Nkulu wa nchito
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,112
- 1,429
Hujielewi sasa nisikupangie vp hv hata unajielewa nitakupangiaje mm kwani mi ndyo nina kukulaUsinipangie cha kuandika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujielewi sasa nisikupangie vp hv hata unajielewa nitakupangiaje mm kwani mi ndyo nina kukulaUsinipangie cha kuandika.
Watu wanapenda kurahisisha mamboKipo sana tu.
🚮Hujielewi sasa nisikupangie vp hv hata unajielewa nitakupangiaje mm kwani mi ndyo nina kukula
Mkuuu unasema Huna kaz ya kuelewek unaendesha tu bajajj like it's nothing?? Mbona waendesha bajaji ndo wanaongoza kwa kugegeda afu mwanamk hatongozw mkuu sijui nakupend nakupenda hiyoo ya kizaman kua smart chuma ipimp vya kutosha afu Nukia man utawala na kusaza .. byei
Sina kazi inayoeleweka naendesha bajaji
Upo na bajaj sivyo?Nimekuelewa sana mkuu I will change my mindset
Bajaji inanipa hela ndogo sana mkuuUpo na bajaj sivyo?
Anza kupiga mishe za udalali wa nyumba.
Kila abiria unayembeba unamwambia wewe pia ni dalali wa nyumba huku unaanza kuzoeana na madalali wa muda wengine hapo mtaani ili ufahamu nyumba zipi zinatafuta wapangaji.
Ukishirikisha bichwa lako lazima utapata pesa na haita athiri business yako ya bajaj zaidi itakuongezea pesa.
Kuhusu wakina dada na kukukataa ni kwasababu haiko na mbinu pia unawaza sana.
Njia rahisi yakula mzigo ni kuwa kawaida tu, usitongoze kwa kuwaambia ooh sijui nakupenda sana, big no kijana. Wewe mzoee kidogo, andaa mazingira kula mzigo lakini kumbuka condoms usije ukaleta uzi mwingine.
Una kiwango gani cha elimuBajaji inanipa hela ndogo sana mkuu
Huyu jamaa yetu Philomena hana vision.Una kiwango gani cha elimu
Nyumba unayokaa ni yenu au umepanga ?
Bajaji inakupa pesa kidogo kiasi gani? pengine matumizi tako ni makubwa
Degree mzeeUna kiwango gani cha elimu
Nyumba unayokaa ni yenu au umepanga ?
Bajaji inakupa pesa kidogo kiasi gani? pengine matumizi tako ni makubwa
Ibadilishe elimu hiyo iwe productiveDegree mzee
Baridi mkuuIbadilishe elimu hiyo iwe productive
Alafu wewe mtoto wa kiume hata kama ni fake name usitumie
jina la kike tumie jina la kiume.
Kwanini wakukatae,inawezekana bado hawajaweza kuelewa nia yako ama jinsi wanavyopata tafsiri binafsi juu yako,jipe muda wa utulivu fanya mambo yako kwa bidii na kujituma,jiheshimu mwenyewe,kama unakunywa kunywa kwa kiasi na katika mazingira tulivu,kama ni mvutaji jitahidi uvute katika mazingira yasiyowasumbua wasiovuta,kuwa nadhifu kila wakati usijitenge jichanganye na jamii katika matukio na shiriki katika ibada kulingana na imani yako.Mama yangu alikua ni mtu anayenitia moyo sana na kunishauri vitu vingi.
Aliniunganisha na watu wengi
Baada ya mama kufariki wale watu walipotea
Najiuliza Ata ikitokea Leo nimepata shida sijui nitakimbilia wapi
Wanawake wananikataa Kila nae jaribu kumtongoza ananikataa, hakuna ambaye yupo tayari kuwa na mimi!
Nimejikatia tamaa Sasa, kuna mda paka nawaza mambo mabaya sana Dah 🥶🙄🥺
Yani wewe wenzako wakikataliwa na wanawake wanashukuru,wakati wewe ukikataliwa unaanza kutamani kuchukua maamuzi magumu....Mama yangu alikua ni mtu anayenitia moyo sana na kunishauri vitu vingi.
Aliniunganisha na watu wengi
Baada ya mama kufariki wale watu walipotea
Najiuliza Ata ikitokea Leo nimepata shida sijui nitakimbilia wapi
Wanawake wananikataa Kila nae jaribu kumtongoza ananikataa, hakuna ambaye yupo tayari kuwa na mimi!
Nimejikatia tamaa Sasa, kuna mda paka nawaza mambo mabaya sana Dah 🥶🙄🥺
Ibadilishe elimu hiyo iwe productive
Alafu wewe mtoto wa kiume hata kama ni fake name usitumie
jina la kike tumie jina la kiume.
Kusema ukweli umepiga kwenye mshono mimi sihudhuriagi sherehe, msiba wala Misa, vikao vya chama sijawahi (labda kusali jumuiya mara moja moja Kila mwezi)Kwanini wakukatae,inawezekana bado hawajaweza kuelewa nia yako ama jinsi wanavyopata tafsiri binafsi juu yako,jipe muda wa utulivu fanya mambo yako kwa bidii na kujituma,jiheshimu mwenyewe,kama unakunywa kunywa kwa kiasi na katika mazingira tulivu,kama ni mvutaji jitahidi uvute katika mazingira yasiyowasumbua wasiovuta,kuwa nadhifu kila wakati usijitenge jichanganye na jamii katika matukio na shiriki katika ibada kulingana na imani yako.
Hujasoma btn lines mkuu kukataliwa na jamii achilia mbali na wanawakeYani wewe wenzako wakikataliwa na wanawake wanashukuru,wakati wewe ukikataliwa unaanza kutamani kuchukua maamuzi magumu....
Mkuu mad max una masiharaTopic ya nyege tu za mwisho wa mwaka.
Kuhusu wewe kukataliwa na kila mdada unaemtongoza, nina swali, je tangu umeanza kubalehe ushawahi kuwa na girlfriend? Kama jibu ni ndiyo, mliachanaje na huyo girlfriend wako Philomena3Nitachange natamani, kuhama mkoa kabsa