Huu uvumbuzi ukija bongo tumekwisha

Huu uvumbuzi ukija bongo tumekwisha

U
Unaifahamu study inayoitwa Dianetics au Scientology? Acha ujinga wako.
Kuna taasisi inaitwa "Mkutra" ina deal na Mind Control Projects na imeharibu wengi sana, ni kitengo cha CIA.....ngoja nisienndelee, sidhani kama unaongea kwa akili zako
meathirika na movie ww sio bure ndo wale wale wanaoamin theory badala ya fact kabla ya kumwongelea huyo robot ebu nisaidie ":mechanism ya ubongo unaanzia wap kufikiri au unaanzia wap kupata wazo *
 
.
20210821_174703.jpg
 
Habari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".

Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye screen iliyo kwenye paji la uso wa Roboti.

Hii ikija Bongo sijuhi itakuwaje?

View attachment 1899487
Hata nikiwaza kwa lugha yetu?
 
Hivyo vingine vinaweza kuwa kweli lakini kwenye kusoma fikra zako na kujua exactly unachokifikiria at the time ni impossible even in 200 years na kama ikiwezekana kwa asilimia kubwa itakuwa ni prediction.
Maybe in the next 1000 years.

Maybe itaweza kusoma hisia kwa kuangalia facial expression mfano una huzuni, hasira, furaha nk vitu ambavyo hata mtoto anaweza tambua.
Au Labda kama watakupandikiza chips zao au kujua history ya maisha yako na mambo unayofanya kila siku labda data kutoka kwenye simu yako. Then hapo sawa lakini bado itakuwa ni prediction.

Mpaka leo binadamu ameshindwa kujua how consciousness works ni mystery bado.
Hivyo kujua kwa exactness mtu mwengine anachofikiria ni impossible.

Kingine huyu jamaa ni mtu wa kick sana.
Vumbuzi zote kabla hazijafanyika usingeweza amini zinawezekana. Simple technology ya redio au tv, km usingezikuta, then ukaambiwa kuna chombo mtu anaweza kuwa anaongea America wewe unamsikia hapa Bongo bila connection ya waya, haungeafiki.
 
Sasa si nabisha tu kua mm siwazi hilo linalosemwa na roboti halafu mm wewe na roboti tunaanza kubishana.
 
Na microchip haiwez kufanya mind controlling hakuna kifaa wala kitu chochote kinachoweza kumtawala binadam bila yeye mwenyewe kuridhia na ikitokea hivo sasa huyu binadam ataenda jehanam kwa kosa lipi wakati hakuwa yeye n microchip ilokuwa ikimtawala?? Microchip haiwez kutawala ubongo wa mwanadam lbda useme ina weza kufanya location kwa kuwa na GPS
Mzee unaijua limbwata ? Ile ina control ubongo sema teknolojia yake haijawa documented popote🤣
 
You hack it by disturbing electronagnetic waves which are created by our brain . Kw vyovyote vile hio robot inatumia resonance waves kutoka kwa ubongo wa mtu na kuzitafsiri kuwa signal . Kumbuka ubongo wetu ni waves which are contininuosly vibrating.
 
Mzee unaijua limbwata ? Ile ina control ubongo sema teknolojia yake haijawa documented popote🤣
Limbwata ni chemical which interfere the reasong ability.
Wakikupa lmbwa ina maana wameua baadhi ya cell hivyo ubongo unadumaa kwa namna fulani. Na ndio maana watu wanaopewa limbwata hata kazi nyingine wanashindwa kuzifanya vizuri, kazini wanakuwa wanazingua.
 
Vumbuzi zote kabla hazijafanyika usingeweza amini zinawezekana. Simple technology ya redio au tv, km usingezikuta, then ukaambiwa kuna chombo mtu anaweza kuwa anaongea America wewe unamsikia hapa Bongo bila connection ya waya, haungeafiki.
Mkuu hivi unaweza ukaniambia fikra zinapatikana wapi na what is consciousness?

Na sijasema haiwezekani bali haiwezekani kutokana na technology iliyopo sasa ni primitive ukilinganisha na how ubongo wa mwanadamu na consciousness vinavyooperate

Nijibu hayo maswali then ujue unachokiongelea kama kweli ni kitu rahisi kama unavyodhani.
 
Kuna vitu n immposible hata technologia iweje. Na hiki n kimojawapo
 
Habari wadau..
unaambiwa katika uvumbuzi uliozua gumzo ni huu wa Elon Mask uliofanyika katika Tesla Artificial Intelligent Event "Tesla AI event".

