Huu utaratibu wa kuhubiri injili kwenye magari ya abiria ni kero kubwa, LATRA muingilie kati

Huu utaratibu wa kuhubiri injili kwenye magari ya abiria ni kero kubwa, LATRA muingilie kati

Mtu unasafri zako unahitaji mapumzko anatokea mtu anajifanya analeta neno la Bwana bila kujua watu waliopo ndani wanatatizo gani wengine hawataki kelele anajifanya anahubiri dakika 3 anaomba sadaka.

Hebu tufanye kazi tusijifiche kwa kivuli cha kuhubiri na kulazimisha sadaka.
Unapoamshwa alfajiri na adhana ya msikitini hasa watoto wako wadogo ambao wanapaswa kupumzika Kwa muda mrefu wewe unajisikiaje wakiamshwa saa kumi na speak za msikitini hapo mtaani?
 
Na siku hizi imehamia kwenye daladala...
Mtu unasafri zako unahitaji mapumzko anatokea mtu anajifanya analeta neno la Bwana bila kujua watu waliopo ndani wanatatizo gani wengine hawataki kelele anajifanya anahubiri dakika 3 anaomba sadaka.

Hebu tufanye kazi tusijifiche kwa kivuli cha kuhubiri na kulazimisha sadaka.
 
Hayo mahubiri afanyie nyumban kwake, hao wapuuzi waache kusumbua abiria, mtu umezaliwa hapa TZ ila unajifanya myahudi..

Hivi hiyo Bible inakuhusu nn ww ? Unaacha kufata mila za mababu zako unafata kitabu cha uongo cha kutunga
Injili ni kwa kila mtu, ila kama wewe ni mtenda dhambi utaichukia mno.
 
Kama Niko kwenye hiyo hatoweza kutupigia kelele,nawazingua uwongozi wa gari mpaka wanamshusha.
 
Neno la Mungu fanyia nyumban kwako na familia yako, acha kusumbua watu kwenye safari
Sheeeendwaaa pepo...

Mbona bado, kuna wakati litahubiriwa kila sehemu, hapo ndo utajua ni lazima kila goti litapigwa kwa Bwana YESU.
 
Mtu unasafri zako unahitaji mapumzko anatokea mtu anajifanya analeta neno la Bwana bila kujua watu waliopo ndani wanatatizo gani wengine hawataki kelele anajifanya anahubiri dakika 3 anaomba sadaka.

Hebu tufanye kazi tusijifiche kwa kivuli cha kuhubiri na kulazimisha sadaka.

Dawa yao ni kutowapa sadaka watapotea wenyewe!
 
Stendi huwa kuna gari nyingi, dereva na kondakta wake waambie abiria kabla hawajalipa kwamba kutakuwa na kipindi cha mahubiri kwenye gari yao.
Acha kila mtu afurahie uhuru wake pasipo kuvunja amani

Alafu Acha shobo ukiwa na gari yako binafsi hutasumbuliwa na mhubiri yoyote
 
Hata nyimbo za MWAITEGE zinaboa, gari za MBEYA, IRINGA ni kero sana. Pia gari za TANGA kaswida zinaboa.
 
Haya mambo ni ya enzi na enzi, hayajaanza jana wala leo kamwe hayatoweza kuisha
 
Acha kila mtu afurahie uhuru wake pasipo kuvunja amani

Alafu Acha shobo ukiwa na gari yako binafsi hutasumbuliwa na mhubiri yoyote
Uoumbavu huo. Kuwa na gari binafsi ndio nini?

Mule kwenye basi.unasafiri bure kwamba ni msaada ule?

Punguza ujinga.,
 
Wauza Bidhaa ndiyo shida watu mnaagalia muvi ama show ya muziki kwenye tv ya gari, mara anaibuka mtu ' abiria tufunge mkanda, na maneno kibao utadhani ni muhusika kwenye gari/basi hilo kisha anaanza na habari za bidhaa za bei ya promosheni, yaani usumbufu kibao.
Acha watu watafute rizki.
Wengine huwa na uhitaji wa hizo bidhaa.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom