Huu utaratibu wa kuwakatia viuno wageni kwenye viwanja vya ndege nani aliuanzisha?

Huu utaratibu wa kuwakatia viuno wageni kwenye viwanja vya ndege nani aliuanzisha?

Ukihitaji salamu njoo unikatie mauno kwanza, tofauti na hapo utaambulia chuya!

Huu utaratibu ulianza kama mzaha lakini kadiri siku zinavyozidi ndivyo hali inakuwa mbaya,kitu kibaya zaidi hadi wanaume watu wazima utawakuta nao wamejifunga kibwebwe wanakata mauno bila aibu wala soni!.

Viongozi wetu wakienda nchi za watu walioendelea huwezi kuona huu uwendawazimu wa kina mama na kina baba wa huko kukata mauno kama wendawazimu!.

Zamani viongozi walipokuwa wakija hapa nchini kulikuwa na vikundi vya ngoma za asili vilivyocheza kwa staha,madoido na mbwembwe bila kukata mauno ovyo!, Sijajua siku hizi hivi vikundi vimepatwa na nini maana siyo kwa miuno hiyo inayokatwa!.

Kuna mtu nilikuwa najadiliana nae akaniambia kwamba huo ndiyo utamaduni wetu na wageni wanapokuja wanapaswa wakatiwe viuno ili wafurahie utamaduni wa mtanzania!.

Kama ndivyo aisee hii ni hatari sana!.

Nimeshangaa sana kuona mijibaba yenye ndevu ikiwa inakata mauno mbele ya Rais wa Germany!,Rais kazi yake ilikuwa ni kupiga makofi tu na kushangaa!, bila shaka nadhani akirudi Germany ataenda kuwasimulia wenzie, hivyo tutegemee ugeni mzito kutoka Germany kuja kushangaa wakata miuno pale JKNIA!
Wazungu nao hukata viuno eapoti ya Landani, walaumiwe kwa kutuletea utamaduni wao.
 
Tanganyika hatukupata Uhuru, tulidanganywa na mchonga.

Structure ya mkoloni aliyoicha ndio hiyo hiyo, CCM inaitumia , kukandamiza wananchi
 
Hivi vikundi vya Ngoma vingi Viko kwenye ofisi za CCM,matawi, ndiko wanako jifunzia kukatika, na kuambukizana mangonjwa ya zinaaa na Mimba za ghafla
Hivyo vikundi msivione hivyo ni Mali ya CCM hiyo,
CCM ina mambo ya hovyo Sana Khan😂😂
 
Ukihitaji salamu njoo unikatie mauno kwanza, tofauti na hapo utaambulia chuya!

Huu utaratibu ulianza kama mzaha lakini kadiri siku zinavyozidi ndivyo hali inakuwa mbaya,kitu kibaya zaidi hadi wanaume watu wazima utawakuta nao wamejifunga kibwebwe wanakata mauno bila aibu wala soni!.

Viongozi wetu wakienda nchi za watu walioendelea huwezi kuona huu uwendawazimu wa kina mama na kina baba wa huko kukata mauno kama wendawazimu!.

Zamani viongozi walipokuwa wakija hapa nchini kulikuwa na vikundi vya ngoma za asili vilivyocheza kwa staha,madoido na mbwembwe bila kukata mauno ovyo!, Sijajua siku hizi hivi vikundi vimepatwa na nini maana siyo kwa miuno hiyo inayokatwa!.

Kuna mtu nilikuwa najadiliana nae akaniambia kwamba huo ndiyo utamaduni wetu na wageni wanapokuja wanapaswa wakatiwe viuno ili wafurahie utamaduni wa mtanzania!.

Kama ndivyo aisee hii ni hatari sana!.

Nimeshangaa sana kuona mijibaba yenye ndevu ikiwa inakata mauno mbele ya Rais wa Germany!,Rais kazi yake ilikuwa ni kupiga makofi tu na kushangaa!, bila shaka nadhani akirudi Germany ataenda kuwasimulia wenzie, hivyo tutegemee ugeni mzito kutoka Germany kuja kushangaa wakata miuno pale JKNIA!
😅😅😅
 
Viongozi wetu wakienda nchi za watu walioendelea huwezi kuona huu uwendawazimu wa kina mama na kina baba wa huko kukata mauno kama wendawazimu!.
Kumbe kuacha hii hali hadi nchi iendelee, basi subiri siku Tanzania ikiwa miongoni mwa nchi zilizoendelea, huu utaratibu utajifia.
 
