Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unaandika mambo ya kipuuzi?Kweli tamaduni zetu zinatofautiana sana. Unaona hapo wanaume wa Tz wanalia kweli, hadi machozi yanawatiririka. Wakati nchini Kenya wanaume huwa wanalia kwa ndani, yaani kimoyomoyo. Kila mtu aheshimu utamaduni wa mwenzake. 😎
Mcheki huyu nyang'au analia hovyo hovyo, mpaka kavua shati.😂Kwasababu naweza, uta'do'? 😄 Anyway, ni utani tu. Ila ni kweli jombaa, nchini Kenya ni kufuru kwa mwanaume kulia hadharani kwa mtindo huo hapo. Lakini naheshimu huo utamaduni wenu. 😆
Huko Kenya Muumini wa dini hizo kupata hizo nafasi za juu Ni ndotoRais kama alikuwa ni muumini wa dini ya kiislam je ataagwa hivyo?
Kenya hatuna udini.Huko Kenya Muumini wa dini hizo kupata hizo nafasi za juu Ni ndoto
Udini upo sana. Mnabagua Sana waislamuKenya hatuna udini.
I repeat, Kenya hakuna udini. Huo upuzi tuliachia Tanzania.Udini upo sana. Mnabagua Sana waislamu
Pengine huelew maana ya udiniI repeat, Kenya hakuna udini. Huo upuzi tuliachia Tanzania.
Kenya hatuna udini.
Ulikuja kutafuta nini Kenya? Si ungebaki hukohuko Tanzania!Udini na ukabila utawamaliza. Tena kipindi hichi cha uchaguzi kila mmoja anarudi kwao mi mwenyewe mwezi wa sita narudi zangu Tanzania.
Narudia, Tanzania kuna udini, Kenya hakuna udini. Udini utamaliza Tanzania, sio Kenya.Udini na ukabila utawamaliza. Tena kipindi hichi cha uchaguzi kila mmoja anarudi kwao mi mwenyewe mwezi wa sita narudi zangu Tanzania.
Conspiracy theoriesTamaduni za mazishi zipo nyingi. Kama huyu boya Rockefeller alijifanya kwenda Papua New Guinea njemba zikaishia kumla....[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2202044
Kenya mmewaengua Waislamu kwenye uongozi wa juu. Ndio maana lile kundi la MRC likaanzishwa kule Mombasa na slogan "Pwani si Kenya" Kibaki akatumia ubabe kulizima. Mpaka 2016 Eid El Fitr/Eid El Hajj haikua public holiday hapo Kenya. Huo sio udini?Narudia, Tanzania kuna udini, Kenya hakuna udini. Udini utamaliza Tanzania, sio Kenya.
The highlighted part is enough proof hujui unachoongelea. Ndio maana I won't waste my time with you. 🚮 🚮 🚮Kenya mmewaengua Waislamu kwenye uongozi wa juu. Ndio maana lile kundi la MRC likaanzishwa kule Mombasa na slogan "Pwani si Kenya" Kibaki akatumia ubabe kulizima. Mpaka 2018 Eid El Fitr/Eid El Hajj haikua public holiday hapo Kenya. Huo sio udini?
Jamaa aliliwa kweli. Na siyo peke yake. Hawa jamaa ilikuwa ukijichanganya wanakukula tu...Ulikuwa utamaduni wao...very documented!Conspiracy theories
Lini mtapata rais muislam?Narudia, Tanzania kuna udini, Kenya hakuna udini. Udini utamaliza Tanzania, sio Kenya.
Halafu wanasema eti Kenya hakuna udini.Haipo hiyo wao wanawaza kugawana vyeo ki-ukabila (big 5=Kikuyu, kalenjin, Luo, luhya+kamba na wote dini MOJA hao pwani na huko wajir+Garissa watajijua.
Kenya Kuna vijana wa Hovyo[emoji16] wanadai ki utaratibu Uhuru ndio anafuata kufa