Robot ya 5ft na 8in ikiwa na 125pound yenye screen usoni ambayo inauwezo wa kusoma kile unachokiwaza na kutoa maandishi ya kile unachowaza kwenye screen iliyo kwenye paji la uso wa Roboti.

Hii ikija Bongo sijuhi itakuwaje?

View attachment 1899487
Hii inafaa sana katika zoezi la kuwabaini wale wote ambao siyo raia wa nchi hii lakini wamejificha na kuhodhi mamlaka makubwa kwenye system ya nchi yetu huku wakiwa wanawasumbua sana wale ambao ni raia
 
Usibishe kitu kama hujui...ujinga wake usije kuuleta humu...nadhani kushika sana dini kumekufanya kuwa mjinga, utakuta mtu kasoma shule na kuwa Dk au profesa lakini amekumbatia dini na kubaki na ujinga wake..
Unafahamu Artificial Intelligence zinavyofanya kazi? Hizi Semiconductors zina "awareness of itself" zinajua unachokiwaza na unachokifanya..hata sisi binadamu ni just "biological computer" na brain zetu zinafanya kazi digitary yaani kama computer tu, kama computer ina RAM , Harddisk the same to brain zetu.
Ndo maana TCRA na dunia yote ilibadilisha teknology kutoka analogue kwenda digital lengo ni ku connect human brain with machine kwa vile zote zinafanya kazi sawa sawa na ndio hicho kinachokwenda kufanyika duniani kote kupitia chanjo ya Covi19, hii ni chanjo yenye microchip (inatumia nanotechnology) ya Artificial intelligent (huandikwa Ai) ili kuwaconnect binadamu wote kwenye global computer..
Watu wajinga wasio na "awareness" wanajipeleka kwenye hizi chanjo bila kujua agenda yake ni nini ( nishakuambia)
Wameudanganya ulimwengu (agenda imetoka kwa Lucifer) kwa kuleta agenda kupitia Media (Mainstream media zote duniani ni mali yao) ambapo wametumia njia iitwayo PRS ( Problem , Reaction , Solution) yaani unaanzisha problem, public ina React then inaomba msaada ambapo wao wenyewe wanakuja na Solution ambayo ndio Chanjo.
Unapobisha bila kufanya uchunguzi ni kujionyesha una kiwango cha juu cha ujinga.
Mambo ni mengi.
Kila unapoleta jambo jipya kwa "Binadamu" wajinga wa leo ni kupinga kwa vile hilo jambo halijaandikwa kwenye Education (mind programming) au dini (mind control programming)
Ndo maana hata Authority inakuja na agenda yake na kusema jambo hili ni la kitaalamu kwa vile Goverments pia ni mali ya hizi Secret Society ambao wana agenda hii ya Lucifer.
Sijui niandike kitabu?
Moja ya challenges kubwa kabisa ambazo bado zipo mpaka leo kwenye ulimwengu wa AI, ni kutengeneza microchip ambayo itakapokuwa imekuwa embedded kwenye Kompyuta ambayo tayari ina uwezo wa ku-"mimic human behavoiur"; microchip hiyo itaiwezesha Kompyuta hiyo kukua ki-akili in as much the same way kama binadamu ambavyo huwa anakua kuanzia ututoni hadi kwenye utu uzima. Kwa unachokiongea hapa kama ni kweli, they are almost there, kwa sababu wataweza kupata database ambayo wakija kutengeneza microchip yake itakuwa na uwezo wa kukua ki-akili katika namna mabyo mwanadamu hajawahi kukua hivyo tangu kuumbwa kwa ulimwengu
 
Mtu pekee awezaye kukubali kuwa robot anaweza kusoma akili au ufaham wa mwanadam n yule ambae hakuielewa biologia ety robot asome mawazo ya aliyemuumba duuuh n sawa na ww kusema unaweza soma mawazo ya MUNGU au ety shetan aweze kujua awazacho MUNGU impossible hiyo AI haiwez full stop
Ulishawahi kucheza kamari au mchezo wowote wa kutumia kifaa ambacho ni electronics? Cheza hata draft kwenye smartphone yako, ile ambayo huchezi na mtu mwingine. Mengi ya yale anayokueleza hapa yuko sahihi
 
