akajasembamba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 1,179
- 1,794
Picha za Hayati Edward Moringe Sokoine zinafanana kiasi na hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi?Mzee Kenyetta senior yeye ndo hata hawakumzika kabisa walimweka hvohvo hadi leo kama sijakosea.
Hivi Sokoine alikuwa nani?Picha za Hayati Edward Moringe Sokoine zinafanana kiasi na hii.
Hiyo ndio maana halisi ya Demokrasia kila kitu wazi hakuna kufichaPoleni majirani kwa msiba wa Rais mstaafu Mwai Kibaki. Lakini labda mnijuze/ mnifunze huu utaratibu wa kumweka maiti hasa kiongozi mkubwa aliyefariki kwa style hii mmeutoa wapi? Binafsi naona kama inatisha sana sasa sijui wenzetu nyie mnaona inapendeza labda . Hii niliona hata kwa marehemu Daniel Moi.
View attachment 2200332
Ni kumdhalilisha tuDuuh utamaduni wa kifala sana Mzee mzima wamemwacha na miguu kachanua kabisa duuh!
Alikuwa mtu.Hivi Sokoine alikuwa nani?
Mkenya nini uyo😀😀😀ivyo ivyo anamix na ovyo ovyo uyo atakuwa mkenya wa bushMsamehe bure huyo hajui kiswahili vizuri, anajua "Sheng", wao g=j, 🤣
Tamaduni za mazishi zipo nyingi. Kama huyu boya Rockefeller alijifanya kwenda Papua New Guinea njemba zikaishia kumla....[emoji16][emoji16][emoji16]Kawaida tu.
Miaka michache hapo nyuma Africa walikua wanamkalisha marehemu hapo kwenye kiti na wakiaga wanampika supu marehemu au wanamtundika juu ya mti usiku wa manane wanatambaa naye.
Au wanazika kuzuga tu badae wanafukua wanaondoka nae.
Zipo hizo documentary huko west Africa nyingi tu.
Wakenya wanaiga tu.
Cheki mjinga mjinga huyu!Duuh utamaduni wa kifala sana Mzee mzima wamemwacha na miguu kachanua kabisa duuh!