Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Common sense is such a subjective and broader term.Ndio hakuna sehemu imeandikwa ila common sense tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Common sense is such a subjective and broader term.Ndio hakuna sehemu imeandikwa ila common sense tu.
Aisee! Maghayo amerudi kwa shemeji toka ughaibuni kubeba maboksi 😂😂😂Umetulia kwenye sofa nyumbani kwa dadako bando lenyewe umepewa na mume wa dada yako unamjadili Millard Ayo, fanya uende ukamchukue Junior shuleni
freemasontanzania.org
Na lile baridi la Rombo...Amevaa sahihi kabisa. Yupo safari ya kikazi tena msibani lazima avae nguo zitakazomfanyia wepesi kushuka na kupanda gari, kupiga picha na kuongea na watu mbalimbali ..... NAKADHAA WA KADHA. Ulitaka avae Kanzu na koti.
Na ukizingatia ni mtu wa Arachuga, anadumisha style zao.sasa hapo cha ajabu ni nini ? acha ushamba hayo ni mavazi ya kawaida tu kama ulikuwa hujui.Tembea uone
huu ni msimu wa mvua,ulitegemea avae vipi??......udongo wa moshi ni tiftif!!!!,,,alaf pia ni teknik ya kujificha asipigwe mizinga!!Mzuka Wanajamvi!
Mwamba bilionea mstaarabu mtangazaji na mwandishi wa habari maarufu nchini Millard Ayo ameniacha hoi na mdomo wazi alivyovaa kwenye msiba wa aliyekuwa mtangazaji wa clouds Gardner G Habash huko Rombo.
Mara ya kwanza nilipoiona iyo picha nilidhani Millard ni mgambo mlinzi wa Suma JKT yupo hapo mahsus kwa ajili ya kuimarisha ulinzi kwenye msiba kumbe ni swagger za mtoko tu msibani.
Kweli Gardner kaagawa in style.
R.I.P Gardner G Habash.
View attachment 2972575
Umeacha kushangaa wazungu wanao vaa ch. upi.....mchana kweupe unakuja kumshangaa kijana aliyevaa kwa heshma kabisa?Mzuka Wanajamvi!
Mwamba bilionea mstaarabu mtangazaji na mwandishi wa habari maarufu nchini Millard Ayo ameniacha hoi na mdomo wazi alivyovaa kwenye msiba wa aliyekuwa mtangazaji wa clouds Gardner G Habash huko Rombo.
Mara ya kwanza nilipoiona iyo picha nilidhani Millard ni mgambo mlinzi wa Suma JKT yupo hapo mahsus kwa ajili ya kuimarisha ulinzi kwenye msiba kumbe ni swagger za mtoko tu msibani.
Kweli Gardner kaagawa in style.
R.I.P Gardner G Habash.
View attachment 2972575
kazidakia wapi hizo zote ?Mkuu ana bilion 10 madaf na 4 million usd kama sijakosea. Source Google.