Huu uvaaji wa Millard Ayo kwenye msiba wa Gardner umenishangaza sana

Huu uvaaji wa Millard Ayo kwenye msiba wa Gardner umenishangaza sana

Mzuka Wanajamvi!

Mwamba bilionea mstaarabu mtangazaji na mwandishi wa habari maarufu nchini Millard Ayo ameniacha hoi na mdomo wazi alivyovaa kwenye msiba wa aliyekuwa mtangazaji wa clouds Gardner G Habash huko Rombo.

Mara ya kwanza nilipoiona iyo picha nilidhani Millard ni mgambo mlinzi wa Suma JKT yupo hapo mahsus kwa ajili ya kuimarisha ulinzi kwenye msiba kumbe ni swagger za mtoko tu msibani.

Kweli Gardner kaagawa in style.

R.I.P Gardner G Habash.

View attachment 2972575
Huu msiba ulitawaliwa na mbwembwe za mastaa uchwara.

Hata hivyo achana na maisha ya watu kenge wewe
 
Amevaa sahihi kabisa. Yupo safari ya kikazi tena msibani lazima avae nguo zitakazomfanyia wepesi kushuka na kupanda gari, kupiga picha na kuongea na watu mbalimbali ..... NAKADHAA WA KADHA. Ulitaka avae Kanzu na koti.
 
Mzuka Wanajamvi!

Mwamba bilionea mstaarabu mtangazaji na mwandishi wa habari maarufu nchini Millard Ayo ameniacha hoi na mdomo wazi alivyovaa kwenye msiba wa aliyekuwa mtangazaji wa clouds Gardner G Habash huko Rombo.

Mara ya kwanza nilipoiona iyo picha nilidhani Millard ni mgambo mlinzi wa Suma JKT yupo hapo mahsus kwa ajili ya kuimarisha ulinzi kwenye msiba kumbe ni swagger za mtoko tu msibani.

Kweli Gardner kaagawa in style.

R.I.P Gardner G Habash.

View attachment 2972575
Chuga hiyo..
 
Mzuka Wanajamvi!

Mwamba bilionea mstaarabu mtangazaji na mwandishi wa habari maarufu nchini Millard Ayo ameniacha hoi na mdomo wazi alivyovaa kwenye msiba wa aliyekuwa mtangazaji wa clouds Gardner G Habash huko Rombo.

Mara ya kwanza nilipoiona iyo picha nilidhani Millard ni mgambo mlinzi wa Suma JKT yupo hapo mahsus kwa ajili ya kuimarisha ulinzi kwenye msiba kumbe ni swagger za mtoko tu msibani.

Kweli Gardner kaagawa in style.

R.I.P Gardner G Habash.

View attachment 2972575
Unatuaibisha wanaume wenzio mkuu.
Cha ajabu nini hapo?
 
Mzuka Wanajamvi!

Mwamba bilionea mstaarabu mtangazaji na mwandishi wa habari maarufu nchini Millard Ayo ameniacha hoi na mdomo wazi alivyovaa kwenye msiba wa aliyekuwa mtangazaji wa clouds Gardner G Habash huko Rombo.

Mara ya kwanza nilipoiona iyo picha nilidhani Millard ni mgambo mlinzi wa Suma JKT yupo hapo mahsus kwa ajili ya kuimarisha ulinzi kwenye msiba kumbe ni swagger za mtoko tu msibani.

Kweli Gardner kaagawa in style.

R.I.P Gardner G Habash.

View attachment 2972575
Miladi ni yupi hapo katika hao wawili? Tunashindwa kuchangia mada mkuu hatumjui.
 
Amevaa sahihi kabisa. Yupo safari ya kikazi tena msibani lazima avae nguo zitakazomfanyia wepesi kushuka na kupanda gari, kupiga picha na kuongea na watu mbalimbali ..... NAKADHAA WA KADHA. Ulitaka avae Kanzu na koti.
Naongezea, sasa hivi mvua zinanyesha matope Kila sehemu pia wao ndio walikuwa wabebaji wakuu wa jeneza la marehemu sasa ukijumlisha na pirika nyingine msibani lazima uvae kikazi.
 
Back
Top Bottom