Huu utaratibu wa kuwakatia viuno wageni kwenye viwanja vya ndege nani aliuanzisha?

Mkuu nimecheka sana, sana mno! Kila aya yako mbavu zimenivunjika.

Naunga mkono hoja yako, upewe tu hicho kitengo cha utamaduni!
 
Sidhani kama upo sahihi nawala sidhani kama unahitaji msaada wa kueleweshwa, kwa maana hii baki na ujinga wako.
jenga hoja upangue maoni yanga, akili ya kuniona mjinga unaipata wapi ukiwa unaonekana we ni mtu mwenye akili? Wapi uliona rais wetu anachezewa ngoma huko ziara za nje ya nchi zaidi ya gwaride la heshima la jeshi, unadhani watu wa nje hawana utamaduni wao wa kukaribisha wageni? Nyie ndio wale humu mkishindwa kujenga hoja mnakimbili kutukana na kuona wengine ni wajinga huku mkijianika ujinga wenu wazi
 
M
Mwendo wa vibuno ,vibuno
 
ni utalii wa sanaa na utamaduni tu huoni wakija wajerumani wengine tumeingiza pesa kwenye mfuko wa chama na serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…