Huu upweke unaniathiri sana akili mpaka nayakatia tamaa maisha

Huu upweke unaniathiri sana akili mpaka nayakatia tamaa maisha

Itategmea sasa mama Kama PHILO bado anasumbuliwa na hela ya kula ,kulipa kodi n.k

Aanze kwanza ajijenge Ila huyu dogo hatokei broke family namjua kias chake ni MTU smart na hustler and educated .

Itakuwa either yupo katika kuwaza mambo makubwa ambayo yanampa sleepless nights .

Nafikiri hata wanawake itakuwa anatafuta high classic women VVIP



Ajaribu pia Ku-lower expectation kuhusu maisha
Okay sawa kumbe hana shida ndogo ndogo, kwahiyo yuko wapi sahivi 😹😹 ajibu pm chaaap tumalize sikukuu.....tuuaibishe upweke
 
Mama yangu alikua ni mtu anayenitia moyo sana na kunishauri vitu vingi.

Aliniunganisha na watu wengi
Baada ya mama kufariki wale watu walipotea

Najiuliza Ata ikitokea Leo nimepata shida sijui nitakimbilia wapi

Wanawake wananikataa Kila nae jaribu kumtongoza ananikataa, hakuna ambaye yupo tayari kuwa na mimi!

Nimejikatia tamaa Sasa, kuna mda paka nawaza mambo mabaya sana Dah 🥶🙄🥺
Mbona mm nimekataliwa na madem wote niliowatongoza miaka hii minne na sijisikii upweke? Acha ujinga bwege wewe
 
Mama yangu alikua ni mtu anayenitia moyo sana na kunishauri vitu vingi.

Aliniunganisha na watu wengi
Baada ya mama kufariki wale watu walipotea

Najiuliza Ata ikitokea Leo nimepata shida sijui nitakimbilia wapi

Wanawake wananikataa Kila nae jaribu kumtongoza ananikataa, hakuna ambaye yupo tayari kuwa na mimi!

Nimejikatia tamaa Sasa, kuna mda paka nawaza mambo mabaya sana Dah 🥶🙄🥺
Pole. Piga kazi kwa bidii hao wote watakuja. Waliokuwa karibu na wewe ni kwa sababu ya mama yako alipotoweka hakuna kiunganishi. Ingekuwa rahisi endapo mama angeacha biashara inayokuunganisha nao.

Haturithi marafiki tengeneza empire ya kwako. Ila ID yako haiendani na kukataliwa na wanawake
 
Mama yangu alikua ni mtu anayenitia moyo sana na kunishauri vitu vingi.

Aliniunganisha na watu wengi
Baada ya mama kufariki wale watu walipotea

Najiuliza Ata ikitokea Leo nimepata shida sijui nitakimbilia wapi

Wanawake wananikataa Kila nae jaribu kumtongoza ananikataa, hakuna ambaye yupo tayari kuwa na mimi!

Nimejikatia tamaa Sasa, kuna mda paka nawaza mambo mabaya sana Dah 🥶🙄🥺
Hakuna mwanamke anayekataa mwauame, tafuta wanawake wa hadhi yako, acha kutaka wanawake wenye hadhi kuliko wewe utakufa mapema, wapo wanawake ukimpa elf tano anakushukuru siku tatu
 
Mama yangu alikua ni mtu anayenitia moyo sana na kunishauri vitu vingi.

Aliniunganisha na watu wengi
Baada ya mama kufariki wale watu walipotea

Najiuliza Ata ikitokea Leo nimepata shida sijui nitakimbilia wapi

Wanawake wananikataa Kila nae jaribu kumtongoza ananikataa, hakuna ambaye yupo tayari kuwa na mimi!

Nimejikatia tamaa Sasa, kuna mda paka nawaza mambo mabaya sana Dah 🥶🙄🥺
Nenda vijiweni,cheza draft,uta-socialise na watu,kuhusu utelezi, hicho ni kitu chepesi kuliko mlo
 
Mama yangu alikua ni mtu anayenitia moyo sana na kunishauri vitu vingi.

Aliniunganisha na watu wengi
Baada ya mama kufariki wale watu walipotea

Najiuliza Ata ikitokea Leo nimepata shida sijui nitakimbilia wapi

Wanawake wananikataa Kila nae jaribu kumtongoza ananikataa, hakuna ambaye yupo tayari kuwa na mimi!

Nimejikatia tamaa Sasa, kuna mda paka nawaza mambo mabaya sana Dah 🥶🙄🥺
Umejaribu kumkimbilia Yesu akashindwa kukusaidia? Yeye anasema katika Mathayo 11:28-29:
"Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu, kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsi zenu."
Tena ujue mke mwema mtu hupata kutoka kwa Mungu.
 
Atafute hela hiyo hali itaisha nakwambia mi ishanikuta sana 😹😹 nlikua nalia hadi najiuliza hivi nalia nini?.mtu akiuliza nitajibu nalia nini

Hii hali ilikua inatokea siku ambazo mshahara ukiingia nalipa bills na madeni unaisha hapo hapo.....nabaki 0 lazma nijihisi kama huyu kaka philo
Duh ww ulikuwa na upweke wa kipato.
 
Back
Top Bottom