Uchaguzi 2020 Huu utaratibu wa Halima Mdee na Lema kutumia sauti zilizorekodiwa za Rais Magufuli na Askofu Gwajima haukubaliki

Uchaguzi 2020 Huu utaratibu wa Halima Mdee na Lema kutumia sauti zilizorekodiwa za Rais Magufuli na Askofu Gwajima haukubaliki

Maneno Ni yako kabla hujayatamka, ukishayatamka, si Mali yako tena Bali ya jamii.

Na ndiyo maana kuna nukuu chungu tele, zote Ni matokeo ya fikra zilizotamkwa.

Hivyo kauli za Magufuli na Geajima, kwa sasa si tu zinatumika kizazi hiki, huenda huko mbeleni zitatumika hata kwa kufundishia.
Je, sheria ya uchaguzi inaruhusu?
 
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa mbunge.

Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.

Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.

Maendeleo hayana vyama!
Hao walio rekodiwa ni kweli waliongea hayo maneno au wana singiziwa??
 
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa mbunge.

Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.

Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.

Maendeleo hayana vyama!
Hizo ni techniques katika GAME, hanna tatizo hapo
 
Uchaguzi na sheria zake sio suala muono wako BINAFSI na jinsi unavyojisikia,zipo kanuni na taratibu za mchakato mzima.
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa mbunge.

Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.

Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.

Maendeleo hayana vyama!
 
Bwaaheee acha wenge!
Apo tatizo nini ametengeneza hizo sauti au ni zao?
Kama ni zao tatizo lipo wapo!?
Walirekodi wakati wakiwa vichaa au wa kiwa na akili zao timamu!?
 
Back
Top Bottom