Huu utaratibu wa kuhubiri injili kwenye magari ya abiria ni kero kubwa, LATRA muingilie kati

Unapoamshwa alfajiri na adhana ya msikitini hasa watoto wako wadogo ambao wanapaswa kupumzika Kwa muda mrefu wewe unajisikiaje wakiamshwa saa kumi na speak za msikitini hapo mtaani?
 
Na siku hizi imehamia kwenye daladala...
 
Hayo mahubiri afanyie nyumban kwake, hao wapuuzi waache kusumbua abiria, mtu umezaliwa hapa TZ ila unajifanya myahudi..

Hivi hiyo Bible inakuhusu nn ww ? Unaacha kufata mila za mababu zako unafata kitabu cha uongo cha kutunga
Injili ni kwa kila mtu, ila kama wewe ni mtenda dhambi utaichukia mno.
 
Kama Niko kwenye hiyo hatoweza kutupigia kelele,nawazingua uwongozi wa gari mpaka wanamshusha.
 
Neno la Mungu fanyia nyumban kwako na familia yako, acha kusumbua watu kwenye safari
Sheeeendwaaa pepo...

Mbona bado, kuna wakati litahubiriwa kila sehemu, hapo ndo utajua ni lazima kila goti litapigwa kwa Bwana YESU.
 

Dawa yao ni kutowapa sadaka watapotea wenyewe!
 
Stendi huwa kuna gari nyingi, dereva na kondakta wake waambie abiria kabla hawajalipa kwamba kutakuwa na kipindi cha mahubiri kwenye gari yao.
Acha kila mtu afurahie uhuru wake pasipo kuvunja amani

Alafu Acha shobo ukiwa na gari yako binafsi hutasumbuliwa na mhubiri yoyote
 
Hata nyimbo za MWAITEGE zinaboa, gari za MBEYA, IRINGA ni kero sana. Pia gari za TANGA kaswida zinaboa.
 
Haya mambo ni ya enzi na enzi, hayajaanza jana wala leo kamwe hayatoweza kuisha
 
Acha kila mtu afurahie uhuru wake pasipo kuvunja amani

Alafu Acha shobo ukiwa na gari yako binafsi hutasumbuliwa na mhubiri yoyote
Uoumbavu huo. Kuwa na gari binafsi ndio nini?

Mule kwenye basi.unasafiri bure kwamba ni msaada ule?

Punguza ujinga.,
 
Acha watu watafute rizki.
Wengine huwa na uhitaji wa hizo bidhaa.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…