Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Zile sauti sio fabricated. Ni sauti zao halisi na waliyoyasema ndio ukweli wenyewe. Mtumishi wa Mungu wa kweli ni “zaidi ya Mbunge” na Gambo alitumbuliwa kwa kuwa alikuwa hafai.
Kwa kuwa matumizi ya sauti zile halali sio jinai, ndio maana wenye sauti zao hawajaenda kureport popote
Kwa kuwa matumizi ya sauti zile halali sio jinai, ndio maana wenye sauti zao hawajaenda kureport popote