Huu utaratibu wa kumweka Maiti namna hii huko Kenya unanishangaza

Huu utaratibu wa kumweka Maiti namna hii huko Kenya unanishangaza

Eti kimikakati. 😄 Naona umekuwa mpole sana, baada ya kuumbuka ukijaribu kueneza udini wako kwa kutumia uongo. Kwenye hili jukwaa hoja huwa zinapangwa na kupanguliwa kwa kutumia 'facts' na takwimu. Sio hadithi ambazo huwa mnasimuliana, mkiwa kwenye vijiwe vyenu vya kahawa hapo Uwanja wa Fisi.

Census ya Kenya 2019; Kenya: population by religious groups | Statista Wakristo nchini Kenya- 85.59%
Waislamu- 10.90%

Kama unamaanisha kwamba gatuzi za pwani, nchini Kenya, zina waislamu wengi zaidi ya wakristo umenoa. Kwenye gatuzi zote sita za pwani kwa pamoja, waislamu ni 40%, wakristo nao ni 60% ya wakazi wote.
Kenya’s Coast: Religion, Race, Ethnicity and the Elusive Nature of Political Community

Siungi mkono ukabila, uovu huo hauna faida na huwa unaendelezwa na wanasiasa, kwa faida yao. Kuna siku utakuja utokomezwe kabisa nchini Kenya na sasa hivi tunaelekea huko.
Ukweli unabaki pale pale Waislamu wamepunjwa nafasi za Uongozi Kenya. Hapo bado mna ukabila. Kazi ipo! Agosti 2022 muuane tena
 
Ukweli inabaki pale pale Waislamu wamepunjwa nafasi za Uongozi Kenya
Yea, utabaki pale pale, kichwani mwako. Wamebaguliwa sana, ndio maana hata mahakama ya Kadhi wamekuwa nayo. Kwa miongo zaidi ya miine sasa, wakati hapo Tanganyika wewe muislamu neno kadhi hadi leo hii ni msamiati kwako.
 
Yea, utabaki pale pale, kichwani mwako. Wamebaguliwa sana, ndio maana hata mahakama ya Kadhi wamekuwa nayo. Kwa miongo zaidi ya miine sasa, wakati hapo Tanganyika wewe muislamu neno kadhi hadi leo hii ni msamiati kwako.
Tanzania Rais wa Jamhuri ni Nani?. 2005-2015 tuliwahi kuwa na Rais na Makamu wake wote waislam bila rabsha!nyie mpaka Sasa Marais 4 (Marais 3 Kikuyuz, 1kalenjin tena aliingia kwa bahati mbaya, mkampinga kisa si Mkikuyu baadae akakaza haswa mkamuita dikteta).
**Hapo sijazungumzia nafasi ya mwanamke kwenye Siasa za Kenya. Katiba na uhalisia Ni vichekesho.
NB: mkiambiwa Kenya ni kichekesho mnanuna.
 
Marais wote wa Kenya!
20220425_162109.jpg
 
Udini na ukabila utawamaliza. Tena kipindi hichi cha uchaguzi kila mmoja anarudi kwao mi mwenyewe mwezi wa sita narudi zangu Tanzania.
Kwanza kaondoke kabisaa,tuondolee uchafu,
Kelbu hayawani.
 
Back
Top Bottom