Uchaguzi 2020 Huu utaratibu wa Halima Mdee na Lema kutumia sauti zilizorekodiwa za Rais Magufuli na Askofu Gwajima haukubaliki

Uchaguzi 2020 Huu utaratibu wa Halima Mdee na Lema kutumia sauti zilizorekodiwa za Rais Magufuli na Askofu Gwajima haukubaliki

Sasa kama huna uhakika kiherehere cha nini?
Bwashee thread zako siku hizi zimekaa kibange bange sana.
Huyu mchana CCM usiku CDM, yaani anaonekana kabisa hapa anazuga ili aonekane bado yupo kazini ndio maana unaona thread zake zimekaa kibangebange zaidi
 
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.

Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.

Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.

Maendeleo hayana vyama!

ulitaka blaa blaa usema wanadanganya😂
 
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.

Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.

Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.

Maendeleo hayana vyama!

Kwani ni za kutunga au ?
 
Mkuu, Magufuli utamwonea, waulizwe wajumbe

Wala hatumuonei ,wewe kwa kauli hii unafikiri ni nani atakae pingana na Mwenyekiti !?.

Kwa kauli hii wateuliwa wa Tume ya Uchaguzi wata weza kupingana na Boss wao !?.

Polisi je !!!
IMG-20200902-WA0014.jpg
 
Ache kutetea mambo ambayo hayakubaliki kijamii na kisheria ili kuhalalisha matakwa ya masikio yenu. Imagine kama kila chama na mgombea akitumia njia hii nchi hii itakalika?
Yaani jina limekosa herufi moja tu "n" mahali fulani liakisi akili halisia ya mtoa bandiko hili?
 
Mleta mada hujui Kama sasahivi niwakati wa kampeni na kutafuta weakness ya mwenzio ili upate Ushindi.
 
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.

Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.

Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.

Maendeleo hayana vyama!
Sio halali kwako lakini wapiga kura wanatakiwa kujua wanachaguw watu gani
Gwajima ni mtanzania Anayo haki ya kuchukia waislamu na kupenda ni hiari kama anatuchukia asiwe mnafiki mbona Trump anasema wazi I HATE MUSLIMS na anashida uraisi?
Huu sio wakati wa unafiki tell Mr Gwajima be yourself don't pretend to be others
 
..lakini Gwajima naye alikuwa anafikiria nini mpaka kutoa matamshi dhidi ya Waislamu?

..au kauli kwa waumini wake kwamba fedha za kununua treni zimepatikana.

..pia Jiwe anapaswa kutueleza kwanini Kamati Kuu imempitisha Mrisho Gambo baada ya kuwa amefukuzwa ukuu wa mkoa kwa sababu ambazo zinamuondolea sifa ya kuwa kiongozi. Tuhuma za rushwa, udini, na uchonganishi kazini.
Afadhali Mrisho alishinda kura za maoni lakini huyu porn star Gwajima alishindwa vibaya akawa nafasi ya 3 jiwe kamrudisha kwa vigezo vya ukabila
Hata wajumbe wa CCM hawamtaki kabisa gwajima
 
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.

Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.

Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu lakini unaukubali utaratibu wa wagombea wa CCM pekee kupita bila kupingwa! Hebu pia wale muangalizo NEC halo
 
Wajumbe walimnyima kura Porn star Gwajima mtoto wa warioba Ndio alishinda kwa kishindo
Ila jiwe kamrudisha kwa kigezo cha ukabila
Sasa tupo njia panda 🐼
Si nibora huko Kwa kuwa Huyo unayeshindwa kumtaja Jin lake ingawa unamfahamu atashinda,
 
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.

Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.

Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.

Maendeleo hayana vyama!
haukubaliki wapi?na nani?
mbona mimi nauona poa tuu.

unapokimbiza mwizi kumbuka kufunga mlango wako kwanza.
 
B

Bi kidude kashikwa pabaya. Bishop. Dr. Gwajima mbunge mtarajiwa wa Kawe.
Mimi ni mwana CCM pia ni Muislamu
Kwa kweli kauli za ndugu Gwajima zinatuweka pabaya waislamu
Mtu mwema hawezi kuzungumza maneno ya chuki hivi
Mbaya zaidi anazidi kuharibu kwa kusema hivi karibuni nimewachimbia vidima waislamu kwenye vimsikiti vya makuti anaesema namchukia muislamu ni mnafiki
Sasa sisi tumekua wanafiki
Simpigii kura halima pia sidhani kama tapiga kura ya ubunge
 
Back
Top Bottom