia moyo sana na kunishauri vitu vingi.

Aliniunganisha na watu wengi
Baada ya mama kufariki wale watu walipotea

Najiuliza Ata ikitokea Leo nimepata shida sijui nitakimbilia wapi

Wanawake wananikataa Kila nae jaribu kumtongoza ananikataa, hakuna ambaye yupo tayari kuwa na mimi!

Nimejikatia tamaa Sasa, kuna mda paka nawaza mambo mabaya sana Dah 🥶🙄🥺
Kwahiyo huna shughuli yeyote unavyofanya huko mpaka wanawake wakukatae huingizi hata 7000 kwa siku unawanunulia vichips unakula mzigo
 
Nadhani mtoa mada hana upweke Ila anajihisi kutengwa na jinsia ya kike na watu waliokuwa karibu na mama yake.


Upweke inaweza Kuwa Kama solitude hali fulani ya kujihisi upo mwenye hii huwa inachangiwa na kile kinachoendelea ndani yako.

Hivyo pesa sifikirii Kama inaweza kuondoa hii hali.

Ila tukija katika kuhisi kutengwa n.k hii ndo inaweza kuchangiwa na kuwa broke n.k


Hivyo ikiwa mtoa mada Ana upweke basi ajue mwanamke hana hiyo power ya kumuondolea huo upweke zaidi zaidi atauongeza.

Ila akiwa anatengwa na watu au wanamktaa ajaribu Ku-build network mpya ya watu.


Pesa atafute Kwa ajili ya kuboresha maisha yake and not attract peoples .
Atafute hela hiyo hali itaisha nakwambia mi ishanikuta sana 😹😹 nlikua nalia hadi najiuliza hivi nalia nini?.mtu akiuliza nitajibu nalia nini

Hii hali ilikua inatokea siku ambazo mshahara ukiingia nalipa bills na madeni unaisha hapo hapo.....nabaki 0 lazma nijihisi kama huyu kaka philo
 
Wachangiaji wa Uzi Huu, Mtoa mada ni Mdogo wetu , na alichokiandika ni wazi kiakili Afya yake haiko sawa.

Niwoambe sana sana Ndugu zangu, TUSIMPE COMMENTS AMBAZO ZITAIDHOROTESHA AFYA YAKE.

unapoona anasema ' Kuna muda nawaza mambo mabaya"....

Jamani anakua ana maanisha kwelikweli, mnapoona MTU anaamua kuandika suala kama hiili mitandaoni, Ndugu zangu amininn nawaambia, Huko nje amekoswa MTU wa kumshirikishaa anakoswa MTU wa kumpa walau dakika tano tu aongee yote ya moyoni.

Wapo watu wamejiua Kwa sababu ya KUKOSA MTU Mmoja tu wa kuwarudishia sababu za kuishi .


Kwa hivo basi , Niwaombee sana na kuwasihi sana, tuache kejeli, kebehi, na lugha isofaa kiasi Cha kumdidimiza Mdogo wetu.


Ni kwann Vidole na mabando yetu, yasiwe sehem ya uponyaji Kwa wahitaji???

Ni kwann yasiwe sehem ya kuwapa watu sababu za kuishi?.

Je unajua mpaka mtoa mada aandika, ni Yuko Mahali pekeake ,mawazo mengi yanamjia na kwakua ni Mdogo anadhaNi Wenda Kutokuwepo Kwa Mama yake ndio chanzo cha haya yote?. Embu changanya na suala la kuondokea Mama mzazi katika umri wa mtoa mada ?.


Tafadhalini sana ,hautakua Busara kesho na kesho kutwa kusikia MTU fulan kajinyonga na kufa , Ujumbe alouacha ,ukakuleta Moja Kwa Moja Kwa huyu mtoa mada.
 
i
Makosa makubwa mawili unayoyafanya

Kwanza, Kutegemea Watu ndio wawe chanzo cha Furaha kwako, wakati Furaha ilipaswa kutoka Ndani yako mwenyewe.


Pili, kudhan Wanawake ndio kitu pekee kinachoweza kukupa Aman na Furaha, kumbe ndio unajitafutia matatizo.

Nini Ufanye..... JISHIGHULISHE MDOGO WANGU, KAMA HAUNA SHUGHULI ,TAFUTA SHUGHULI YOYOTE HALALI UTAKAYOKUA UNAPOTEZEA MUDA HUKO, NA KAMA UNA SHUGHULI YAKO, WEKEZA MUDA, MOYO, AKILI NA NGUVU ZAKO HUKO.


WANAWAKE UTAWALAUMU, WANAWAKE WANAPENDA MWANAUME AMBAYE NI STRONG.
Sina kazi inayoeleweka naendesha bajaji
 
Atafute hela hiyo hali itaisha nakwambia mi ishanikuta sana 😹😹 nlikua nalia hadi najiuliza hivi nalia nini?.mtu akiuliza nitajibu nalia nini

Hii hali ilikua inatokea siku ambazo mshahara ukiingia nalipa bills na madeni unaisha hapo hapo.....nabaki 0 lazma nijihisi kama huyu kaka philo


Itategmea sasa mama Kama PHILO bado anasumbuliwa na hela ya kula ,kulipa kodi n.k

Aanze kwanza ajijenge Ila huyu dogo hatokei broke family namjua kias chake ni MTU smart na hustler and educated .

Itakuwa either yupo katika kuwaza mambo makubwa ambayo yanampa sleepless nights .

Nafikiri hata wanawake itakuwa anatafuta high classic women VVIP



Ajaribu pia Ku-lower expectation kuhusu maisha
 
i
Sina kazi inayoeleweka naendesha bajaji
Vema ,je wajua Bodaboda, waendesha Bajaji, Licha ya marejesho ya Kila siku au Kila wiki Kwa MaBoss wao, bado ni watu wenye Maisha yenye Amani na Furaha kuliko hata Hawa Walimu , Idara ya Afya .

Kuna walimi na watu wa Afya wanapokea Laki Tano Mkuu Kwa mwezi, na hapo anaishi Dar, Usafiri , wao mpaka mshahara unatoka, ana madeni kuliko hata mshahara, wanachoringia ni sifa ya kukopesheka tu.


Fanya Kazi yako Kwa Bidii, na Kwa Moyo wote na kwa malengo ,ukiheshimi Pesa yako, na kumtolea Mungu Sadaka sio lazima kanisan, Kuna yatima mtaan unamjua , Zingatia sana hii kanuni, kadiri unavyosaidia wahitaji, ndivo unatoka mwanya wa kújiongezea kipato zaidi.

Mimi Kaka yako ni SHAHIDI wa hili ninalokuambia hapo juu .

Wala usikimbizane na Wanawake, Wanawake Hawa siku ziku hizi wanaohitaji Pesa ili wazitumie kua maarufu , Wanawake Hawa Wana Negative energies kutokana na Maisha yao ya kudanga danga kwahiyo mpaka anakua Nawewe pemben ana mabwana sita, matokeo yake ni wewe kubeba liroho libaya, na mwisho kupoteza hata kidogo ulichonacho.


Sikiliza , Mimi binafsi, Wanawake sio kipaumbele changu, ni KIPAUMBELE NAMBA TANO

MOJA MPAKA NNE, NI VIPAUMBELE VYANGU VYA MAISHA , NA HIVI NDO VINANIPA AMANI NA FURAHA.
 
Back
Top Bottom