namanga-kitonga
JF-Expert Member
- Feb 4, 2020
- 679
- 744
## kuhubitiKuhubiti sio shida kwangu.
Sadaka ndo Kimbembe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
## kuhubitiKuhubiti sio shida kwangu.
Sadaka ndo Kimbembe
### muhisikaWauza Bidhaa ndiyo shida watu mnaagalia muvi ama show ya muziki kwenye tv ya gari, mara anaibuka mtu ' abiria tufunge mkanda, na maneno kibao utadhani ni muhisika kwenye gari hilo kisha anaanza na habari za bidhaa za bei ya promosheni, yaani usumbufu kibao.
Mtu unasafri zako unahitaji mapumzko anatokea mtu anajifanya analeta neno labwana bila kuju watu walipo ndani wanatatizo gani wengine hawataki kelele anajifanya anahubiri dakika 3 anaomba sadaka.
Hebu tufanye kazi tusijifiche kwa kivuli cha kuhubiri na kulazimisha sadaka.
OooiiiiiI have never seen these people on Airplane but again I can not be angry with them although it's very boring for Muslim.
Bidhaa zao zote hazina majina.Wauza Bidhaa ndiyo shida watu mnaagalia muvi ama show ya muziki kwenye tv ya gari, mara anaibuka mtu ' abiria tufunge mkanda, na maneno kibao utadhani ni muhisika kwenye gari hilo kisha anaanza na habari za bidhaa za bei ya promosheni, yaani usumbufu kibao.
Ukiona neno la Mungu linakukera ujue una tatizo la kiroho.Mtu unasafri zako unahitaji mapumzko anatokea mtu anajifanya analeta neno labwana bila kuju watu walipo ndani wanatatizo gani wengine hawataki kelele anajifanya anahubiri dakika 3 anaomba sadaka.
Hebu tufanye kazi tusijifiche kwa kivuli cha kuhubiri na kulazimisha sadaka.
Kimsingi neno la Mungu siyo kelele, wapo wanaotamani wasikie kelele ila hawakubahatika kuwa na masikio yenye uwezo huo, jambo ninaloafikiana nawe ni huo mchezo wa kuwaibia watu kwa kisingizio cha sadakaMtu unasafri zako unahitaji mapumzko anatokea mtu anajifanya analeta neno labwana bila kuju watu walipo ndani wanatatizo gani wengine hawataki kelele anajifanya anahubiri dakika 3 anaomba sadaka.
Hebu tufanye kazi tusijifiche kwa kivuli cha kuhubiri na kulazimisha sadaka.
👍Kuhubiri sio shida kwangu.
Sadaka ndo Kimbembe
Ikitokea ajali mbaya ikakugusa huenda ukatambua uwepo wa Mungu regardless ni muslim au christian anahubiri, zamani zile nakumbuka baadhi ya mabasi yalianza safari baada ya kufanya sala, na hata baadhi walifanya sala walipofika maeneo ajali ziliyopoteza ndugu wengi [Hili nililiona sana kwenye Mombasa Raha wasafiri tulipofika eneo la Sekenke]Mtu unasafri zako unahitaji mapumzko anatokea mtu anajifanya analeta neno labwana bila kuju watu walipo ndani wanatatizo gani wengine hawataki kelele anajifanya anahubiri dakika 3 anaomba sadaka.
Hebu tufanye kazi tusijifiche kwa kivuli cha kuhubiri na kulazimisha sadaka.
Hebu vuta picha wangekuwa waislamu au waislamu na wao wafanye kama hivyo tungepata utulivu kweli. Ibada inatakiwa ifanyike sehemu maalumu ambayo imeshatengwa (msikitini, kanisani) at least wanaojenga majukwaa mitaani ,sio hao wengine kila Kona wanahubiri tu inakuwa sasa kama wamekosa namna ya huwavuta watu kwenye dini wanaamua kulazimishaWaislam mna matatizo sana
unaona Neno la Mungu kero? subiri kuna siku utalitafuta na hautalipata. acha kiburi cha uzima.Mtu unasafri zako unahitaji mapumzko anatokea mtu anajifanya analeta neno labwana bila kuju watu walipo ndani wanatatizo gani wengine hawataki kelele anajifanya anahubiri dakika 3 anaomba sadaka.
Hebu tufanye kazi tusijifiche kwa kivuli cha kuhubiri na kulazimisha sadaka.
Mbona wanafanya sana mkuu.Hebu vuta picha wangekuwa waislamu au waislamu na wao wafanye kama hivyo tungepata utulivu kweli. Ibada inatakiwa ifanyike sehemu maalumu ambayo imeshatengwa (msikitini, kanisani) at least wanaojenga majukwaa mitaani ,sio hao wengine kila Kona wanahubiri tu inakuwa sasa kama wamekosa namna ya huwavuta watu kwenye dini wanaamua kulazimisha
Kero Yao ndogo kulinganisha na hao wengineMbona wanafanya sana mkuu.