natamani ukiwaza puli tu...inakusaidia kum-download J Lo 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Hivyo vingine vinaweza kuwa kweli lakini kwenye kusoma fikra zako na kujua exactly unachokifikiria at the time ni impossible even in 200 years na kama ikiwezekana kwa asilimia kubwa itakuwa ni prediction.
Maybe in the next 1000 years.
Hapana. Hiki kitu kinawezekana kwa sasa na ni rahisi muno kuzidi hata unavyoweza kufikiria. Unadhani kwa nini Robot inaweza kufanya operation tena zile ambazo ni very sophisticated? Unajua kwa nini Robot inaweza hata kufanya a very simple task ya kuchukua maziwa kwenye fridge ikamnyonyesha mtoto saa 4:00 kamili asubuhi na baada ya mtoto kushiba, ikachukua maziwa na kuyarudisha tena kwenye fridge?. Kinachofanyika hapa ni kwamba wanatengeneneza kitu ambacho hakina uhai lakini kina uwezo mkubwa kuzidi hata wa binadamu mwenye nyama. Tofauti yake na wewe inakuwa ni kwamba wewe una ngozi yenye kusikia maumivu, halafu chenyewe kimetengenezwa kwa vyuma kiasi kwamba hakiwezi kusikia maumivu
Yaani mpaka muda huu, kuna Kompyuta ambazo unaweza uka-interact nayo na mkaongea na kujibizana na usijue kama ulikuwa unajibizana na Kompyuta, wewe ukaondoka pale ukajua ulikuwa unajibizana na mtu kumbe hapana.
Kwa mfano, sasa hivi unaweza kufanya miamala kwa njia ya mtandao kama vile kununua umeme badala ya kwenda physically Tanesco, si ndiyo? Tuseme unaponunua umeme kwa njia ya simu, anayekuuzia umeme ni mtu?
 
You know I thought you were smart but you're deluded asf.

Na sidhani hata kama unajua how AI works and how they come to function.

Simple definition.
AI ni program ambayo imekuwa programed kugather vast amount of information through its experiences to complete a specific task kutokana na hizo information ambazo ziko in its memory.
Then manifested as learning and intelligence.

Well technically is just a goddamn machine ambayo ni zao la human brain.

Human brain is the most complicated structure in the history of humankind.
There are billions of neurons in your brain zinazosababisha wewe ujitambue.

So huwezi kuja from nowhere na conspiracy theories zako ambazo umeziokota from modest websites then useme AI zimetengezwa hivyo hivyo.

To believe that you must be either stupid or crazy and stupid at the same time.

Seriously

Yaani ubongo na mwili unarusha frequency ambazo zinaweza kuwa hacked?
Who the hell told you that?

Do you even know what reality is?

Our brains perceives reality as what it is.
Na ubongo haufanyi kazi as a decoding system bali una act as a receiver of reality.
Sababu reality is something that actually exists as what it is.

So as long as reality exists as actually what it is and the human brain acts as a receiver of reality from its sensors then nothing can penetrate that connection and there's nothing to be hacked.

Hivyo ubongo una act as receiver only na sio output of anything.

Nakuuliza swali unajuaje kama wewe ni wewe?

Unaposema virtual basi tayari ubongo unajua sio reality.

Simple use of critical thinking.

Yeah.

Unataka kumuelimisha mjinga kwamba human body and brain vinatoa mawimbi ambayo yanaweza kuwa hacked.

What the hell?
Hujamwelewa. Hajasema kwamba AI imetengenezwa hivyo isipokuwa Utafiti uliopo kwa muda huu unaielekeza AI huko na inawezekana kabisa kwa AI kufika huko. Huyu jamaa yuko safi ila mnashindwa tu kumwelewa. Simple issue kwa mfano kwenye daily life, wewe unapoweka muda wa maongezi kwenye simu yako, ni nini kinakuambia kuwa salio lako limeongezeka? Unapoongea je, nani anakata muda wako wa maongezi kwenye simu yako, ni Kompyuta au ni meneja wa mauzo wa vodacom? Na kama siyo meneja mauzo bali ni kompyuta, nini kinafanya hiyo kompyuta ikajua kuwa umeongea na hivyo inabdi ikate muda wako wa maongezi?
Kwamba badala ya wewe kuongea ukiwa mbele ya mtu mwingine tuseme mfanyakazi wa Vodacom, akarekodi muda uliotumia kuongea halafu akakuchaji kiasi cha fedha kulingana na muda uliotumia kuongea, anakuacha uongee mwenyewe halafu Kompyuta yake tu ndiyo inafanya mahesabu ya muda na makato. Hii Kompyuta inajua juaje mahesabu haya ambayo kawaida yalitakiwa yafanywe na binadamu, wakati haina akili kama za binadamu?
Kwa wakati huu ambao matumizi ya smartphone yamekuwa ya kwaida sana, nilidhani ingekiuwa rahisi zaidi kumwelewa huyu bwana kuliko ilivyokuwa miaka 10 iliyopita.
 
Back
Top Bottom