Huu upweke unaniathiri sana akili mpaka nayakatia tamaa maisha

Kuhusu wewe kukataliwa na kila mdada unaemtongoza, nina swali, je tangu umeanza kubalehe ushawahi kuwa na girlfriend? Kama jibu ni ndiyo, mliachanaje na huyo girlfriend wako Philomena3
Kiwango changu cha elimu na pesa ndo kilifanya aniache Ila kwa mfano kwa mwaka huu unaisha nimeshakuwa na one night stand 24 tangu mwaka uanze more than 24 bitches
 
Michongo iko wapi mkuu sahivi sina kazi stable
 
Mara moja moja hasa mida ya jioni jipumzikie sehemu na Konyagi yako huku unachat JF. Utashangaa maisha yanaenda kama unavyotaka!!
 
Nje ya mada huyu mleta mada baadhi ya ya mada zake zilizopita alikuwa akitoa simulizi ambazo zina sura tofauti na huyu wa leo. Haya aliyoyandika leo yanemkuta hivi karibuni?
 
Ushauri mzuri na wakufuatwa
 
Huu ni ushauri mzuri furaha inaanzia ndani yake mwenyewe sasa yeye anaitafuta kwa watu.

Hawezi kuipata furaha nje yake kamwe!
 
Nahisi nahitaji kusoma haya maneno kila siku.
 
Nenda baar Kanywe I guarantee you leo leo unapata kampani
 
Dogo kaza acha umama.

Mamako itakuwa kakulea kikekike ndomana unajiliza hovyo.Mtoto wa kiume kaza.Yaani wewe unamanyoa kila mahali na kujua mpaka umuhimu wa mademu alafu bado unalialia kijinga.


Shida ya wanawake kulea watoto wa kiume pekeyao wanawaharibu sana.

Pambana wewe sio pekeako uliyezaliwa kuna wenzako hawajawahi hata kunyonya maziwa ya mama zao tangu wamezaliwa wewe unasema nini.

Dogo kama unauchungu sana jiuwe tu umfate mzazi wako,maana unaonekana huna ujualo kuhusu maisha.

Wazazi andaeni watoto uwezo wa kujitegemea hata msipokuwepo.
 
Bongo hakuna kitu kinaitwa upweke ni kujiendekeza tu.
Kila ninapokutana na comment yako huwa napata Mapinduzi Kichwa I kuhusu Nini natakiwa kureply Kwenye Uzi husika. Ningekuwa na mamlaka ningekuamuru I'd yako iwe Max me not min me πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

By the way mtoa post akizingatia hiyo comment atanufaika Sana. Ila akutafute zaidi uiweke Kwenye vipengele kwamba akiwa bongo afanye Moja mbili tatu. Mkakati uwe katika namna ya utekelezaji. Thanks
 
😁😁😁 kumbe mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…