Huu upweke unaniathiri sana akili mpaka nayakatia tamaa maisha

Huu upweke unaniathiri sana akili mpaka nayakatia tamaa maisha

i
Sina kazi inayoeleweka naendesha bajaji
Mkuuu unasema Huna kaz ya kuelewek unaendesha tu bajajj like it's nothing?? Mbona waendesha bajaji ndo wanaongoza kwa kugegeda afu mwanamk hatongozw mkuu sijui nakupend nakupenda hiyoo ya kizaman kua smart chuma ipimp vya kutosha afu Nukia man utawala na kusaza .. bye
 
Nimekuelewa sana mkuu I will change my mindset
Upo na bajaj sivyo?

Anza kupiga mishe za udalali wa nyumba.

Kila abiria unayembeba unamwambia wewe pia ni dalali wa nyumba huku unaanza kuzoeana na madalali wa muda wengine hapo mtaani ili ufahamu nyumba zipi zinatafuta wapangaji.

Ukishirikisha bichwa lako lazima utapata pesa na haita athiri business yako ya bajaj zaidi itakuongezea pesa.

Kuhusu wakina dada na kukukataa ni kwasababu haiko na mbinu pia unawaza sana.

Njia rahisi yakula mzigo ni kuwa kawaida tu, usitongoze kwa kuwaambia ooh sijui nakupenda sana, big no kijana. Wewe mzoee kidogo, andaa mazingira kula mzigo lakini kumbuka condoms usije ukaleta uzi mwingine.
 
Upo na bajaj sivyo?

Anza kupiga mishe za udalali wa nyumba.

Kila abiria unayembeba unamwambia wewe pia ni dalali wa nyumba huku unaanza kuzoeana na madalali wa muda wengine hapo mtaani ili ufahamu nyumba zipi zinatafuta wapangaji.

Ukishirikisha bichwa lako lazima utapata pesa na haita athiri business yako ya bajaj zaidi itakuongezea pesa.

Kuhusu wakina dada na kukukataa ni kwasababu haiko na mbinu pia unawaza sana.

Njia rahisi yakula mzigo ni kuwa kawaida tu, usitongoze kwa kuwaambia ooh sijui nakupenda sana, big no kijana. Wewe mzoee kidogo, andaa mazingira kula mzigo lakini kumbuka condoms usije ukaleta uzi mwingine.
Bajaji inanipa hela ndogo sana mkuu
 
Una kiwango gani cha elimu

Nyumba unayokaa ni yenu au umepanga ?

Bajaji inakupa pesa kidogo kiasi gani? pengine matumizi tako ni makubwa
Huyu jamaa yetu Philomena hana vision.

Mimi namwambia opportunity yakutengeneza pesa zaidi, yeye ananiambia bajaj inampatia pesa kidogo.

Basi acha hiyo business ya bajaj ili ufahamu ugumu wakukosa hata kidogo.
 
Mama yangu alikua ni mtu anayenitia moyo sana na kunishauri vitu vingi.

Aliniunganisha na watu wengi
Baada ya mama kufariki wale watu walipotea

Najiuliza Ata ikitokea Leo nimepata shida sijui nitakimbilia wapi

Wanawake wananikataa Kila nae jaribu kumtongoza ananikataa, hakuna ambaye yupo tayari kuwa na mimi!

Nimejikatia tamaa Sasa, kuna mda paka nawaza mambo mabaya sana Dah 🥶🙄🥺
Kwanini wakukatae,inawezekana bado hawajaweza kuelewa nia yako ama jinsi wanavyopata tafsiri binafsi juu yako,jipe muda wa utulivu fanya mambo yako kwa bidii na kujituma,jiheshimu mwenyewe,kama unakunywa kunywa kwa kiasi na katika mazingira tulivu,kama ni mvutaji jitahidi uvute katika mazingira yasiyowasumbua wasiovuta,kuwa nadhifu kila wakati usijitenge jichanganye na jamii katika matukio na shiriki katika ibada kulingana na imani yako.
 
Mama yangu alikua ni mtu anayenitia moyo sana na kunishauri vitu vingi.

Aliniunganisha na watu wengi
Baada ya mama kufariki wale watu walipotea

Najiuliza Ata ikitokea Leo nimepata shida sijui nitakimbilia wapi

Wanawake wananikataa Kila nae jaribu kumtongoza ananikataa, hakuna ambaye yupo tayari kuwa na mimi!

Nimejikatia tamaa Sasa, kuna mda paka nawaza mambo mabaya sana Dah 🥶🙄🥺
Yani wewe wenzako wakikataliwa na wanawake wanashukuru,wakati wewe ukikataliwa unaanza kutamani kuchukua maamuzi magumu....
 
Ibadilishe elimu hiyo iwe productive

Alafu wewe mtoto wa kiume hata kama ni fake name usitumie
jina la kike tumie jina la kiume.
Kwanini wakukatae,inawezekana bado hawajaweza kuelewa nia yako ama jinsi wanavyopata tafsiri binafsi juu yako,jipe muda wa utulivu fanya mambo yako kwa bidii na kujituma,jiheshimu mwenyewe,kama unakunywa kunywa kwa kiasi na katika mazingira tulivu,kama ni mvutaji jitahidi uvute katika mazingira yasiyowasumbua wasiovuta,kuwa nadhifu kila wakati usijitenge jichanganye na jamii katika matukio na shiriki katika ibada kulingana na imani yako.
Kusema ukweli umepiga kwenye mshono mimi sihudhuriagi sherehe, msiba wala Misa, vikao vya chama sijawahi (labda kusali jumuiya mara moja moja Kila mwezi)

Maana watu wana tabia za kufatiliana , sana kujua undani wa mtu kupitia hizo Harakati

Huwa navaa kawaida sana, maana kuna wakati nilikua navaa kwa kupania watu wakawa wananiomba omba sana hela, ni kaamua kuswitch, home hadi gari lipo Ila huwa natembea kwa mguu(nafikiri unajua ilivo ngumu kuhudumia gari Kila sku najibana kishenzi)
 
Back
Top Bottom