Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushamba unakusumbuaMzuka Wanajamvi!
Mwamba bilionea mstaarabu mtangazaji na mwandishi wa habari maarufu nchini Millard Ayo ameniacha hoi na mdomo wazi alivyovaa kwenye msiba wa aliyekuwa mtangazaji wa clouds Gardner G Habash huko Rombo.
Mara ya kwanza nilipoiona iyo picha nilidhani Millard ni mgambo mlinzi wa Suma JKT yupo hapo mahsus kwa ajili ya kuimarisha ulinzi kwenye msiba kumbe ni swagger za mtoko tu msibani.
Kweli Gardner kaagawa in style.
R.I.P Gardner G Habash.
View attachment 2972575
Vijana wa Arachuga hawajawahi kuwa serious kwenye mavaziMzuka Wanajamvi!
Mwamba bilionea mstaarabu mtangazaji na mwandishi wa habari maarufu nchini Millard Ayo ameniacha hoi na mdomo wazi alivyovaa kwenye msiba wa aliyekuwa mtangazaji wa clouds Gardner G Habash huko Rombo.
Mara ya kwanza nilipoiona iyo picha nilidhani Millard ni mgambo mlinzi wa Suma JKT yupo hapo mahsus kwa ajili ya kuimarisha ulinzi kwenye msiba kumbe ni swagger za mtoko tu msibani.
Kweli Gardner kaagawa in style.
R.I.P Gardner G Habash.
View attachment 2972575
Hata 10 tuBilionare mstaarabu hiv anaweza kuwa na b ngap
Inafikirisha sana kuona ID ya miaka 10 nyuma inacomment upuuzikijana ayoo kazingua kwa kwelii mazee ila wanaume wenzagu nawaasa kuwa baada ya mechi usikubali dame aone madako Yakooo Rudi nyuma kama lorry la takataka
You will thank me later.!
Amependeza.Mzuka Wanajamvi!
Mwamba bilionea mstaarabu mtangazaji na mwandishi wa habari maarufu nchini Millard Ayo ameniacha hoi na mdomo wazi alivyovaa kwenye msiba wa aliyekuwa mtangazaji wa clouds Gardner G Habash huko Rombo.
Mara ya kwanza nilipoiona iyo picha nilidhani Millard ni mgambo mlinzi wa Suma JKT yupo hapo mahsus kwa ajili ya kuimarisha ulinzi kwenye msiba kumbe ni swagger za mtoko tu msibani.
Kweli Gardner kaagawa in style.
R.I.P Gardner G Habash.
View attachment 2972575
Broh umejibu kwa hasira as if wewe ndio Ayo mwenyewe.sasa hapo cha ajabu ni nini ? acha ushamba hayo ni mavazi ya kawaida tu kama ulikuwa hujui.Tembea uone
Wape sababu!kijana ayoo kazingua kwa kwelii mazee ila wanaume wenzagu nawaasa kuwa baada ya mechi usikubali dame aone madako Yakooo Rudi nyuma kama lorry la takataka
You will thank me later.!
😂😂😂🙌Oyaaa Millard acha makasiriko.
elewa kwamba kila tukio/event na hata occation kuna dressing code zake automatically watu huvaa kumaanisha wana concentrate na tukio/mahali hapo. Huwezi kujivalia mavazi tu utaonekana kitukoAcheni kuishi kwa mazoea. Kwani ameenda uchi? angevaa suti Gardner angefufuka?
Hakuna sehemu iliyoandikwa kuwa ni lazima uvae mavazi ya aina fulani msibani ndio ionekane una uchungu sana.
Harmonize alivaa joho kama sultan aliefilisika, lakini maisha yaliendelea.
elewa kwamba kila tukio/event na hata occation kuna dressing code zake automatically watu huvaa kumaanisha wana concentrate na tukio/mahali hapo. Huwezi kujivalia mavazi tu utaonekana kitukoAcheni kuishi kwa mazoea. Kwani ameenda uchi? angevaa suti Gardner angefufuka?
Hakuna sehemu iliyoandikwa kuwa ni lazima uvae mavazi ya aina fulani msibani ndio ionekane una uchungu sana.
Harmonize alivaa joho kama sultan aliefilisika, lakini maisha yaliendelea.