Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je, sheria ya uchaguzi inaruhusu?Maneno Ni yako kabla hujayatamka, ukishayatamka, si Mali yako tena Bali ya jamii.
Na ndiyo maana kuna nukuu chungu tele, zote Ni matokeo ya fikra zilizotamkwa.
Hivyo kauli za Magufuli na Geajima, kwa sasa si tu zinatumika kizazi hiki, huenda huko mbeleni zitatumika hata kwa kufundishia.
Duh naona 'no stone will be left unturn', makaburi yote yanafukuliwa.na hii nayo je ?
Hao walio rekodiwa ni kweli waliongea hayo maneno au wana singiziwa??Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu, hapo kwenye avatar yako Meko ametumia mkorogo ama? Maana naona rangi inamkaribia dii sii wa 'wilaya ya jirani' na 'Gongo la mbali'Wameishiwa Hoja hao wapuuzi
Sina uhakika bwashee!Hao walio rekodiwa ni kweli waliongea hayo maneno au wana singiziwa??
Duuh, teknolojia haina adabu kabisa.Nyingine hii hapa
Mkuu, naona hakumshirikisha mzee Mgaya, alipotaka kuuleta huu uzi!Imebidi nirudi juu kuangalia aliyeleta huu uzi.
Afadhali ungeufuta maana unakufedhehesha. Huu uzi ni crap.
Sent using Jamii Forums mobile app
SAWA KABISAAAAAANa Badoo Wiki ya Mwisho wa Kampeni tunapita na Gari la sinema tukionysha Video ya Gwajima akila Mwanakondoo(Mkono wa Baunsa)
Hizo ni techniques katika GAME, hanna tatizo hapoLema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
Eti watu kama wewe CCM hawana cheo chochote!! Kwa akili zako ulifaa kuwa Katibu mwenezi badala ya huyu muosha viatu wa sasa.Ningekuona kuwa una 'Akili' zilizokutosha kama ungeanza 'Kuwakosoa' hao akina Rais JPM na Askofu Gwajima waache kuwa na 'Kauli' za Kifedhuli.
Sasa kama huna hakika ni nini msingi wa malalamiko yako bwashee?Sina uhakika bwashee!
Eti watu kama wewe CCM hawana cheo chochote!! Kwa akili zako ulifaa kuwa Katibu mwenezi badala ya huyu muosha viatu wa sasa.
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
Usihalalishe hiyo sentensi ya uongo. Hajarekodi!Mbona na nyie mmerekodi ya TL na #******** wenu anawaripotia wananchi kwenye mikutano yake??
Kwahiyo Haya maafa ya msumbiji yaliletwa na Tanzania???na hii nayo je ?