Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Unajua Nimeshangaa Sana Yaani Mwanamke Atongoze Watu Wa Jinsia MojaKwa hiyo wewe Philomena unatongoza wanawake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua Nimeshangaa Sana Yaani Mwanamke Atongoze Watu Wa Jinsia MojaKwa hiyo wewe Philomena unatongoza wanawake?
Wafanyabiashara wengi sana na viongozi wenye status wengine ni uso kwa uso ukiwa salimia wanauchuna wengine ni kupitia simu nijitambulisha mimi ni mtoto wa marehemu fulani wanaruka Mita miaMajibu yako yanafikirisha sana. Kuna mambo naona kama ya kufikirika zaidi. Kama unawasalimia kwa ujumbe wa simu naweza kuelewa. Lakini kama ni salamu ya uso kwa uso haiingii akilini. Labda kama kuna sehemu mlitofautiana.
Reading between the lines. Umesema kipato chako hakizidi pesa ya boxer. Hapa inategemea aina ya boxer yenyewe. Lakini pia Umesema mama yako alikuwa connected na wafanyabiashara wengi ambao kwa andiko lako inaonekana walimtegemea huyo mama. Kwa vyovyote vile mama yako alikuwa anajiweza kiuchumi. Huu umaskini umekujaje? Ina maana hakuna asset yoyote ambayo aliwaachia ambayo inaweza kuwapa hatua ya kwanza mpaka 40 ili kufikia hatua ya 90?
Sioni sababu ya kuendelea kulalamikia rafiki za mama ambao hawakuwahi kuwa rafiki zako licha ya kukufahamu? Kama wangekuwa walimtenga mama yako alikuwa na sababu ya kulalamika kidogo.
Ishi maisha yako na usiwatupie watu lawama.
Sijajua unatumia akili ip kuchanganua mambo hapa jamii forum unitaftie ID 100 wanaotumia majina yao halisi hapa jf nitakulipa milion mojaUnajua Nimeshangaa Sana Yaani Mwanamke Atongoze Watu Wa Jinsia Moja
😂😂😂au philomena ni mama yakeKwa hiyo wewe Philomena unatongoza wanawake?
Potezea kama huelewi vile afu pambana ipo siku watakuheshim watapoanza kujileta na wee ndo unakuwa huna taim nao unadili na yako na kusonga mbele.I
Kuna siku nilitaka kuandika Jina langu kwenye daftari la wanazengo misiba mwenye kiti akasema utaweza kulipa hizo hela misiba ikitokea au ni kujaza tu daftari la zengo nikawaza hivi Ina maana muone kano wa mtu ndo kiasi cha pesa anachomiliki🥶
Ghafla Ata wale ndugu wakaanza kupukutika kidogo kidogo nikakumbuka mother aliwahi kunitonya mwezi kabla hajafa watu ambao natakiwa kujua ndo familia yangu ya kweli
Nitachange natamani, kuhama mkoa kabsaSiku zote najuaga hii ID ni ya Ke, kumbe Me.
Poleee kijana, tafuta marafiki wapyaa.
ukosahihi ,kwanza Tanzania hatuna Philomena wa kiume ...mwongosana huyu anaandika vitu akiwa bwii k-vantBongo hakuna kitu kinaitwa upweke ni kujiendekeza tu.
Una matatizo nduguukosahihi ,kwanza Tanzania hatuna Philomena wa kiume ...mwongosana huyu anaandika vitu akiwa bwii k-vant
umri wake wa nn ,na mtu anaitwa Philomena....hujiulizi Philomena anatongoza wanaume,kwahapa Tanzania Philomena anatongozwaUmri wako tafadhari.
Ukweli usemwe 🙌Kwa Bongo huwezi kukosa kabisa mwanamke unachokosea ni kwenda levo ambazo sio zako
Ukweli upiUkweli usemwe 🙌
Haujui upweke ndio maana anajiliza hapa, bongo hakuna upweke hata kidogo. Udomo zege na ukata vinamsumbuaBongo hakuna kitu kinaitwa upweke ni kujiendekeza tu.
Tatizo linalokusumbua UNAJISTUKIA.Wafanyabiashara wengi sana na viongozi wenye status wengine ni uso kwa uso ukiwa salimia wanauchuna wengine ni kupitia simu nijitambulisha mimi ni mtoto wa marehemu fulani wanaruka Mita mia
Fedha niliyoachiwa pekee ni laki mbili mkuu lakini nikwambie watu walikuwa na uwezo kipindi fulani na baadae fedha zikapotea hizi story nadhani unazisikia sana
Ndiyo hivyo hivyo mnavyowadanganya watu mitaani kwani si binadamu huyo heshimu hisia za mtu kama wewe hali yako iko vizuri kaa kimya usiwe unakoment vitu usivyovijua mnazidi kuwaharibu wenzenu. Heshimu hisia za mtuBongo hakuna kitu kinaitwa upweke ni kujiendekeza tu.
Kula kwa urefu wa kamba yako hujaelewa niniUkweli upi
Usinipangie cha kuandika.Ndiyo hivyo hivyo mnavyowadanganya watu mitaani kwani si binadamu huyo heshimu hisia za mtu kama wewe hali yako iko vizuri kaa kimya usiwe unakoment vitu usivyovijua mnazidi kuwaharibu wenzenu. Heshimu hisia za mtu
Nimekuelewa sana mkuu I will change my mindsetTatizo linalokusumbua UNAJISTUKIA.
Ngoja nikwambie kitu.
Marafiki waliosaidiwa na mama yako they don’t owe you anything.
Iwe pesa, attention, time etc just because you expect it or feel entitled to it.
Hii ni reminder kwamba watu, kujumuisha ndugu zako, they don’t exist to meet your expectations.
Pia ukiona watu hawakuchangamkii hiyo si kwasababu hauna pesa, ni kwasababu you give off negative energy na upo kwa kulalamikia watu.
Mpaka utakapojifunza hili, hakuna kitakachobadilika.
Upo sahihi mmi s mpenz wa Mpira lakini gym napendaFuraha we nenda uwanjani yanga ikicheza au gym au ground kapige mpira hakuna furaha kwa mwanamke