Uchaguzi 2020 Huu utaratibu wa Halima Mdee na Lema kutumia sauti zilizorekodiwa za Rais Magufuli na Askofu Gwajima haukubaliki

Kawe sio wajinga Hadi qamchague kiongozi mwenye kutokana dini za watu ilhali kiongozi anapaswa kuwa kumunganishaji badala ya mbaguzi.. sisi waislamu wa kawe hatutamchagua gwajima na nadhani wakatoliki nao watafanya hivyo hivyo.

Kura zote wlkwa halima mdee ambaye anaheshimu dini zote.
 
Haikubaliki kwa nani?

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…