Ukihitaji salamu njoo unikatie mauno kwanza, tofauti na hapo utaambulia chuya!

Huu utaratibu ulianza kama mzaha lakini kadiri siku zinavyozidi ndivyo hali inakuwa mbaya,kitu kibaya zaidi hadi wanaume watu wazima utawakuta nao wamejifunga kibwebwe wanakata mauno bila aibu wala soni!.

Viongozi wetu wakienda nchi za watu walioendelea huwezi kuona huu uwendawazimu wa kina mama na kina baba wa huko kukata mauno kama wendawazimu!.

Zamani viongozi walipokuwa wakija hapa nchini kulikuwa na vikundi vya ngoma za asili vilivyocheza kwa staha,madoido na mbwembwe bila kukata mauno ovyo!, Sijajua siku hizi hivi vikundi vimepatwa na nini maana siyo kwa miuno hiyo inayokatwa!.

Kuna mtu nilikuwa najadiliana nae akaniambia kwamba huo ndiyo utamaduni wetu na wageni wanapokuja wanapaswa wakatiwe viuno ili wafurahie utamaduni wa mtanzania!.

Kama ndivyo aisee hii ni hatari sana!.

Nimeshangaa sana kuona mijibaba yenye ndevu ikiwa inakata mauno mbele ya Rais wa Germany!,Rais kazi yake ilikuwa ni kupiga makofi tu na kushangaa!, bila shaka nadhani akirudi Germany ataenda kuwasimulia wenzie, hivyo tutegemee ugeni mzito kutoka Germany kuja kushangaa wakata miuno pale JKNIA!
Ni ujinga usiopingika, Marais wetu wakienda kwao huko Ulaya au Marekani hata raia wa huko wanakuwa hawana taarifa kuwa Rais wa Tanzania kaja kulia na kuomba msaada wakati nchi yake ina kila aina ya utajiri.
 
CCM ni wakongo Mani.
Si kweli, ni nzi wa chooni tu. Ona hapa akiwa bize kula mimamvi ya wananchi wake.
R.jpeg
R.jpeg
 
Moja ya jambo la hovyo hili sio peke yako,inamaana hata mie najiuliza inamana tumekosa kabisa ubunifu zaidi ya kulimwaga uno?
 
Ukihitaji salamu njoo unikatie mauno kwanza, tofauti na hapo utaambulia chuya!

Huu utaratibu ulianza kama mzaha lakini kadiri siku zinavyozidi ndivyo hali inakuwa mbaya,kitu kibaya zaidi hadi wanaume watu wazima utawakuta nao wamejifunga kibwebwe wanakata mauno bila aibu wala soni!.

Viongozi wetu wakienda nchi za watu walioendelea huwezi kuona huu uwendawazimu wa kina mama na kina baba wa huko kukata mauno kama wendawazimu!.

Zamani viongozi walipokuwa wakija hapa nchini kulikuwa na vikundi vya ngoma za asili vilivyocheza kwa staha,madoido na mbwembwe bila kukata mauno ovyo!, Sijajua siku hizi hivi vikundi vimepatwa na nini maana siyo kwa miuno hiyo inayokatwa!.

Kuna mtu nilikuwa najadiliana nae akaniambia kwamba huo ndiyo utamaduni wetu na wageni wanapokuja wanapaswa wakatiwe viuno ili wafurahie utamaduni wa mtanzania!.

Kama ndivyo aisee hii ni hatari sana!.

Nimeshangaa sana kuona mijibaba yenye ndevu ikiwa inakata mauno mbele ya Rais wa Germany!,Rais kazi yake ilikuwa ni kupiga makofi tu na kushangaa!, bila shaka nadhani akirudi Germany ataenda kuwasimulia wenzie, hivyo tutegemee ugeni mzito kutoka Germany kuja kushangaa wakata miuno pale JKNIA!
Nadhani ni mkwere
 
Back
Top Bottom